Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Ngumu kumesa aisee
Pamoja na kwamba bado hii ina kimombo bado watu wamesoma na kuielewa . . . . :lol::lol::lol::lol:
Sijui katuni ndio imeongeza mzuka????:lol::lol::lol:
ha hah aaaaaaaaaaaa
THE MANIPULATOR, hawa ndio wanaume wengi wa leo hawaaaaaaaaa!!! ahadi 100 vitendo 0
afadhali maana nimeona women to avoid,,mwanakijiji umesaidia kubalance thx:nod::nod:
Lash at the weaker...comform with the stonger.Human nature??
Elaborate plse!???
Sasa we unategemea kibaka asapoti kuchomwa moto kwa vibaka?Ni wachache wenye moyo huo!Afadhali hii watu wamejibu bila kuchukonoa (labda kwa vile wanaosemwa hapa ni wanaume) :lol::lol::lol::lol:
Ile ya women to avoid karibu kila mdada ameikanyaga kanyaga mpaka mtoa mada akaanza kujisikia vibaya kwenye PC yake
Mzani wa balance lazima utaonyesha kujaa huku, hakuna usawa
Thread zina match ila uchangiaji ndio tofauti kubwa
Afadhali hii watu wamejibu bila kuchukonoa (labda kwa vile wanaosemwa hapa ni wanaume) :lol::lol::lol::lol:
Ile ya women to avoid karibu kila mdada ameikanyaga kanyaga mpaka mtoa mada akaanza kujisikia vibaya kwenye PC yake
Mzani wa balance lazima utaonyesha kujaa huku, hakuna usawa
Thread zina match ila uchangiaji ndio tofauti kubwa
hahaha cpu bana!kwanza habari ya madhabodi?ile ya women to avoid mtoa mada mwenyewe tu:thinking:,,mi nimemshkuru mwanakijiji kwa kubalance equation,,lol!hivi cpu uko kundi gani vile?ili tuanzie hapo,,lol:nono:
Sasa we unategemea kibaka asapoti kuchomwa moto kwa vibaka?Ni wachache wenye moyo huo!
HA HA HA HA HA HA HA
Ukitaka kujua kundi langu vizuri muulize Lizzy
Maana yeye ndio ananisoma vizuri kuliko mimi kujisoma mwenyewe:lol::lol: