Ati Wanaume wa Kuwakwepa...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
menavoid7.gif
menavoid8.gif
menavoid6.gif
menavoid1.gif
menavoid2.gif
menavoid3.gif
menavoid4.gif
 
ha hah aaaaaaaaaaaa

THE MANIPULATOR, hawa ndio wanaume wengi wa leo hawaaaaaaaaa!!! ahadi 100 vitendo 0
 
Alafu wakishakwepwa waende wapi??Mnataka kuongeza idadi za kina Adam and Steve?Nyw kila mmoja hapo akipata size yake anatulia.
 
Pamoja na kwamba bado hii ina kimombo bado watu wamesoma na kuielewa . . . . :lol::lol::lol::lol:
Sijui katuni ndio imeongeza mzuka????:lol::lol::lol:
 
Pamoja na kwamba bado hii ina kimombo bado watu wamesoma na kuielewa . . . . :lol::lol::lol::lol:
Sijui katuni ndio imeongeza mzuka????:lol::lol::lol:

Now that's called HUMAN NATURE!
 
ha hah aaaaaaaaaaaa

THE MANIPULATOR, hawa ndio wanaume wengi wa leo hawaaaaaaaaa!!! ahadi 100 vitendo 0

Zikitanjwa za wanawake wa kuwakimbia . . . . . .teh teh teh :lol::lol::lol::lol::lol:
Kweli mwanamke mpe anachokipenda na kinachomburudisha, asivyovipenda tupilia kuleeeeeeee, hata kama vina ukweli:lol::lol::lol::lol::lol:
 
afadhali maana nimeona women to avoid,,mwanakijiji umesaidia kubalance thx:nod::):nod:
 
Hahahahahahahah
MMK wewe
Umenichekesha kwa kweli
nafahamu ni kwa nini umeanzisha
hii thread Kheshma yako mkuu
narudi....mmmhh
 
Labda kuna haja ya kumatch maker kati ya wale wanawake wa kuavoid na wanaume wa kuavoid ambao wanaweza kuendana; kwa mfano.. The Bully goes well with the Bitchy!
 
  • Thanks
Reactions: RR
afadhali maana nimeona women to avoid,,mwanakijiji umesaidia kubalance thx:nod::):nod:

Afadhali hii watu wamejibu bila kuchukonoa (labda kwa vile wanaosemwa hapa ni wanaume) :lol::lol::lol::lol:
Ile ya women to avoid karibu kila mdada ameikanyaga kanyaga mpaka mtoa mada akaanza kujisikia vibaya kwenye PC yake
Mzani wa balance lazima utaonyesha kujaa huku, hakuna usawa
Thread zina match ila uchangiaji ndio tofauti kubwa
 
Afadhali hii watu wamejibu bila kuchukonoa (labda kwa vile wanaosemwa hapa ni wanaume) :lol::lol::lol::lol:
Ile ya women to avoid karibu kila mdada ameikanyaga kanyaga mpaka mtoa mada akaanza kujisikia vibaya kwenye PC yake
Mzani wa balance lazima utaonyesha kujaa huku, hakuna usawa
Thread zina match ila uchangiaji ndio tofauti kubwa
Sasa we unategemea kibaka asapoti kuchomwa moto kwa vibaka?Ni wachache wenye moyo huo!
 
Afadhali hii watu wamejibu bila kuchukonoa (labda kwa vile wanaosemwa hapa ni wanaume) :lol::lol::lol::lol:
Ile ya women to avoid karibu kila mdada ameikanyaga kanyaga mpaka mtoa mada akaanza kujisikia vibaya kwenye PC yake
Mzani wa balance lazima utaonyesha kujaa huku, hakuna usawa
Thread zina match ila uchangiaji ndio tofauti kubwa

hahaha cpu bana!kwanza habari ya madhabodi?ile ya women to avoid mtoa mada mwenyewe tu:thinking:,,mi nimemshkuru mwanakijiji kwa kubalance equation,,lol!hivi cpu uko kundi gani vile?ili tuanzie hapo,,lol:nono:
 
hahaha cpu bana!kwanza habari ya madhabodi?ile ya women to avoid mtoa mada mwenyewe tu:thinking:,,mi nimemshkuru mwanakijiji kwa kubalance equation,,lol!hivi cpu uko kundi gani vile?ili tuanzie hapo,,lol:nono:

HA HA HA HA HA HA HA
Ukitaka kujua kundi langu vizuri muulize Lizzy
Maana yeye ndio ananisoma vizuri kuliko mimi kujisoma mwenyewe:lol::lol:
 
HA HA HA HA HA HA HA
Ukitaka kujua kundi langu vizuri muulize Lizzy
Maana yeye ndio ananisoma vizuri kuliko mimi kujisoma mwenyewe:lol::lol:

Dah ujiko huo!Leo napika pilau!

WiseLady CPU anafaa kuitwa kaka..mjomba..baba na mume juu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom