Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,558
- 20,418
Vibali vya dhahabu ni complicated na vina masharti mengi. Mtanzania wa kawaida si rahisi kununua. Bidhaa zote ambazo serikali inategemea kuexport kupata pesa za kigeni zina masharti mengi ili mtanzania wa kawaida asiweze kununua. Vitu kama dhahabu, kahawa, korosho, cocoa nk. Huwezi tu kwenda kununua kama unavyonunua mchele na mahindi. Ukidakwa unaingilia hizo mali za serikali unakuwa mhujumu uchumi.Hata hapa Tanzania kuna Coins, point ni kwamba isiwe Ghafi, inafanywa hivyo kuzuia utakatishaji Dhahabu watu wasiwe na machimbo feki na Serikali isipate mapato. Sonara wanafuatiliwa na ukinunua kwao ambayo imeshasafishwa unapunguza risk ya kununua Dhahabu haramu.
Na hayo mapambo unayosema yapo makubwa kushinda bars na coins, it's just watu ni artistic.
Na hata hio Dhahabu Ghafi sio kwamba vibali vyake ni complicated kivile kuna minada kibao ya Serikali Nchi nzima.
Mapambo unayosema yanakuwa na gharama kubwa ukilinganisha na uzito wa dhahabu iliyopo. Bars na coins huwa hazichezi mbali sana na price ya gold halisi.