Mama Mia, kwanza hili jukwaa mimi huwa sipiti, umri ulishapanda sana, ila haya nikuambiayo ni ya ukweli kabisa natanguliza samahani kwa ndugu zangu wachagga.
1. Kwanza sio kweli kuwa Wachagga hawajui mapenzi, hayo wanayoyajua ndio huo ujuzi wao wa kichagga.
2. Kujua mapenzi ni kitu kimoja hii ni to love and be loved, ufundi wa kufanya mapenzi ni kitu kingine, making love technics, na kuwa na ladha ya mapenzi, kukolea au utamu ni kitu kingine kabisa hakina uhusiani na kupenda, wala kufanya.
3. Baada ya Ukristo kuingia Moshi, Wachagga waliabandon mila zao zote za kiasili na kuukumbatia Ukiristo, making love ni mpaka ukiolewa.
4. Kwa wanawake wa Kichagga, walifundishwa sex ni dhambi, na hawakupata mafunzo yoyote ya love making, hivyo wanawake wa Kichagga, hawanakujua love making technics zozote, ukijumlisha na ile dhana ya tendo hilo ni dhambi, wanapata tatizo liitwalo 'inhibition' hivyo they don't enjoy sex na hardily wanafika.
5. Kufuatia hizi inhibitions, kumsomesha binti wa Kichagga ambae yuko kabla bado, mpaka somo lieleweke ni issue, hivyo vijana wa Kichagga, hufanya timing kwa kushika vibinti kwa nguvu, na kumalisha shughuli migombani, ama mikahawani.
6. Wanaume wa Kichagga nao, wanakuwa bussy sana kutafuta maendeleo hivyo wanasoma kwa usongo sana na kutafuta pesa kwa nguvu, matokeo yake, wanakuwa bussy sana na strughle za maisha hivyo love kwa haina nafasi sana.
7. Kotokana na kula ndizi, Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa, wanakuwa na miili milaini, flabby, wenzao Wahaya, huwa wanazichezea na kuvutwa vutwa zile sehemu tangu wadogo, hivyo zinachangamka, Wachagga na Wanyakyusa wao hawavutwi hivyo sometimes zinadorora, si unajua mambo ya practice makes perfect.
8. Tukija kwenye technics, kwa vile hawafundishwi chochote, hivyo wakifika room ni kulala kama gogo/mgomba, lakini hawa wa generation now, wanajifunzia mashuleni, makundi na mamovies, hivyo ni wamama wa huko ndio wanaaongoza kusaka ving'ast siku hizi.
9. Mambo ya ladha ni mambo ya body physiological make up kama matunda mengine matamu, mengine yanavutia kutazama lakini hakuna ladha, na megine ni mabovu kama tatizo la frigidity.
10. Yote ni tisa, ufundi, utamu, ladha, mitindo etc, mwisho wa yote, its an atitude of mind, mambo yote ni mtazamo ndani ya fikra zako, ukidhamiria kulamba asali, ukilamba utaona ni asali, ila ukiifikiria pilipili, au shubiri, unaweza lamba asali na kuishia kuitema bure. Hivyo ubingwa au sio ubingwa, kupendwa au sio kupendwa, kukolea au sio kukolea yote ni ndani ta mtazamo tuu ndio maana, "ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno!."