Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Hehehe, em soma ulichoandika mara mbili mbili kama hata we mwenyewe unaweza kukielewa.
Seems to me ambaye hajui anachokitafuta wa kwanza ni wewe, washika dini tunajua wanachokitafuta, hawatokipata lakini sababu hakipo, sio wa kwanza kufa, mtakufa mungu hajarudi, watoto wenu na wajukuu watakufa hajarudi, miaka elfu ijayo watakuwepo wengine watakufa hajarudi tu. Endeleeni kumsubiri. Hamuelewi atheists msijifanye mnawaelewa, atheists wengi walianzia kwenye dini wakakua wakaona ni upuuzi wakatupa pembeni, wanajua dini ilivyo, nyie msiojua u-atheist ulivyo coz hamjawahi kua msijifanye mnajua zaidi.
Exactly
 
Mimi naomba kitu kimoja kwako, nacho ni kwamba na wewe uwe unajibu maswali kama vile nlivokuwa nayajibu yako. kama huwezi kujibu useme kabisa. Mana nishawazoea. Mkiulizwa mnakimbia.

Mungu anajua mwisho wangu ni upi na wapi, lakini mimi mwanadamu alieniumba sijui mwisho wangu ni wapi, sasa kama sijui mwisho wangu ni upi, nikisali iweje useme najichosha na wakati mimi sijui? Naomba jibu.
Unajichosha ndio kwanza tayari Mungu wako anajua kwamba wewe Ni mtu wa motoni au peponi Yaani Ni sawa sawa na wewe umpe mwanafunzi wako mtihani wakati unajua kabisa matokeo ya mtihani huo yatakuwaje Sasa hiyo ina maana gani !?
 
Unamfanyia ibada nani ? unaemfanyia ibada anamajibu yake kabla ya wewe ujaanza kufanya ibada ndio nikakwambia wewe unajichosha maana unaangaika na kitu ambacho tayari majibu yapo , yaani ww ufanye au usifanye tayari majibu yapo wacha kujichosha
 
Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?
Kwanini akuulize wakati tayari anaijua hatima yako .. Huyo Mungu wako yuko timamu kweli !?
 
Kwani alishauriwa na nani asikuumbe wewe mchina ? ni mambo ambayo Ameamua mwenyewe kuyafanya kwa akili yake inavyopenda kuwa chilubi nitamtoa mwanaume kisha atakwenda motoni ova
Ova
 
Tayari safari imeanza kukushinda. mi nilikuomba uwe unanijibu ila tayari unaanza kusepa.

Hakuna mahali ambapo panasema kuwa Mungu ameamuwa fulani aende motoni (kabla ya siku yake ya hukumu). Bali tunasema kuwa ANAJUA wewe utaishia wapi.
Oyaaa Mbona haueleweki Mungu mjuzi wa yote mwenye ukamilifu anashindwa vipi kujua kwamba huyu na yule Hawa Ni wa motoni na huyu na yule Ni wapeponi !?
 
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.

Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.

Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!

Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.

Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.

Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Mimi naamini Mungu yupo lakini sio huyo wa wazungu na waarabu

Huyo ni wa ajabu sana, sikumuomba anilete hapa duniani, kanileta kwa mapenzi yake halafu anataka nitimize mapenzi yake

Yaani anilete kwa matakwa yake halafu anipe masharti ya kuishi si bora anirudishe nilikokuwa

Tusitishane
 
nani alikuambia kumtumikia Mungu huwezi umwa... kuumwa kwako au matatizo yake hayamuondele UMungu wake
Mungu mjuzi wa yote mwenye uwezo wa yote kwanini aumbe viumbe dhaifu wanao umwa alishindwa Nini kutumia ujuzi wake wa yote na uweza wa yote kuwaumba viumbe visivyo patwa na magonjwa !? Endapo tukisema kwamba Mungu Huyo ni Muongo tutakuwa tuna msingizia Maana anajisifu kuwa ana uwezo wa yote na ujuzi wa yote lakini ameshindwa kumuumba binaadamu na viumbe vingine ambavyo havipatwi na magonjwa
 
Unajibu kwa kukurupuka hujui hata mantiki ya hilo swali nililokuuliza na sizani kama umelielewa

Mimi sijazungumzia kubadilika kwa maono au lah, na ndio maana nilikua nasisitiza kuuliza kua kama naye anatabia ya kukosea ili niweze kujenga hoja kupitia jibu utalonipa

Nimeuliza kama mungu anajua kila kitu na hakuna kitu utachokifanya leo hii kikawa kigeni machoni mwake kwasababu yeye ni mungu asiyekosea alichokiona ni lazima kiende sawa sawa. Sasa wewe leo hii ukiamua kutoenda kanisani au msikitini utakua umebadilisha chochote katika ujuzi wake kuhusu hatma yako???
Enheee
 
Hapa wakristo na waislamu tutaungana subiri baadae

Aisee ... Hizi issue ni complicated sana ukubali au ukatae

Nashangaa sana ani .. Tunatumia Nguvu nyingi kumtetea mtu ambaye hajaokba tumtetee

Hivi ni wapi aliwahi tuombe tumthibitishe kama yupo
 
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.

Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.

Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!

Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.

Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.

Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Mimi ninapopinga uwepo wa Mungu huwa naanza kupinga kwa kuwa specific kwamba Mungu ninayepinga uwepo wake ni Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Sizungumzii "Mungu, Mungu, Mungu" kijinga tu bila hata kum define kama unavyofanya wewe.

Sasa, wewe ukisema Mungu wako ni mavi yako yaliyopo ndani yako, siwezi kukubishia na kusema Mungu wako hayupo.

Kwa sababu mavi yako yapo, yapo ndani yako, na kama mavi yako yaliyo ndani yako ndiyo Mungu wako, Mungu wako yupo.

Lakini Mungu wako si Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
 
Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?
Oyaaa sihuwa mnasema kwamba maisha yetu ya hapa duniani tumeshapangiwa kila kitu mpaka vifo vyetu ..!?
 
Hujapangiwa wewe uwe muovu bali Mola wetu anajua kila kitu.

Yaani kujua kwake ni katika Elimu yake,na kujua kwake hakukuzuii wewe kutenda unachotaka yaani ametupa uhuru na uwezo wa kufanya tunayotaka.
Kwa hiyo Mungu hatupangii tena maisha !?

Simnasemaga kuwa maisha yetu yamesha andikwa katika vitabu na tayari tumesha pangiwa jinsi tutakavyo ishi duniani

Nyinyi watu Mbona huwa hamueleweki !?
 
Back
Top Bottom