hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,496
- 73,645
Unajichosha kuswali ili iweje kumbe majibu Mungu wako anayo ?kumbe Mungu wako ndio anaamua wa motoni au wa peponi wala sio matendo yako



Unajichosha kuswali ili iweje kumbe majibu Mungu wako anayo ?kumbe Mungu wako ndio anaamua wa motoni au wa peponi wala sio matendo yako



ExactlyHehehe, em soma ulichoandika mara mbili mbili kama hata we mwenyewe unaweza kukielewa.
Seems to me ambaye hajui anachokitafuta wa kwanza ni wewe, washika dini tunajua wanachokitafuta, hawatokipata lakini sababu hakipo, sio wa kwanza kufa, mtakufa mungu hajarudi, watoto wenu na wajukuu watakufa hajarudi, miaka elfu ijayo watakuwepo wengine watakufa hajarudi tu. Endeleeni kumsubiri. Hamuelewi atheists msijifanye mnawaelewa, atheists wengi walianzia kwenye dini wakakua wakaona ni upuuzi wakatupa pembeni, wanajua dini ilivyo, nyie msiojua u-atheist ulivyo coz hamjawahi kua msijifanye mnajua zaidi.

Unajichosha ndio kwanza tayari Mungu wako anajua kwamba wewe Ni mtu wa motoni au peponi Yaani Ni sawa sawa na wewe umpe mwanafunzi wako mtihani wakati unajua kabisa matokeo ya mtihani huo yatakuwaje Sasa hiyo ina maana gani !?Mimi naomba kitu kimoja kwako, nacho ni kwamba na wewe uwe unajibu maswali kama vile nlivokuwa nayajibu yako. kama huwezi kujibu useme kabisa. Mana nishawazoea. Mkiulizwa mnakimbia.
Mungu anajua mwisho wangu ni upi na wapi, lakini mimi mwanadamu alieniumba sijui mwisho wangu ni wapi, sasa kama sijui mwisho wangu ni upi, nikisali iweje useme najichosha na wakati mimi sijui? Naomba jibu.
Unamfanyia ibada nani ? unaemfanyia ibada anamajibu yake kabla ya wewe ujaanza kufanya ibada ndio nikakwambia wewe unajichosha maana unaangaika na kitu ambacho tayari majibu yapo , yaani ww ufanye au usifanye tayari majibu yapo wacha kujichosha




Kwanini akuulize wakati tayari anaijua hatima yako .. Huyo Mungu wako yuko timamu kweli !?Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?
OvaKwani alishauriwa na nani asikuumbe wewe mchina ? ni mambo ambayo Ameamua mwenyewe kuyafanya kwa akili yake inavyopenda kuwa chilubi nitamtoa mwanaume kisha atakwenda motoni ova


Oyaaa Mbona haueleweki Mungu mjuzi wa yote mwenye ukamilifu anashindwa vipi kujua kwamba huyu na yule Hawa Ni wa motoni na huyu na yule Ni wapeponi !?Tayari safari imeanza kukushinda. mi nilikuomba uwe unanijibu ila tayari unaanza kusepa.
Hakuna mahali ambapo panasema kuwa Mungu ameamuwa fulani aende motoni (kabla ya siku yake ya hukumu). Bali tunasema kuwa ANAJUA wewe utaishia wapi.
Mimi naamini Mungu yupo lakini sio huyo wa wazungu na waarabuKiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.
Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.
Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!
Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.
Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.
Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Tabu sasa wanajifanya wana majibu yote . wafia dini wanashangaza sana..

nani alikuambia kumtumikia Mungu huwezi umwa... kuumwa kwako au matatizo yake hayamuondele UMungu wake


Mungu mjuzi wa yote mwenye uwezo wa yote kwanini aumbe viumbe dhaifu wanao umwa alishindwa Nini kutumia ujuzi wake wa yote na uweza wa yote kuwaumba viumbe visivyo patwa na magonjwa !? Endapo tukisema kwamba Mungu Huyo ni Muongo tutakuwa tuna msingizia Maana anajisifu kuwa ana uwezo wa yote na ujuzi wa yote lakini ameshindwa kumuumba binaadamu na viumbe vingine ambavyo havipatwi na magonjwaEnheeeUnajibu kwa kukurupuka hujui hata mantiki ya hilo swali nililokuuliza na sizani kama umelielewa
Mimi sijazungumzia kubadilika kwa maono au lah, na ndio maana nilikua nasisitiza kuuliza kua kama naye anatabia ya kukosea ili niweze kujenga hoja kupitia jibu utalonipa
Nimeuliza kama mungu anajua kila kitu na hakuna kitu utachokifanya leo hii kikawa kigeni machoni mwake kwasababu yeye ni mungu asiyekosea alichokiona ni lazima kiende sawa sawa. Sasa wewe leo hii ukiamua kutoenda kanisani au msikitini utakua umebadilisha chochote katika ujuzi wake kuhusu hatma yako???




IndeedMungu akijua kua utaenda motoni, wewe ukiwa unafanya ibada kwasababu hujui alilolipanga mungu juu yako hakubadilishi chochote

Ndio anajua na anajua utafia wapi.




hili jibu Lina dhihirisha kwamba Mungu hayupoHapa wakristo na waislamu tutaungana subiri baadae
Aisee ... Hizi issue ni complicated sana ukubali au ukatae
Nashangaa sana ani .. Tunatumia Nguvu nyingi kumtetea mtu ambaye hajaokba tumtetee
Hivi ni wapi aliwahi tuombe tumthibitishe kama yupo





Bora Atheists hawajui wanachokitafuta kuliko nyinyi huyo mungu wenu hana msimamo haeleweki Kila siku anabadilisha sheria mpk watu hawajui washike lipi




Mimi ninapopinga uwepo wa Mungu huwa naanza kupinga kwa kuwa specific kwamba Mungu ninayepinga uwepo wake ni Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.
Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.
Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!
Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.
Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.
Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Kwaiyo ni mambo ambayo hayakwepeki hata ufanye jitihada gani kwasababu tayari umeshapangiwa iwe hivyo au una option ya kwenda kinyume?


Oyaaa sihuwa mnasema kwamba maisha yetu ya hapa duniani tumeshapangiwa kila kitu mpaka vifo vyetu ..!?Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?
Kwa hiyo Mungu hatupangii tena maisha !?Hujapangiwa wewe uwe muovu bali Mola wetu anajua kila kitu.
Yaani kujua kwake ni katika Elimu yake,na kujua kwake hakukuzuii wewe kutenda unachotaka yaani ametupa uhuru na uwezo wa kufanya tunayotaka.