Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Utaratibu ni ule ule,nimekujibu "sawa" yaani nimekupuuza.

Siku ukijibu maswali yangu,tutaendelea pale tulipo ishia.
Mi mwenyewe naona Utaratibu ni ule ule wa kukwepa kuthibitisha mungu yupo

Huwezi kuthibitisha na ndio maana unakwepa hilo, huwezi kwasababu hayupo
 
Bado hujathibitisha hoja yako. Naomba uthibitishe ukisemacho, sio porojo. kwa kuwa sijamuona Babu yangu aliemzaa babu yake baba haimaanishi kuwa hakuwepo.
Kila kilichopo ni lazima kiwe na chanzo?
 
Umeshindwa kuthibitisha mungu yupo tukuthibitishie hilo?
nakumbuka nilikwambia zile post zako zote ziweke pamoja kama tulivokuwa tukifanya naona kimya hadi sasa.

Thibitisha hilo
 
nakumbuka nilikwambia zile post zako zote ziweke pamoja kama tulivokuwa tukifanya naona kimya hadi sasa.

Thibitisha hilo

Jukumu langu ni kujibu post, sio kunipangia mtindo gani wakujibu unaoutaka wewe.
 
Kwanza umekubali kua post zako zimejibiwa?
Sikuwa na muda wa kusoma post ambayo ulitumia less effort kujibu halafu ulitaka mimi nitumie more effort kureply. Ni Jukumu lako kujibu ulichoulizwa kwa mtindo ambao tulikuwa tunautumia tangu mwanzo.

Thibitisha kuwa hakukuwa na mtu wa mwanzo na wala hakuna wa mwisho. Nasubiri Jibu. Unajizungusha tu naona
 
Sikuwa na muda wa kusoma post ambayo ulitumia less effort kujibu halafu ulitaka mimi nitumie more effort kureply. Ni Jukumu lako kujibu ulichoulizwa kwa mtindo ambao tulikuwa tunautumia tangu mwanzo.

Thibitisha kuwa hakukuwa na mtu wa mwanzo na wala hakuna wa mwisho. Nasubiri Jibu. Unajizungusha tu naona

Kwanini Less effort ndio iwe ina matter sana kuliko kujibiwa hoja zako??

Less effort ndiyo iliyokufanya ukose hoja ya kujibu??
 
Thibitisha kuwa hakukuwa na mtu wa mwanzo na wala hakuna wa mwisho. Jibu ulichokuta kwanza
Hapa tunapamalizaje kwanza?? Kwanza tukubaliane hapa

Unakubali kua hoja zako zilijibiwa?
 
Hapa tunapamalizaje kwanza?? Kwanza tukubaliane hapa

Unakubali kua hoja zako zilijibiwa?
Nimekujibu post chache za nyuma.

Jibu hili hapa tafadhali: Thibitisha kuwa hakukuwa na mtu wa mwanzo na wala hakuna wa mwisho.
 
Nimekujibu post chache za nyuma.

Jibu hili hapa tafadhali: Thibitisha kuwa hakukuwa na mtu wa mwanzo na wala hakuna wa mwisho.

Kwanza hujajibu swali langu, unakubali kua post zako zote zilijibiwa??

Halafu hata Kwa kusema tu umejibu "post chache" kunaonesha ni namna gani unakwepa maswali. Katika post zenye maswali mengi kwanini ujibu chache na zingine uziache??
 
Kwanza hujajibu swali langu, unakubali kua post zako zote zilijibiwa??

Halafu hata Kwa kusema tu umejibu "post chache" kunaonesha ni namna gani unakwepa maswali. Katika post zenye maswali mengi kwanini ujibu chache na zingine uziache??
Kwanza ulikuta nahitaji kuthibitishiwa, ulitakiwa uthibitishe, umeshindwa kuthibitisha sasa unaanza kulia lia.

Pili, sijakwambia kama nimekujibu post zako, bali hilo swali ulilouliza nimekujibu post chache za nyuma. Sijakwambia kama nimejibu ule mvurugano wako uliouweka ili ije ionekane kuwa hujajibiwa. No matter how long your post was, nilikuwa nakujibu, iweje sasa uweke moja moja na usiweke zote? Nimekwambia ziweke zote kwa pamoja ili nikujibu kama ilivyokuwa hapo awali. Umeshindwa, inaonekana ulikuwa na lengo lako.

Kwa mara ya mwisho; THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.

Nikiona umethibitisha nitarudi, nikiona unaepuka swali na kuandika mengine nitajua kuwa unaepuka maswali na itabidi niendelee kukwambia uthibitishe hadi utakapothibitisha
 
Ww unajuaje hawajamkosea
Wewe unajuaje kwamba hakujua kua watamkosea kabla hawajamkosea??

Unajuaje kama baada ya kujua hakua na uwezo wa kuwafanya wasimkosee kwa kuwaepusha na hiyo situation itayowafanya wamkosee???
 
Kwanza ulikuta nahitaji kuthibitishiwa, ulitakiwa uthibitishe, umeshindwa kuthibitisha sasa unaanza kulia lia.

Pili, sijakwambia kama nimekujibu post zako, bali hilo swali ulilouliza nimekujibu post chache za nyuma. Sijakwambia kama nimejibu ule mvurugano wako uliouweka ili ije ionekane kuwa hujajibiwa. No matter how long your post was, nilikuwa nakujibu, iweje sasa uweke moja moja na usiweke zote? Nimekwambia ziweke zote kwa pamoja ili nikujibu kama ilivyokuwa hapo awali. Umeshindwa, inaonekana ulikuwa na lengo lako.

Kwa mara ya mwisho; THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.

Nikiona umethibitisha nitarudi, nikiona unaepuka swali na kuandika mengine nitajua kuwa unaepuka maswali na itabidi niendelee kukwambia uthibitishe hadi utakapothibitisha
Point ni kufika, no matter umetumia usafiri gani kufika. We unaniambia nimetumia baiskeli wakati we umetumia gari. Nakuambia ndiyo nimetumia baiskeli lakini kwani sijafika?? Unaanza ooh sijui umetumia muda mrefu, umesahau kua kinachoangaliwa sio muda bali ni kufika

Unakubali kua hoja zako zilijibiwa?
 
Point ni kufika, no matter umetumia usafiri gani kufika. We unaniambia nimetumia baiskeli wakati we umetumia gari. Nakuambia ndiyo nimetumia baiskeli lakini kwani sijafika?? Unaanza ooh sijui umetumia muda mrefu, umesahau kua kinachoangaliwa sio muda bali ni kufika

Unakubali kua hoja zako zilijibiwa?
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
 
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishia

unakubali hilo?

Maana hata hapa naweza kukithibitishia ukasema sijathibitisha
 
Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishia

unakubali hilo?

Maana hata hapa naweza kukithibitishia ukasema sijathibitisha
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
 
Back
Top Bottom