Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Kwa hiyo Mungu hatupangii tena maisha !?

Simnasemaga kuwa maisha yetu yamesha andikwa katika vitabu na tayari tumesha pangiwa jinsi tutakavyo ishi duniani

Nyinyi watu Mbona huwa hamueleweki !?
Kina kipangiwa na kushurutishwa na kukadiriwa. Allah aliyejuu amekadiria mambo yetu, na kuna makadirio mengine huwa katika sharti, kwamba ukifanya kadha itakuwa kadha.

Tunaeleweka ila wewe ndiyo huelewi.
 
Utakua hujapanga kwasababu huna ujuzi wote na uwezo wote wa kupanga vitu vitakavyotokea 100%. Pengine hilo tukio la mtoto kuzima tv ulianza kubashiri baada ya kumuona mtoto ameshika remote au anaisogelea Tv, lakini mungu alikwisha jua tukio hilo litatokea hata kabla wewe hujazaliwa na ndio maana wewe na huyo mtoto hamkuweza kuliepuka kwasababu lilishapangwa kua litatokea

Haya nijibu namimi swali langu
Yaani Hoja zao zinamtoa Mungu ktk ukamilifu wakati maandiko Yao yanasema kwamba Ni mkamilifu ..Hawa watu bwana
 
Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?
Kwa hiyo wewe unayemuona mtoto anaizima TV ujuzi wako ni sawa na wa Mungu?

Unalinganisha ujuzi wa mtu wenye mipaka na ujuzi wa Mungu mnaosema hauna mipaka?

Unalinganishq ujuzi wa mtu na Mungu mnayesema kaumba kila kitu?

Unaelewa kwamba kwa ulinganisho huu tu umeshamshusha huyo Mungu na kumfanya awe sawa na mtu?
 
Afu Mungu angekuwa anaoji kama mtu unataka kuja duniani au utaki maana ni mjuzi wa yote asingeshindwa kutuuliza.

tunataka kuja au atutaki sio tumeletwa kibabe afu tukikosea njiti uonezi uo.
 
Kwa hiyo wewe unayemuona mtoto anaizima TV ujuzi wako ni sawa na wa Mungu?

Unalinganisha ujuzi wa mtu wenye mipaka na ujuzi wa Mungu mnaosema hauna mipaka?

Unalinganishq ujuzi wa mtu na Mungu mnayesema kaumba kila kitu?

Unaelewa kwamba kwa ulinganisho huu tu umeshamshusha huyo Mungu na kumfanya awe sawa na mtu?
Ujuzi wangu sio sawa na wa Mungu.

Wapi inasema kuwa ulinganisho huo ni kumshusha Mungu ikiwa unafahamisha tofauti ya Kujua na Kupanga?
 
Oyaaa sihuwa mnasema kwamba maisha yetu ya hapa duniani tumeshapangiwa kila kitu mpaka vifo vyetu ..!?
Wapi imesema kuwa maisha yetu yamepangiwa KILA KITU mpaka vifo vyetu? Kina nani hao wanasema ivo?
 
Oyaaa Mbona haueleweki Mungu mjuzi wa yote mwenye ukamilifu anashindwa vipi kujua kwamba huyu na yule Hawa Ni wa motoni na huyu na yule Ni wapeponi !?
Inaonekana hukusoma vizuri nilichokiandika. Wapi nimesema hapo kuwa anashindwa kujua kama wewe wa motoni au wa peponi? Au nimesema kuwa yeye hajakupangia kuwa utaingia peponi au motoni?
 
Unajichosha ndio kwanza tayari Mungu wako anajua kwamba wewe Ni mtu wa motoni au peponi Yaani Ni sawa sawa na wewe umpe mwanafunzi wako mtihani wakati unajua kabisa matokeo ya mtihani huo yatakuwaje Sasa hiyo ina maana gani !?
Yeye anajua kuwa wewe utaingia peponi au motoni. Wewe unajua?
 
Back
Top Bottom