Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,736
- 6,155
Hehehe, em soma ulichoandika mara mbili mbili kama hata we mwenyewe unaweza kukielewa.
Seems to me ambaye hajui anachokitafuta wa kwanza ni wewe, washika dini tunajua wanachokitafuta, hawatokipata lakini sababu hakipo, sio wa kwanza kufa, mtakufa mungu hajarudi, watoto wenu na wajukuu watakufa hajarudi, miaka elfu ijayo watakuwepo wengine watakufa hajarudi tu. Endeleeni kumsubiri. Hamuelewi atheists msijifanye mnawaelewa, atheists wengi walianzia kwenye dini wakakua wakaona ni upuuzi wakatupa pembeni, wanajua dini ilivyo, nyie msiojua u-atheist ulivyo coz hamjawahi kua msijifanye mnajua zaidi.
Seems to me ambaye hajui anachokitafuta wa kwanza ni wewe, washika dini tunajua wanachokitafuta, hawatokipata lakini sababu hakipo, sio wa kwanza kufa, mtakufa mungu hajarudi, watoto wenu na wajukuu watakufa hajarudi, miaka elfu ijayo watakuwepo wengine watakufa hajarudi tu. Endeleeni kumsubiri. Hamuelewi atheists msijifanye mnawaelewa, atheists wengi walianzia kwenye dini wakakua wakaona ni upuuzi wakatupa pembeni, wanajua dini ilivyo, nyie msiojua u-atheist ulivyo coz hamjawahi kua msijifanye mnajua zaidi.