Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?Ndio hujui ila si unajua kua mungu anajua hatma yako??
Sasa kwakua hujui nini hatma yako ukaamua kutosali je utakua umeenda tofauti na alivyoona mungu katika hatma yako???