Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Ndio hujui ila si unajua kua mungu anajua hatma yako??

Sasa kwakua hujui nini hatma yako ukaamua kutosali je utakua umeenda tofauti na alivyoona mungu katika hatma yako???
Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?
 
Ngoja nikufamishe kujichosha ni vipi, labda huelewi.

Kwa mfano unajua kuwa nikienda bandarini saa 12 sitpata boti ya kwenda Zanzibar, halafu ukienda, itakuwa umejichosha tena ni ujinga.

Lakini kama hujui kuwa mda huo hamna boti na ukaenda, basi hujajichosha, utakuwa umejifunza.

Sasa ibada nnayoifanya ni kwa faida yangu mwenyewe, yeye majibu anayo lakini mimi majibu sina ya wapi ntaishia. Yeye ameonesha njia ya kufuata na majibu ya kutegemea ukipitia izo njia. Ukifuata njia anayotaka basi pepo ukienda utakavyo basi moto, sasa mimi sijui yeye anajua mimi naishia wapi kwaio ni kufanya ibada na kuomba niwe wa peponi.

Narudia tena. Bado hujathibitisha najichosha vipi ikiwa MIMI sijui mwisho wangu?
Ndio nimekujulisha kuwa unajichosha kwasababu unafanya ibada ili Mungu wako akulipe , kumbe Mungu wako kabla ata ya kufanya hiyo ibada yenyewe malipo yako anayajua , unafanya ibada kama kukamilisha ratiba lakini uwezi badilisha matokeo ya Mungu wako aliyonayo , hivyo basi matokeo aliyonayo ndio kila kitu sio kuinama na kubinuka kwako huko ni kujichosha na kujitafutia sugu , kutokujua kwako akubadilishi analojua Mungu wako pumzika acha kujichosha
 
Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?
Anakuulizaje wakati majibu alikuwa nayo kabla ata ajakuumba ? huyo Mungu wako ni msahaulifu sana kumbe
 
Ndio nimekujulisha kuwa unajichosha kwasababu unafanya ibada ili Mungu wako akulipe , kumbe Mungu wako kabla ata ya kufanya hiyo ibada yenyewe malipo yako anayajua , unafanya ibada kama kukamilisha ratiba lakini uwezi badilisha matokeo ya Mungu wako aliyonayo , hivyo basi matokeo aliyonayo ndio kila kitu sio kuinama na kubinuka kwako huko ni kujichosha na kujitafutia sugu , kutokujua kwako akubadilishi analojua Mungu wako pumzika acha kujichosha
Yeye kuyajua malipo yangu sio faida kwangu, kwa sababu bado mimi siyajui malipo yangu. Yeye ameshasema, Sali nitakulipa pepo, fanya wema nitakulipa pepo. Usisali nikulipe moto, tenda maovu nikulipe moto. Sasa mimi nataka anilipe pepo kwaio nasali.

Ingelikuwa mimi najua kabisa kama ni wa motoni halafu nasali basi ndio ningekuwa najichosha. Lakini sijui naishia wapi tena vipi niwe najichosha?
 
Anakuulizaje wakati majibu alikuwa nayo kabla ata ajakuumba ? huyo Mungu wako ni msahaulifu sana kumbe
sio kwamba ni msahaulifu, ni kwa sababu nitamuuliza kwanini hanipeleki peponi? sasa akiniuliza ivo kama wewe utamjibu vipi?
 
Faida sio kwa Mungu, faida ni kwangu kwaio lazima nifanye ibada, yeye kujua mimi nakwenda wapi hainisaidii chochote, kwa sababu siku ya hukumu ataniuliza, "ulifany ibada hata uende peponi?" Wewe utajibu nini?

Kwanza maswali yangu hujayajibu kikamilifu sijauliza nani anapata faida kati yako we na mungu

Nimekuuliza: wewe unajua kua mungu anajua kila kitu mwanzo hadi mwisho wa maisha yako kwa maana hakuna kitu kitachotokea kwa bahati mbaya katika maisha yako. Je ikitokea leo umeacha kusali utakua umebadilisha chochote katika maono yake??
 
Kwanza maswali yangu hujayajibu kikamilifu sijauliza nani anapata faida kati yako we na mungu

Nimekuuliza: wewe unajua kua mungu anajua kila kitu mwanzo hadi mwisho wa maisha yako kwa maana hakuna kitu kitachotokea kwa bahati mbaya katika maisha yako. Je ikitokea leo umeacha kusali utakua umebadilisha chochote katika maono yake??
Swali lako linajibiwa na swali tena kiuwepesi sana.

Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi? Nasubiri jibu
 
Swali lako linajibiwa na swali tena kiuwepesi sana.

Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi? Nasubiri jibu

Kwani mungu wenu anasifa ya imperfection kwamba anaweza kuona kitu halafu kikaja kutokea tofauti kama alivyoona mwanzo??
 
sio kwamba ni msahaulifu, ni kwa sababu nitamuuliza kwanini hanipeleki peponi? sasa akiniuliza ivo kama wewe utamjibu vipi?
Kwani alishauriwa na nani asikuumbe wewe mchina ? ni mambo ambayo Ameamua mwenyewe kuyafanya kwa akili yake inavyopenda kuwa chilubi nitamtoa mwanaume kisha atakwenda motoni ova
 
Kwani mungu wenu anasifa ya imperfection kwamba anaweza kuona kitu halafu kikaja kutokea tofauti kama alivyoona mwanzo??
Naona tayari umeanza kujishtukia kama nnakokupeleka utavurugika.

Mungu wetu ni perfect anajua mwisho wetu anajua lini nitakufa na hukmu yangu ya mwisho ni ipi. Haiwezekani mwanzo aone ivi na baadae ije itokee tofauti.

Sasa namie nakuomba basi unijibu? kama huna jibu sema tu. Kwani ukiamua kutomuamini huo ni uamuzi wako na uko huru.

Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi? Nasubiri jibu
 
Yeye kuyajua malipo yangu sio faida kwangu, kwa sababu bado mimi siyajui malipo yangu. Yeye ameshasema, Sali nitakulipa pepo, fanya wema nitakulipa pepo. Usisali nikulipe moto, tenda maovu nikulipe moto. Sasa mimi nataka anilipe pepo kwaio nasali.

Ingelikuwa mimi najua kabisa kama ni wa motoni halafu nasali basi ndio ningekuwa najichosha. Lakini sijui naishia wapi tena vipi niwe najichosha?
Kutokujua kwako akubadilishi alilopanga juu yako kipi uelewi !!! unachofanya wewe ni kujichosha kwasababu tayari ameshamua na hakuna wakubadilisha ata ukiswali bila kula , hii ndio tafasiri ya kusukuma ukuta na kujitoa jasho bureee
 
Kwani alishauriwa na nani asikuumbe wewe mchina ? ni mambo ambayo Ameamua mwenyewe kuyafanya kwa akili yake inavyopenda kuwa chilubi nitamtoa mwanaume kisha atakwenda motoni ova
Tayari safari imeanza kukushinda. mi nilikuomba uwe unanijibu ila tayari unaanza kusepa.

Hakuna mahali ambapo panasema kuwa Mungu ameamuwa fulani aende motoni (kabla ya siku yake ya hukumu). Bali tunasema kuwa ANAJUA wewe utaishia wapi.
 
Kutokujua kwako akubadilishi alilopanga juu yako kipi uelewi !!! unachofanya wewe ni kujichosha kwasababu tayari ameshamua na hakuna wakubadilisha ata ukiswali bila kula , hii ndio tafasiri ya kusukuma ukuta na kujitoa jasho bureee
Kutokujua kwangu hakubadilishi alilolipanga Mungu. Lakini vile vile kutojua kuwa kwangu ndio sababu ya mimi kufanya ibada kuomba kuwa alilolipanga ni jema. Kutokujua kwangu alilopanga Mungu kunanifanya nisijue kama amebadilisha maono. Sijui kitu gani huelewi.

Ukuta unajua kama hausogei, ukiusukuma itakuwa unajichosha, ila gari unaamini kuwa inaweza kusukumika, basi ukiisukuma hujichoshi, unafanya kitu ambacho kinawezekana.
 
Tayari safari imeanza kukushinda. mi nilikuomba uwe unanijibu ila tayari unaanza kusepa.

Hakuna mahali ambapo panasema kuwa Mungu ameamuwa fulani aende motoni (kabla ya siku yake ya hukumu). Bali tunasema kuwa ANAJUA wewe utaishia wapi.
hapa utakimbia wewe kijana , Mungu wako anajuaje toka mtu akiwa tumboni kwa mama yake kuwa huyu wa motoni au peponi amejuaje wakati ata mtu kuzaliwa bado ?
 
Kutokujua kwangu hakubadilishi alilolipanga Mungu. Lakini vile vile kutojua kuwa kwangu ndio sababu ya mimi kufanya ibada kuomba kuwa alilolipanga ni jema. Kutokujua kwangu alilopanga Mungu kunanifanya nisijue kama amebadilisha maono. Sijui kitu gani huelewi.

Ukuta unajua kama hausogei, ukiusukuma itakuwa unajichosha, ila gari unaamini kuwa inaweza kusukumika, basi ukiisukuma hujichoshi, unafanya kitu ambacho kinawezekana.
Umeshakubali kuwa kutokujua kwako akubadilishi kitu kabisa , sasa unachofanya ndio kujichosha sasa , kama vile ambavyo ukuta ausogei ndivyo ibada zako aziwezi badili chochote katika kile Mungu alichokupangia kabla ujaanza izo ibada zako rahisi kabisaaa
 
hapa utakimbia wewe kijana , Mungu wako anajuaje toka mtu akiwa tumboni kwa mama yake kuwa huyu wa motoni au peponi amejuaje wakati ata mtu kuzaliwa bado ?
Mungu anayajua hayo kwa sababu yeye ndio muumbaji, mwenye ujuzi wote na mwenye kuyajua yaliyoficha ndani ya nafsi za viumbe.

Unafikiri hili swali unaweza kujibu apa chini?
Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi?
 
Back
Top Bottom