Inaonekana huelewi,vipi yawe mapya wakati yeye ndio ameamrisha...?Hayo maamrisho uliyoenda kinyume na mungu yatakua ni mapya ambayo hakuyajua kabla hayajatokea??
Inaonekana huelewi,vipi yawe mapya wakati yeye ndio ameamrisha...?Hayo maamrisho uliyoenda kinyume na mungu yatakua ni mapya ambayo hakuyajua kabla hayajatokea??
Mungu wa kweli ni mwenye sifa za kiungu. Wewe tetea hoja zako kwa kupitia Mungu unaemuamini, utakaposhindwa itabidi ujiulize.So kuna allah
So Mungu wetu sisi wakristo si wa kweli
Mambo kama haya ndo hufanya wakina kiranga kutuona sisi waamini Mungu watu tusiojitambua
Tukianza kutetea uwepo wa Mungu tunaungana
Ila sasa baada ya hapo utasikia mkristo ni kafiri
What the fvck !
Hapo ulipoquote, bila shaka umepata jibu lako kuwa Mungu hajajificha bali hatuna uwezo wa kumuona tu. Waislam hatumtetei Mungu, hatujawahi kumtetea Mungu, sisi tunatetea tunachamini tu. Mungu hana shida na sisi ila sisi tunashida na yeyeHapa wakristo na waislamu tutaungana subiri baadae
Aisee ... Hizi issue ni complicated sana ukubali au ukatae
Nashangaa sana ani .. Tunatumia Nguvu nyingi kumtetea mtu ambaye hajaokba tumtetee
Hivi ni wapi aliwahi tuombe tumthibitishe kama yupo
Sijasema ugeuza swali kisha ulitolee majibuKama anajua kuwa naenda motoni basi ameshajua kuwa nitaacha ibada
Imani ina sababu na dalili hivyo imani si hisia.Binadamu ana intelligence ambayo kazi yake kuu ni kujiuliza maswali na kuyatafutia solution
kama ikiwa aidha hujiulizi hayo maswali au ukijiuliza ukiona hupati majibu una turn hicho kitu kuwa imani na kubakia na conclusion fulani zisizo na ushahidi wowote unakuwa huna tofauti na wanyama wengine wanaoishi tu kwa senses bila ya kureason
Ng'ombe ni kiumbe, waislam hatuamini kilichoumbwaKwanin uamin Allah na sio ng'ombe
Kwaiyo ni mambo ambayo hayakwepeki hata ufanye jitihada gani kwasababu tayari umeshapangiwa iwe hivyo au una option ya kwenda kinyume?Inaonekana huelewi,vipi yawe mapya wakati yeye ndio ameamrisha...?
Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?Sasa kama anajua wewe utaishia wapi inamaana alishapanga tangu anakuumba kwamba utaingia motoni na kama kweli yeye ni mwenye huruma kwa nini asingekuokoa tangu mwanzoni kwa maana mwisho wako anaujua?
Hakuna kisicho kiumbe, hivi haya mambo si yapo pre form oneNg'ombe ni kiumbe, waislam hatuamini kilichoumbwa
Kipi nnachoteteta na wapi pamekufanya kuona kuwa sijui nnachotetea?Hukielewi unachokitetea.
Kujua au kutokujua kitu hakiondoa uhalisia wa jambo.
Mfano mtu anayehangaika kusukuma ukuta akitegemea kuuangusha huyu mtu tunasema anajichosha tu maana hatofanikiwa katika kusudio lake.
Au tuchukulie mfano mwingine, dini za watu wanaoabudu masanamu,miti, wanyama nk ,watu hawa nao wana imani ipo siku nao wataingia peponi jambo ambalo Mungu anajua fika kuwa hawa mwisho wao utakuwa motoni maana wameshindwa kumuabudu yeye na wanaabudu vitu vingine wakidhani wanamuabudu Mungu halisi.
Naomba unioneshe alipojibu japo kwa screenshotHilo swali ameshakujibu.
Kwani wapi nimesema amebadilika? Nahisi wewe hujui ata nnachozungumza.Kama anabadilika badilika basi hayupo perfect.
Nimekujibu, sema hivi "SITAKI JIBU ULONIPA KWA SABABU SIVYO NNAVOTAKA LIWE"Sijasema ugeuza swali kisha ulitolee majibu
Sijauliza kama mungu alijua kua utaacha ibada, Nimekuuliza mungu akijua kua wewe ni wa motoni je kuenda kwako kanisani kufanya ibada kutakufanya uende peponi??
Ujuzi wako unaufananisha na ujuzi wa mungu ambaye hakosei na ndiye mpangaji wa maisha ya binadamu ambaye hakuna kitu kitachotokea bila kuruhusiwa na mungu kwasababu yeye ndiye muamuzi wa mwisho???Kujua sio kupanga. Mfano, unaweza kumuona mtoto ukasema "huyo atazima tv saivi" Akiizima TV manake wewe umepanga?
Hujapangiwa wewe uwe muovu bali Mola wetu anajua kila kitu.Kwaiyo ni mambo ambayo hayakwepeki hata ufanye jitihada gani kwasababu tayari umeshapangiwa iwe hivyo au una option ya kwenda kinyume?
Mungu sio kiumbe.Hakuna kisicho kiumbe, hivi haya mambo si yapo pre form one
Hujasoma livings things and non livings things eti?
Nijibu swali langu uliloquote tafadhali, then nikujibu lako.Ujuzi wako unaufananisha na ujuzi wa mungu ambaye hakosei na ndiye mpangaji wa maisha ya binadamu ambaye hakuna kitu kitachotokea bila kuruhusiwa na mungu kwasababu yeye ndiye muamuzi wa mwisho???
Ngoja nitumie mfano huo huo wa mtoto na baba kama ulivyofanya
Unaweza kumuadhibu mtoto kwa kosa ambalo ulijua kua atalifanya na ukaset mazingira ya kumfanya afanye hilo kosa kwa makusudi ili akifanya tu umuadhibu???
Nimekujibu, sema hivi "SITAKI JIBU ULONIPA KWA SABABU SIVYO NNAVOTAKA LIWE"
Mungu kama anajua mimi naenda motoni, ibada nnazofanya hazitasaidia kitu kwa sababu ameshajua kuwa nitakuja kufanya maovu ambayo hizo ibada hazitosaidia kitu.
Ndio Kwasababu hayupoMungu sio kiumbe.
Mwanzo ulianza kulalama kua atheist wanakimbia maswali, nilipokuuliza swali ukakimbia kulijibu kwa kusema unajibu kwa mtindo wa kuuliza swaliNijibu swali langu uliloquote tafadhali, then nikujibu lako.