Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Umeshakubali kuwa kutokujua kwako akubadilishi kitu kabisa , sasa unachofanya ndio kujichosha sasa , kama vile ambavyo ukuta ausogei ndivyo ibada zako aziwezi badili chochote katika kile Mungu alichokupangia kabla ujaanza izo ibada zako rahisi kabisaaa
Kutokujua kwangu alilopanga Mungu kunanifanya nisijue kama amebadilisha maono. Naweza kusema kuwa maono yake Mungu ni mimi mtu wa peponi kwa sababu ameona kuwa nitakuwa nafanya ibada. Kwaio lazima nitazifanya izo ibada kwaio nitakuwa sijajihangaisha bali nitakuwa natekeleza kile kile alichokiona Mungu wangu.
Ikiwa maono yake ni kwamba mimi ni mtu wa motoni (Allah aniepushie) basi bila shaka itakuwa sifanyi ibadi mpaka kufa kwangu na aliniona zamani kuwa nitakuwa naenda kinyume nae.
 
Kutokujua kwako akubadilishi alilopanga juu yako kipi uelewi !!! unachofanya wewe ni kujichosha kwasababu tayari ameshamua na hakuna wakubadilisha ata ukiswali bila kula , hii ndio tafasiri ya kusukuma ukuta na kujitoa jasho bureee
Tayari safari imeanza kukushinda. mi nilikuomba uwe unanijibu ila tayari unaanza kusepa.

Hakuna mahali ambapo panasema kuwa Mungu ameamuwa fulani aende motoni (kabla ya siku yake ya hukumu). Bali tunasema kuwa ANAJUA wewe utaishia wapi.
Malumbano yenu nimeyafuatilia na nimeona hamuwezi kufika mwisho unaofanana . Kwa vile kila moja anazo Imani zake. Ni vizuri tukaheshimu kila upande bila shurti. Kwa ndiyo democracy yenyewe.

Mungu awepo au asiwepo libakie kuwa swala la mtu binafsi, na lisiwe shurti kwa jamii nzima. Upeo wetu wa kufafanua uwepo au kutokuwa kwa Mungu unalingana na mapokeo yetu. Tuvumiliane
 
Malumbano yenu nimeyafuatilia na nimeona hamuwezi kufika mwisho unaofanana . Kwa vile kila moja anazo Imani zake. Ni vizuri tukaheshimu kila upande bila shurti. Kwa ndiyo democracy yenyewe.

Mungu awepo au asiwepo libakie kuwa swala la mtu binafsi, na lisiwe shurti kwa jamii nzima. Upeo wetu wa kufafanua uwepo au kutokuwa kwa Mungu unalingana na mapokeo yetu. Tuvumiliane
Mkuu, mimi sijachangia hii mada ili nimlazimishe mtu kuamini nnachoamini. Ni wajibu wangu kufundisha ninachokijua, na sio wajibu wangu kumlazimisha mtu akubali nnachokubaliana nacho mimi.

Wameuliza, nimewajibu. Akikubaliana na jibu sawa, asipokubaliana nalo kwa sababu tu anachukizwa na nnachoamini mimi, hilo ni juu yake.

Kuna mdau hapo nimemwambia yupo huru kuchagua kama kuamini uwepo wa mungu au kuupinga, simlazimishi mtu mkuu.

JF hakuna mjadala wa imani uliofikia maelewano. Shida ni kwamba wengine wanachangia wakiwa hawana elimu na kulazimisha watakavyo
 
Kutokujua kwangu alilopanga Mungu kunanifanya nisijue kama amebadilisha maono. Naweza kusema kuwa maono yake Mungu ni mimi mtu wa peponi kwa sababu ameona kuwa nitakuwa nafanya ibada. Kwaio lazima nitazifanya izo ibada kwaio nitakuwa sijajihangaisha bali nitakuwa natekeleza kile kile alichokiona Mungu wangu.
Ikiwa maono yake ni kwamba mimi ni mtu wa motoni (Allah aniepushie) basi bila shaka itakuwa sifanyi ibadi mpaka kufa kwangu na aliniona zamani kuwa nitakuwa naenda kinyume nae.
1. Kwahiyo unathubitishia kuwa Mungu wako ana maono tu lakini apangi ?
 
1. Kwahiyo unathubitishia kuwa Mungu wako ana maono tu lakini apangi ?
Yapo anayopanga na yapo asiyoyapanga bali anajua matokeo yake ni yapi.

Inabidi hili swali ndio umeshindwa kulijibu?

Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi?
 
mfano hapa.mimi si kiranga ila umenijibu kwa sababu nimeuliza swali.lakini jibu hili si sahihi.

maana si wewe au mkristo anayejua ni kwanini Mungi hajawahi kuonekana kwa macho.
Tabu sasa wanajifanya wana majibu yote . wafia dini wanashangaza sana..
 
Mkuu, mimi sijachangia hii mada ili nimlazimishe mtu kuamini nnachoamini. Ni wajibu wangu kufundisha ninachokijua, na sio wajibu wangu kumlazimisha mtu akubali nnachokubaliana nacho mimi.

Wameuliza, nimewajibu. Akikubaliana na jibu sawa, asipokubaliana nalo kwa sababu tu anachukizwa na nnachoamini mimi, hilo ni juu yake.

Kuna mdau hapo nimemwambia yupo huru kuchagua kama kuamini uwepo wa mungu au kuupinga, simlazimishi mtu mkuu.

JF hakuna mjadala wa imani uliofikia maelewano. Shida ni kwamba wengine wanachangia wakiwa hawana elimu na kulazimisha watakavyo
U a right sir
 
Binaadamu hatuna uwezo wa Kumuona Mungu.

Hata katika Bibilia sababu ya Mungu kutomuona limetajwa. huwa nashangaa kwanini huwa hamkisomi kitabu chenu wenyewe mkakielewa vizuri?

Exodus 33:20 But He said, "You cannot see My face, for no man can see Me and live!"
mimi najua ndio maana nikakuuliza wewe muislamu,biblia haijasema kwanini Mungu hataki tuonane naye.
 
Yapo anayopanga na yapo asiyoyapanga bali anajua matokeo yake ni yapi.

Inabidi hili swali ndio umeshindwa kulijibu?

Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi?
Maono ya Mungu ayajawai kubadilika kwasababu mipango yake wala ashauriani na mtu , na tena anasema ameandika kila kitu kwenye daftari sasa inabadilika nini ? huo ni wasiwasi wako wewe ili uendelee kujichosha , kama Mungu ameandika wewe ni wamotoni ata ukiswali uendi peponi na kama ameandika wewe wa peponi ata usiposwali uendi motoni , wewe unachofanya ni kujichosha uwezi badilisha kitu
 
Mungu anayajua hayo kwa sababu yeye ndio muumbaji, mwenye ujuzi wote na mwenye kuyajua yaliyoficha ndani ya nafsi za viumbe.

Unafikiri hili swali unaweza kujibu apa chini?
Utajuaje kama maono yake yamebadilika baada ya kuacha kusali ikiwa hujui mwanzo maono yake ni yapi?
Nimekujibu mawazo ya Mungu ayajawai kubadilika na hakuna wa kuyabadilisha , ndio maana kila kitu kakiandika kwenye kitabu kuwa wewe chilubi kama ni wamotoni ata ukeshe ukifanya ibada wewe jikoni tu , na kama kwenye daftari umeandikwa wewe ni wa peponi ata ulewe na ulale bar utaenda tu peponi hakuna wa kubadili hicho kilichoandikwa
 
Malumbano yenu nimeyafuatilia na nimeona hamuwezi kufika mwisho unaofanana . Kwa vile kila moja anazo Imani zake. Ni vizuri tukaheshimu kila upande bila shurti. Kwa ndiyo democracy yenyewe.

Mungu awepo au asiwepo libakie kuwa swala la mtu binafsi, na lisiwe shurti kwa jamii nzima. Upeo wetu wa kufafanua uwepo au kutokuwa kwa Mungu unalingana na mapokeo yetu. Tuvumiliane
Mungu mnaemtangaza amejaa makando mengi wacha tumuhoji
 
mimi najua ndio maana nikakuuliza wewe muislamu,biblia haijasema kwanini Mungu hataki tuonane naye.
Aya niliyokuletea hapo juu imeshasema kuwa hawezekani mtu akamuona akisha akaendelea kuishi. Jibu lipo wazi kwetu sisi waislam kwanini hatumuoni kwa usahih kabisa. Kama upande wenu bibilia haijakuwekeeni bayana tena hayo ni ya kwenu na ni wajibu wako kumuuliza mwalimu wako na kumhoji.

Musa a.s alitaka kumuona Allah baada ya shinikizo kutoka kwa mayahudi, alipoenda aliambiwa utizame mlima, ikiwa utabakia basi utaniona, matokeo yake mlima ulivurugika na yeye kuzimia. Kwaio sio kwamba Mungu kajificha, bali haonekani
 
Unajichosha kuswali ili iweje kumbe majibu Mungu wako anayo ?kumbe Mungu wako ndio anaamua wa motoni au wa peponi wala sio matendo yako
Tutaingia peponi kwa rehma zake ila muovu haingii peponi mzee.

Pepo inapambaniwa na inatafutwa.
 
Maono ya Mungu ayajawai kubadilika kwasababu mipango yake wala ashauriani na mtu , na tena anasema ameandika kila kitu kwenye daftari sasa inabadilika nini ? huo ni wasiwasi wako wewe ili uendelee kujichosha , kama Mungu ameandika wewe ni wamotoni ata ukiswali uendi peponi na kama ameandika wewe wa peponi ata usiposwali uendi motoni , wewe unachofanya ni kujichosha uwezi badilisha kitu
Mungu amesema kuwa atakaefanya wema ataenda peponi na atakaefanya mabaya ataenda motoni. Kwaio Mungu ameshajua kuwa yoyote atakaefanya mema huyo ni mtu wa peponi, sasa wewe hujui mpaka siku yako ya kufa utakuwa una amal gani. Na Kama Mungu anajua mimi mtu wa Peponi, basi ni kwa sababu ameshajua kuwa nitakua nafanya ibada na ndio maana akajua ivo na haitobadilika.
 
Aya niliyokuletea hapo juu imeshasema kuwa hawezekani mtu akamuona akisha akaendelea kuishi. Jibu lipo wazi kwetu sisi waislam kwanini hatumuoni kwa usahih kabisa. Kama upande wenu bibilia haijakuwekeeni bayana tena hayo ni ya kwenu na ni wajibu wako kumuuliza mwalimu wako na kumhoji.

Musa a.s alitaka kumuona Allah baada ya shinikizo kutoka kwa mayahudi, alipoenda aliambiwa utizame mlima, ikiwa utabakia basi utaniona, matokeo yake mlima ulivurugika na yeye kuzimia. Kwaio sio kwamba Mungu kajificha, bali haonekani
kwahiyo unaamini qurani imeeleza vyema kwamba Mungu hajajificha si ndio???simply utukufu wake tu ndio unatutenga naye.

haya nipe connection kwanini unaamini ukisali atakusaidia katika utukufu huu?
 
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.

Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.

Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!

Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.

Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.

Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo

Ni kweli. Hebu sikiliza hizi debates 2: ,
 
kwahiyo unaamini qurani imeeleza vyema kwamba Mungu hajajificha si ndio???simply utukufu wake tu ndio unatutenga naye.

haya nipe connection kwanini unaamini ukisali atakusaidia katika utukufu huu?
Allaha katika Quran ametwambia ivi:

4:124. "Na anaye fanya mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini - basi hao wataingia Peponi wala hawatadhulumiwa hata kadiri ya tundu ya kokwa ya tende."
 
Back
Top Bottom