Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishia

unakubali hilo?

Maana hata hapa naweza kukithibitishia ukasema sijathibitisha
 
Mshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
hahaha umenifanya nitabasamu asee, bora umejitanabaisha mwenyewe kuwa umechoka, kwani inaonekana hata BIBLE TAKATIFU hujasoma ndio maana swali la kwanza na la pili yote huna majibu yake ingawa majibu yote yapo bayana tena kwa uzuri sana kwenye Biblia.
Anyway Kwa Mungu mtoto mdogo hana mshahara wowote wa dhambi kwakuwa hajui alitendalo bado so watoto wadogo Ufalme wa Mungu ni wao Freely kabisa.
Kwa upande wa swali la pili Biblia pia imefafanua kwa kiwango cha kueleweka kwa amani kabisa, kwamba Bustani ya Edeni yaani dunia na vijavyo dunia vyote viliumbwa kwa manufaa ya Mtu (adamu na uzao wake yaani sisi). Adamu alikabidhiwa kuvitawala vyote chini ya nchi so baraka na laana ya vitu vyote ilikuwa connected mikononi mwa adamu, that's why kwa kutenda dhambi aliathirika yeye na vyote vilivyokuwa connected naye pia ikiwemo mbingu na nchi, wanyama na mimea na binadamu wote.(adamu alikuwa ndiye central main hub mzee) MUNGU YUPO, ANAELEWEKA VYEMA KABISA SEMA NI UCHAGUZI WA MTU TU KUTAKA KUMWELEWA AU KUTOMUELEWA sema yote hayo hufanyika kwa kipindi tu fulani cha ustawi wa maisha lakini muda unapowadia Mungu utamuelewa pasipo hata kuulizauliza hapa JF, kwani yeye ndiye anayepoint watu wala sio sisi.
 
Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishia

unakubali hilo?

Maana hata hapa naweza kukithibitishia ukasema sijathibitisha
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
 
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
Ukishindwa mala ya kwanza ya pili fanya kusudi

Naona umekimbia hoja nilizokupa kwa kivuli kua hazijafata utaratibu uliotaka wewe ujibiwe kwasababu zimekuzidi kimo

Huwezi kukubali kua nimejibu kwasababu kukubali kwako kutakufanya uonekane umekimbia hoja zangu hiyo ni weakness yako
 
Ukishindwa mala ya kwanza ya pili fanya kusudi

Naona umekimbia hoja nilizokupa kwa kivuli kua hazijafata utaratibu uliotaka wewe ujibiwe kwasababu zimekuzidi kimo

Huwezi kukubali kua nimejibu kwasababu kukubali kwako kutakufanya uonekane umekimbia hoja zangu hiyo ni weakness yako
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
 
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
Hata usumbuki kuandika we una paste tu au siyo??

Sasa kwa kujua huwezi kukiri hilo kua hoja zako zimejibiwa na hutaki kuonekana kama umezishindwa. Basi acha nikuthibitishie unavyotaka ili kuufanya mjadala usonge mbele sasa sawa??
 
mfano mkuu ukiulizwa kwanini Mungu ameamua kujificha kabisa!!!hakuna ambaye amewahi kumuona.

utajibu kwa sababu ni swali,au utajibu jibu sahihi??
si kweli Mungu ameamua kujificha, na wapo watu kadhaa ambao wamepata Neema ya kuonana naye (lakini je ushuhuda wao utaukubali ewe mwana uliyeamua kuchagua upande wa kupinga?) Mungu anatuambie ....nikaribieni nami nitawakaribia, niiteni nami nitaitika, Lakini .... Maovu yetu yametutenga na Uso wa Mungu hata tusimuone. Je, unalazimisha kumuona katikati ya kiburi hiki cha kumpinga? Hutamuona isipokuwa kwa siku ya hasira yake tu! Anyway Wana wa Israel wali force sana kutaka kumuona live kama wewe, Siku ya tatu alipotokeza uwepo wake kwenye Mlima Sinai, waulize kilichowafanya wamwambie Musa kwamba "Hawataki tena Mungu ashuke kuonana nao bali Musa aendelee tu kufanya naye contact peke yake na wao waletewe ujumbe tu.
Mkuu, kwa Upande wa Manabii pia, Isaya, Yeremia, Daniel, Mtume Yohana, Mtume Paulo n.k wote walipata neema ya kuuona uso wake kidogo lakini jasho liliwatoka, na hata nguvu ya miguu kusimama haikubaki, walizimia nusu kufa bob!
MUNGU YUPO SEMA KUNA WALIOCHAGUA KUWA UPANDE WA KUKATAA NA DHAMIRI ZAO ZIKIPINGANA NAO.
 
Hata usumbuki kuandika we una paste tu au siyo??

Sasa kwa kujua huwezi kukiri hilo kua hoja zako zimejibiwa na hutaki kuonekana kama umezishindwa. Basi acha nikuthibitishie unavyotaka ili kuufanya mjadala usonge mbele sasa sawa??
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
 
Mimi naomba kitu kimoja kwako, nacho ni kwamba na wewe uwe unajibu maswali kama vile nlivokuwa nayajibu yako. kama huwezi kujibu useme kabisa. Mana nishawazoea. Mkiulizwa mnakimbia.

Mungu anajua mwisho wangu ni upi na wapi, lakini mimi mwanadamu alieniumba sijui mwisho wangu ni wapi, sasa kama sijui mwisho wangu ni upi, nikisali iweje useme najichosha na wakati mimi sijui? Naomba jibu.
we hujichoshi ata ila kwa maelezo yanadai kuwa unapitia alichokipanga tayari ata ndo mana huwez kuamin na mjenga hoja anapitia yalioshapangwa... sasa ukibisha hili maana yake unabishia uwezo wa mungu kuwa sio mkubwa kiasi iko... mjengo hoja huenda mungu anaemuamin yeye anadai sio katiri ambae anaweza kuwa ameshapanga kukuadhibu kabla ww ujaanza kuishi.
 
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.

Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.

Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!

Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.

Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.

Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
Kuamini kwamba Mungu yupo it's all about "consciousness spirituality" kwahiyo ukitoa spirituality no religion will exist. Ndiyo maana wenyewe wanokataa, ukiwauliza watakujibu kutokana na kile ambacho "consciousness" yao inawaambia ndicho atakuwa Mungu wao kwa sababu hakuna mtu anayeisha bila "beliefs system" japo watakwambia Mungu hayupo.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
 
Back
Top Bottom