Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Mungu anajificha kwa binadamu aliyemuumba anaogpa nn vita au nn
Wewe kama ntakuwa sijakosea, utakuwa ni mkiristo. Sijakujibu kwa sababu umeuliza swali, nimekujibu kisahih kabisa.

Sasa ngoja nikwambie kwanini Mungu hajajificha na ni kwamba hatuna uwezo wa kumuona;

Quran 6:103 Allaha anatwambia ivi : 103. "Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari " na ndio hatumuoni.
 
Swali zuri,kuna mjinga mmoja nilimuuliza swali kama hili hakujibu.
Huwa wanapenda kujitia ujinga, huyo mmoja apo juu imebidi nimuulize hio tafsiri kaitoa wapi 😀 Wanageuza maana ili ziwakidhi watakavyo.
 
Huwa wanapenda kujitia ujinga, huyo mmoja apo juu imebidi nimuulize hio tafsiri kaitoa wapi 😀 Wanageuza maana ili ziwakidhi watakavyo.
Hawa huwa wanakariri ujinga wa wakubwa zao.

Sasa hivi nimeanzisha mtindo ili na wao wawe sasa wanatumia akili zao vizuri.

Nawajibu maswali yao,nahakikisha mpaka wanajihukumu wenyewe na asipo jibu maswali ninayo muuliza hakuna kuendelea nukta nyingine mpka ile iishe.
 
Hawa huwa wanakariri ujinga wa wakubwa zao.

Sasa hivi nimeanzisha mtindo ili na wao wawe sasa wanatumia akili zao vizuri.

Nawajibu maswali yao,nahakikisha mpaka wanajihukumu wenyewe na asipo jibu maswali ninayo muuliza hakuna kuendelea nukta nyingine mpka ile iishe.
😀 😀 ndio dawa hio. Maana wanajidai kutumia njama ye kujibu swali kwa swali. Yaani hata pasipostahili kutumika hio kanuni basi wao wanalazimisha.
 
😀 😀 ndio dawa hio. Maana wanajidai kutumia njama ye kujibu swali kwa swali. Yaani hata pasipostahili kutumika hio kanuni basi wao wanalazimisha.
Na maswali huwa hawajibu kabisa.
 
Tatizo mnakariri!

Ni ajabu swali likajibiwa kwa swali?

Mathalani ukijibu utapungukiwa na nini?

Acha kukariri! Wewe thibitisha Mungu hayupo tutaendelea.
Umeshindwa kukiri kua huwezi kuthibitisha mungu yupo??
 
Swali zuri,kuna mjinga mmoja nilimuuliza swali kama hili hakujibu.
Mnawapa uvivu wa kuwajibu sio kwamba hawataki

Hivi Mufti inamaana nyie ni vikongwe mno kiasi kwamba hata kombolela hamkucheza..!?

Kwanini mnauliza maana ya kujificha wakati mnafahamu hakika ya maana yake..?

Kama mna maana nyengine tofauti na ile tuliyoizoea waswahili tujuzeni_uwanja wenu huu
 
Kwanini mnauliza maana ya kujificha wakati mnafahamu hakika ya maana yake..?
Inaonekana hukumakinika ulipokuwa unajiandaa kujibu hoja yangu.

Kwa akili yako hata kama ni mjinga mtu kiasi gani,unawezaje kumnasibisia Muumba na sifa au kitendo cha kujificha ? Vipi hili ni sawa kwake ?

Sasa ninachowafundisha watu humu,wanatakiwa wajifunze elimu ya utambuzi wa maana za maneno kwanza kisha ndio wahoji. Jambo msilolijua ni kuwa kuna maneno mengine huwa daima hayakubali sehemu nyingine na ukilazimisha unakuwa unapoteza maana na kuonekana kituko katika jambo hilo,na hili la "kujificha" nimiongoni mwa maneno hayo,pindi linapotumika kwa Mola muumba linakuwa halileti na halifidishi haja.

Kwa minajil hiyo sasa,wao ndio wanawajibika kutupa maana ya kujificha kama wanavyoijua wao na watwambie kwanini wanasibishe tamko hilo kwa Mola mlezi ?

Nasubiri majibu.
 
Mkuu baki na imani yako na jichimbie zaidi katika kuamini kile ukiaminicho kamwe usimwamini mtu uwe na mizizi kwenye kile unachokiamini la sivyo utayumbishwa sana

Usimhukumu mtu kwa imani yake bali mweleze uzuri waimani uloiamini pengine waweza kumvuta na kufuata imani yako
Sio lazima kila mtu afuate imani yako... Huna haja ya kumhubiria mtu ambacho unaamini
 
Umeshindwa kukiri kua huwezi kuthibitisha mungu yupo??
Kama point zipo hofu inatokea wapi sasa?

Au umekariri? Kwamba lazima aanze nami nimalizie kwa maswali?

We thibitisha Mungu hayupo tuendelee na mjadala.
 
Kama point zipo hofu inatokea wapi sasa?

Au umekariri? Kwamba lazima aanze nami nimalizie kwa maswali?

We thibitisha Mungu hayupo tuendelee na mjadala.
Kwasababu umeshindwa kukiri kua huwezi kuthibitisha mungu yupo na huwezi kukubali kua umeshindwa

basi kupitia reaction yako nimejiongeza kua huwezi kuthibitisha ni kwasababu wengi wenu mmekaririshwa na sio kosa lako, hilo nimemaliza sina mjadala nalo tena

Sasa kwakua unataka uthibitishiwe kua mungu hayupo nataka uniweke wazi mungu yupi unayemkubali, Kuna allah yawe, yehova nk?
 
Inaonekana hukumakinika ulipokuwa unajiandaa kujibu hoja yangu.

Kwa akili yako hata kama ni mjinga mtu kiasi gani,unawezaje kumnasibisia Muumba na sifa au kitendo cha kujificha ? Vipi hili ni sawa kwake ?

Shida ni kwamba_unashindwa kuitendea tafsiri ndogo haki yake kwa kuelemewa na mahaba

Huyo unayemuita wewe kuwa Mungu ni wa heshima kwako, kwa wengine bado ni kituko.Hivyo usishangae kunasibishwa kwa namna yoyote ile ya maana

Usitake watu wakiwa wanamzungumzia wampe heshima kama uonavyo wewe kana kwamba wamemkubali

Nimekwambia kama una maana nyengine ya neno kujificha tofauti na lile tulilozoea waswahili bainisha, tatizo ni nini Mufti..!?
 
Kwasababu umeshindwa kukiri kua huwezi kuthibitisha mungu yupo na huwezi kukubali kua umeshindwa

basi kupitia reaction yako nimejiongeza kua huwezi kuthibitisha ni kwasababu wengi wenu mmekaririshwa na sio kosa lako, hilo nimemaliza sina mjadala nalo tena

Sasa kwakua unataka uthibitishiwe kua mungu hayupo nataka uniweke wazi mungu yupi unayemkubali, Kuna allah yawe, yehova nk?
Ewaaa! Sasa umekuja! Na tutamjua ni nani aliyekariri baina yangu na yako.

Mungu tutakayemzungumzia ni Allah!

Tuingie kwenye mjadala. Twende kazi.
 
Back
Top Bottom