ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 11,016
- 9,720
Kwahiyo kwa akili yako kila unalolisema basi ni sehemu ya imani yako ?, nimekwambia wazi nimetumia maandiko yale ili kupinga hoja yako mfu eti uthibitisho wa Mungu yupo ni AYA za Quran, lakini ukitolewa AYA Yesu ni kweli amesulubiwa na kufufuka uzitaki , ebu elewa hili jambo dogo hili , ama kuhusu chanzo hayo ni matatizo yako kila kitu kinasababu yake ya kutokea , kajifunze neno "CAUSE" sio " SOURCE" labda unaweza elewa , kuhusu kuku na yai , kuku ndio utoa yai mbona hiko wazi , ata mbegu hurutubishwa na kuwa mtoto ajabu iko wapi, yai kutoa mtoto wakati mbegu hurutubishwa muleNacheka sana. Unapotatua jambo huwa unaangalia nini ? Chanzo cha tatizo au sababu ya kutokea tatizo ? Na ipi tofauti kati ya "sababu" na "chanzo" au kwako wewe tamko "chanzo" halipo ?
Husemwa hivi,kila sababu ina chanzo lakini si kila chanzo kina sababu.
Kati ya Yai na Kuku lipi huanza ? Jibu swali,usikimbie swali hili.
Hivi kule nilipokuuliza kwamba unakubali kama kuna mwanzo,baada ya kusema Yesu ndio Alfa na Omega ? Kisha nikakuuliza una maanisha au ulikuwa una wanukulia Wakristo ? Sikuona unajibu swali hili ? Au kama umejibu naona nikumbushe.