Atheism ni nini?

Atheism ni nini?

Tiger naomba ukasome tena kitabu cha mwanzo vizuri, halafu maelezo yako yanabase kwenye sayansi ambayo imekuja miaka mingi baadae kwa hiyo vyovyote utakavyohoji utarudi kwenye duara lile lile la msingi wa uungu na uwepo wake

Kitabu cha hadithi aliyosimuliwa nani? Where is the authenticity?
 
Last edited by a moderator:
Binafsi siwashangai watu wasiamini uwepo wa Mungu kwakuwa wapo baadhi nimeishi nao kwa karibu kabisa na ni kweli hawajui chochote kuhusu Mungu hawajawahi kumsikia wala habari zake hawazifahamu hawana chochote wajuacho wamezaliwa hivyo wamekua wakiwa hivyo! shida yangu ni hawa wenye majina ya dini zetu wamebatizwa au wawepewa majina kufuatana na imani za wazazi wao wamekulia humo na hata baada ya kuja kujifanya hamamjui Mungu wameshindwa kuyakana majina yao hayo na kurudi mbele ya nyumba za ibada na kudeclare kuwa wao si waamini tena na viapo vyao na ubatizo wao ni batili
 
kwa kiswahili neno athaism ni upagani....ni hali ya kutoamini uwepo wa Mungu...wana sababu zao na ukizisikiliza haziwezi kukuingia akilini na wala hutozielewa hata uzisikie kwa lugha yako ikiwa wewe ni muumini wa dini fulani/unaamini uwepo wa Mungu.
 
kama unakubaliana kwa dhati kabisa na hiyo sentensi niliyotia red unaweza kutuambia mungu alikotokea?

Mwenyezi Mungu ndio wa mwanzo kama wanavosema wataalam katika cosmology kuwa asili lazima iwe finite lakini nyinyi mnakariri mnasema ni infinite na finite ukitoa infinite unapata contradiction..kwahiyo nasimamia hoja yangu kuwa asili ya binadam ndiyo inatufany sisi tuamini uwepo wa Mwenyezi Mungu...acheni kukariri.
 
Kwahiyo Mungu alimsimulia muandishi wa kitabu cha mwanzo jinsi alivyoumba siyo?

Bado nakushauri Tiger kasome tena bible kama ukipenda kufanya hivyo kwakuwa kuna jibu kwa kila swali!
 
Last edited by a moderator:
Uungu wa Mungu umejithibitisha kwenye hayo maneno bila wao kujua hasa kwenye hayo maneno 'magically' na 'rearranged itself' hakuna kitu kinachofanyika chenyewe bila nguvu fulani! ni kushindwa kubaya sana huko kwa kusema vilitokea na kujipanga vyenyewe ukisoma BIBLIA takatifu inakupa mwanga kuhusu hilo hasa kwenye kitabu cha mwanzo mstari wa kwanza....Hapo mwanzo alikuwepo neno(conscious energy) naye neno alikuwepo kwa Mungu(conscious mind) naye neno alikuwa Mungu(conscios energy + conscious mind = conscious soul) na huu ndio utatu mtakatifu usiofahamika hata na wasomi mahiri wa elimu zote

Asante!
 
Bado nakushauri Tiger kasome tena bible kama ukipenda kufanya hivyo kwakuwa kuna jibu kwa kila swali!

Nimeisoma ila nimeshindwa kung'amua hilo, pengine sina upako.
Nisaidie tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Nimeisoma ila nimeshindwa kung'amua hilo, pengine sina upako.
Nisaidie tafadhali.

Tiger kama umeshindwa kuelewa ni ngumu mtu mwingine yeyote kuweza kukuelewesha na ukaelewa yani ni sawa na kunywa cocacola halafu tubishane kuhusu ladha yake mimi niseme ni tamu sana na wewe useme ila sukari sana utakuta kimsingi tunamaanisha kitu kilekile ila kwa muktadha tofauti lakini wakati huohuo wewe ukipinga kuwa humaanishi hivyo
 
Last edited by a moderator:
Tiger kama umeshindwa kuelewa ni ngumu mtu mwingine yeyote kuweza kukuelewesha na ukaelewa yani ni sawa na kunywa cocacola halafu tubishane kuhusu ladha yake mimi niseme ni tamu sana na wewe useme ila sukari sana utakuta kimsingi tunamaanisha kitu kilekile ila kwa muktadha tofauti lakini wakati huohuo wewe ukipinga kuwa humaanishi hivyo

Poa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu kubishana hawa watu ni ngumu sana
jibu ni dogo wacha wafe wakakutane naye hukohuko ndo watajua
isitoshe hao wakina Darwins na wanzake wameshaujua ukweli huko walipo na wanatamani waje wa-withdraw/kutengua kauli zao za kuwa Mungu hayupo lkn Uhuru wakuja kusema hayo hawana tena.
Kama Atheist hawaamini hata kwa kuona
uumbwaji wa Dunia na vilivyomo na kuleta theory yao ya Big bang
Sasa ndo wataamini swala La Kiroho?
Maana hili ni swala kiroho ya mtu anavyotendewa na Mungu wake
mf: leo asubuh nakwambia usiku ni meongea na malaika, ushahidi wa maneno yangu hautakuwepo hata nikueleze vipi kamwe hutoamini kama tu umeamua kutoamini Bali ukweli utabaki ndani yangu mwenyewe kuwa leo usiku nimeongea na Malaika baaasi itabaki kuwa hivyo ila kamwe kwasababu sijakupa ushahidi audio or video tape ya maongezi yetu Ndo uniamishe kuwa hujaonana na malaika na wala hakuna kitu kama hicho bali ulikuwa unaota!! Haizekani kamwe!!
Umeongea mambo yasiyokuwa na maana.. Nani alishawahi muona Mungu sasa mpaka kusema tukifa tutakutana nae
 
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.

Ukweli ni kuwa tupo wengi tusioelewa, Ombi langu kama nitaweza kupata maelezo ya undani kwa kiingereza rahisi kama sio kiswahili!
Atheism Kwa lugha rahisi ni ujinga
Atheists Kwa lugha rahisi ni wajinga/mazuzu

Another qn please
 
Back
Top Bottom