Atheism ni nini?

Atheism ni nini?

Hoja mbili kubwa ndizo zinatupelekea sisi kuamini uwepo Mwenyezi Mungu.
1.Asili ya ulimwengu...wote tunakubaliana na msingi wa out of nothing, nothing come...ma-atheist wanasema ulimwengu haujatokana na kitu chochote.lakini haiwezekani ulimwengu huu na hali yote hii ijitokee tu.
2.suluhisho la moral objective value...theism ina msingi mzuri wa morality kama love your neighbor as yourself katika msingi huu unapata ukarimu, upendo...lakini atheist wanasema sisi ni mashine tuliotokana na DNA ..!! Wao ni very confusion...mfano.simba akimrarua swala anakuwa na hatia..hivyo hivyo ngombe dume akimrukia jike anaambia amebaka kwa hiyo human being tuna utaratibu na suluhisho la kiulimwengu ni kumuamini uwepo Mungu wa Ibrahim.

kama unakubaliana kwa dhati kabisa na hiyo sentensi niliyotia red unaweza kutuambia mungu alikotokea?
 
yote bu bla bla tu definition halisi ya hawa watu ni Makufar.. au makafiri..... au mnataka na maana ya ukafiri
 
I think it is wrong ku-argue na atheist ukianzia katika msingi, wao ni God-haters. Na ndio maana mijadala huwa haiishi.

Kwanini nasema hivyo, mfano: I hate Nigerian movies mie kuhate Nigerian movies does not mean hazipo, zipo ila sizipendi.

So ukisema atheist ni God-haters hiyo ina maanisha jamaa hawa wanajua kuwa Mungu yupo ila wanamchukia au hawamtaki, hiyo sio sahihi.

Atheist wao wanajua kuwa Jamaa hayupo na ukija ukamwambia yupo basi njoo na uthibitisho.

Kwahiyo basi, ni muhimu sana uje na uthibitisho kuwa mwenyezi yupo na sio maelezo ya kumsuuza roho asiwe hater awe lover

Hiyo ndio namna yak u-argue nao ni kuwapa uthibitsho uliosimama kweli kweli.

I think it is wrong ku-argue na atheist ukianzia katika msingi, wao ni God-haters. Na ndio maana mijadala huwa haiishi.

Kwanini nasema hivyo, mfano: I hate Nigerian movies mie kuhate Nigerian movies does not mean hazipo, zipo ila sizipendi.

So ukisema atheist ni God-haters hiyo ina maanisha jamaa hawa wanajua kuwa Mungu yupo ila wanamchukia au hawamtaki, hiyo sio sahihi.

Atheist wao wanajua kuwa Jamaa hayupo na ukija ukamwambia yupo basi njoo na uthibitisho.

Kwahiyo basi, ni muhimu sana uje na uthibitisho kuwa mwenyezi yupo na sio maelezo ya kumsuuza roho asiwe hater awe lover

Hiyo ndio namna yak u-argue nao ni kuwapa uthibitsho uliosimama kweli kweli.


Ni kweli mkuu kubishana hawa watu ni ngumu sana
jibu ni dogo wacha wafe wakakutane naye hukohuko ndo watajua
isitoshe hao wakina Darwins na wanzake wameshaujua ukweli huko walipo na wanatamani waje wa-withdraw/kutengua kauli zao za kuwa Mungu hayupo lkn Uhuru wakuja kusema hayo hawana tena.
Kama Atheist hawaamini hata kwa kuona
uumbwaji wa Dunia na vilivyomo na kuleta theory yao ya Big bang
Sasa ndo wataamini swala La Kiroho?
Maana hili ni swala kiroho ya mtu anavyotendewa na Mungu wake
mf: leo asubuh nakwambia usiku ni meongea na malaika, ushahidi wa maneno yangu hautakuwepo hata nikueleze vipi kamwe hutoamini kama tu umeamua kutoamini Bali ukweli utabaki ndani yangu mwenyewe kuwa leo usiku nimeongea na Malaika baaasi itabaki kuwa hivyo ila kamwe kwasababu sijakupa ushahidi audio or video tape ya maongezi yetu Ndo uniamishe kuwa hujaonana na malaika na wala hakuna kitu kama hicho bali ulikuwa unaota!! Haizekani kamwe!!
 
jamaan ubishi katika mambo ya mungu haufai anayeamini kama mungu yupo aendelee kuamini na asiyeamin naye aendelee na imani yake
 
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.

Ukweli ni kuwa tupo wengi tusioelewa, Ombi langu kama nitaweza kupata maelezo ya undani kwa kiingereza rahisi kama sio kiswahili!

Maana yake ni Ukafiri au upagani,, mpinga kuwezo kwa Mungu......
 
Mungu wetu si Mungu wa mizaha wanafikiri wanamkana kumbe ndio kwanza wanamhubiri na kukiri uwepo wake

Mkuu, kunamahali umesema haiwezekani vitu fulani vikaji-arrange from nothing. Ila ukanukuu maneno from the bible kwamba hapo mwanzo alikuwako neno(kitabu cha yohana siyo mwanzo). Ukadai kuwa huyo neno ni energy lakini ukasahau kuwa energy pia unahitaji au hutokana na matter, refer E=mc^2. Now explain to me where did that neno=energy came from.
 
I think it is wrong ku-argue na atheist ukianzia katika msingi, wao ni God-haters. Na ndio maana mijadala huwa haiishi.

Kwanini nasema hivyo, mfano: I hate Nigerian movies mie kuhate Nigerian movies does not mean hazipo, zipo ila sizipendi.

So ukisema atheist ni God-haters hiyo ina maanisha jamaa hawa wanajua kuwa Mungu yupo ila wanamchukia au hawamtaki, hiyo sio sahihi.

Atheist wao wanajua kuwa Jamaa hayupo na ukija ukamwambia yupo basi njoo na uthibitisho.

Kwahiyo basi, ni muhimu sana uje na uthibitisho kuwa mwenyezi yupo na sio maelezo ya kumsuuza roho asiwe hater awe lover…

Hiyo ndio namna yak u-argue nao ni kuwapa uthibitsho uliosimama kweli kweli.


Wanajua Mungu hayupo au wanaamini Mungu hayupo ? Tatizo ni kwamba wanaamini Mungu hayupo,lakini imani yao hawataki iitwe imani bali huona ni Ujuzi na honyesha chuki za wazi kwa Mungu. hivyo kweli ni God-Haters, wengi ni watu wenye uwezo mkubwa wa Kukariri huku uwezo wa kutafakari ukiwa chini mnoooo.
 
kama unakubaliana kwa dhati kabisa na hiyo sentensi niliyotia red unaweza kutuambia mungu alikotokea?

Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa la GOD haters, mnajua kwamba waamini Mungu wanajua kuwa Mungu alikuwa kabla ya Wakati (Time). Matter and space, lakini kwa kuwa hata maswali ya kuuliza mmekariri, unauliza ''alitokea wapi'' alikotokea, yaani unamuweka Mungu sawa na viumbe wengine ili upewe maelezo sawa na viumbe wengine wa ndani ya ''Matter,Time and Space'' nawe wajiona mjanja...
Mungu Ndiye Mwanzilishi wa UHAI.
Kupitia Uhai wangu naeweza kumwelezea Mungu,Lakini huyo wa ushahidi wa kuletewa kwenye test tube Utasubiri sana.
 
Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa la GOD haters, mnajua kwamba waamini Mungu wanajua kuwa Mungu alikuwa kabla ya Wakati (Time). Matter and space, lakini kwa kuwa hata maswali ya kuuliza mmekariri, unauliza ''alitokea wapi'' alikotokea, yaani unamuweka Mungu sawa na viumbe wengine ili upewe maelezo sawa na viumbe wengine wa ndani ya ''Matter,Time and Space'' nawe wajiona mjanja...
Mungu Ndiye Mwanzilishi wa UHAI.
Kupitia Uhai wangu naeweza kumwelezea Mungu,Lakini huyo wa ushahidi wa kuletewa kwenye test tube Utasubiri
sana.

Naam, nimechagua kusubiri kuliko kuamini blindly!
 
I think it is wrong ku-argue na atheist ukianzia katika msingi, wao ni God-haters. Na ndio maana mijadala huwa haiishi.

Kwanini nasema hivyo, mfano: I hate Nigerian movies mie kuhate Nigerian movies does not mean hazipo, zipo ila sizipendi.

So ukisema atheist ni God-haters hiyo ina maanisha jamaa hawa wanajua kuwa Mungu yupo ila wanamchukia au hawamtaki, hiyo sio sahihi.

Atheist wao wanajua kuwa Jamaa hayupo na ukija ukamwambia yupo basi njoo na uthibitisho.

Kwahiyo basi, ni muhimu sana uje na uthibitisho kuwa mwenyezi yupo na sio maelezo ya kumsuuza roho asiwe hater awe lover…

Hiyo ndio namna yak u-argue nao ni kuwapa uthibitsho uliosimama kweli kweli.

utahate vipi kitu kisichokuwepo?!!! wewe unaanza tu kumhate santa claus au yule samaki mtu mwenye mkia?!!
 
Mkuu, kunamahali umesema haiwezekani vitu fulani vikaji-arrange from nothing. Ila ukanukuu maneno from the bible kwamba hapo mwanzo alikuwako neno(kitabu cha yohana siyo mwanzo). Ukadai kuwa huyo neno ni energy lakini ukasahau kuwa energy pia unahitaji au hutokana na matter, refer E=mc^2. Now explain to me where did that neno=energy came from.

Tiger naomba ukasome tena kitabu cha mwanzo vizuri, halafu maelezo yako yanabase kwenye sayansi ambayo imekuja miaka mingi baadae kwa hiyo vyovyote utakavyohoji utarudi kwenye duara lile lile la msingi wa uungu na uwepo wake
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu kubishana hawa watu ni ngumu sana
jibu ni dogo wacha wafe wakakutane naye hukohuko ndo watajua
isitoshe hao wakina Darwins na wanzake wameshaujua ukweli huko walipo na wanatamani waje wa-withdraw/kutengua kauli zao za kuwa Mungu hayupo lkn Uhuru wakuja kusema hayo hawana tena.
Kama Atheist hawaamini hata kwa kuona
uumbwaji wa Dunia na vilivyomo na kuleta theory yao ya Big bang
Sasa ndo wataamini swala La Kiroho?
Maana hili ni swala kiroho ya mtu anavyotendewa na Mungu wake
mf: leo asubuh nakwambia usiku ni meongea na malaika, ushahidi wa maneno yangu hautakuwepo hata nikueleze vipi kamwe hutoamini kama tu umeamua kutoamini Bali ukweli utabaki ndani yangu mwenyewe kuwa leo usiku nimeongea na Malaika baaasi itabaki kuwa hivyo ila kamwe kwasababu sijakupa ushahidi audio or video tape ya maongezi yetu Ndo uniamishe kuwa hujaonana na malaika na wala hakuna kitu kama hicho bali ulikuwa unaota!! Haizekani kamwe!!

gody wala si ngumu kubishana nao
 
Last edited by a moderator:
kuchagua kusubiri ushahidi wa kimaabara na kusema hayupo ni vitu tofauti mkuu

Mimi naamini katika ushahidi (evidence), niko tayari kubadili mawazo juu ya kitu chochote wakati wowote kunapotokea ushahidi wa kutosha, kwa muda huu sijaona ushahidi hata tone, hivyo sina sababu ya kuamini.
 
Mimi naamini katika ushahidi (evidence), niko tayari kubadili mawazo juu ya kitu chochote wakati wowote kunapotokea ushahidi wa kutosha, kwa muda huu sijaona ushahidi hata tone, hivyo sina sababu ya kuamini.

Unaweza kuwa kweli unaamini katika ushahidi, lakini uwezo wa kutambua na kuona ushahidi ukawa hunao,hivyo hata ukipewa ushahidi wa aina gani kama uwezo wa kuutambua huna ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi.na hicho ndicho kiwatatizacho Atheist wengi, ushahidi unaowalazimisha kutafakari haukubaliki kwa kuwa kutafakari kwao ni janga.
Lau kama unajua aina ya ushahidi uutakao sema ili Upewe...
 
Back
Top Bottom