CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
Hoja mbili kubwa ndizo zinatupelekea sisi kuamini uwepo Mwenyezi Mungu.
1.Asili ya ulimwengu...wote tunakubaliana na msingi wa out of nothing, nothing come...ma-atheist wanasema ulimwengu haujatokana na kitu chochote.lakini haiwezekani ulimwengu huu na hali yote hii ijitokee tu.
2.suluhisho la moral objective value...theism ina msingi mzuri wa morality kama love your neighbor as yourself katika msingi huu unapata ukarimu, upendo...lakini atheist wanasema sisi ni mashine tuliotokana na DNA ..!! Wao ni very confusion...mfano.simba akimrarua swala anakuwa na hatia..hivyo hivyo ngombe dume akimrukia jike anaambia amebaka kwa hiyo human being tuna utaratibu na suluhisho la kiulimwengu ni kumuamini uwepo Mungu wa Ibrahim.
kama unakubaliana kwa dhati kabisa na hiyo sentensi niliyotia red unaweza kutuambia mungu alikotokea?