Wewe huna haki ya kuamua wapi hakuna shida na wapi kuna shida.Haya tuendelee hakuna shida
Sitarekebisha chochote Kiranga eti kwakuwa tu wewe umesema au mtazamo wako unaona hivyo never..! Wewe ni nani mpaka ujione uko sahihi kuliko mimi? Ita uongo Ita ujinga Ita uvivu sibadilishi hata nukta! Umeshasema zaidi ya mara kumi kuwa mimi ni muongo na nimeandika ujinga nimekukatalia mara zote hizo kwahiyo usidhani kuwa unaweza kunibadili msimamo wangu sasa ukiweza badili wako na sikulazimishi kwakuwa una maamuzi binafsiWewe huna haki ya kuamua wapi hakuna shida na wapi kuna shida.
Shida ipo.
Umeandika uongo, ujinga na uvivu.
Rekebisha ulichoandika kabla ya kusema hakuna shida.
Usiporekebisha shida lazima iwepo.
Sio lazima mkuu mfano mdogo nikisema hakuna binadamu mwenye Macho matatu si lazima nianze na imaniMkuu, nashangaa kwa nini watu wanaleta ubishi. Kukiri kwamba Mungu au shetani hayupo ni lazima ujenge imani kwamba hakuna Mungu wala shetani, likewise kukiri kwamba Mungu ama shetani yupo ni lazima ujenge imani katika mafundisho hayo.
Unaweza kunisaidia mkuu wewe unajua unalengo gani kuu hapa duniani????Sayansi inaonyesha jinsi vitu vilivyo, bila kuonyesha kusudi lake. Why are we here? What is purpose of life? Biblia inatoa maana na lengo la vitu ivo.
Naona umemkataaKuungwa mkono na wengi kwa uwepo wa kitu flani, haitoshi kudhibitisha kuwa kitu flani kipo.Mimi sijakushawishi uamini uwepo wa kitu flani, ndio maana sina haja ya kukupa shahidi...lakini kama nitamtaka mtu aamini uwepo wa kitu flani, nitamjia na shahidi...sasa wewe unataka uniamini kwa lipi?

Umekataa lakini hujaweza kukanusha (kwa maana ya disprove). Kuna tofauti.Sitarekebisha chochote Kiranga eti kwakuwa tu wewe umesema au mtazamo wako unaona hivyo never..! Wewe ni nani mpaka ujione uko sahihi kuliko mimi? Ita uongo Ita ujinga Ita uvivu sibadilishi hata nukta! Umeshasema zaidi ya mara kumi kuwa mimi ni muongo na nimeandika ujinga nimekukatalia mara zote hizo kwahiyo usidhani kuwa unaweza kunibadili msimamo wangu sasa ukiweza badili wako na sikulazimishi kwakuwa una maamuzi binafsi
Kuna wakati watu karibu dunia nzima waliamini jua linazunguka dunia.Kuungwa mkono na wengi kwa uwepo wa kitu flani, haitoshi kudhibitisha kuwa kitu flani kipo.Mimi sijakushawishi uamini uwepo wa kitu flani, ndio maana sina haja ya kukupa shahidi...lakini kama nitamtaka mtu aamini uwepo wa kitu flani, nitamjia na shahidi...sasa wewe unataka uniamini kwa lipi?
Mkuu usipoteze time yako kwa huyo kiumbe,yeye alishajiaminisha tayari kua humu JF yeye ndio kila kitu! Wakati kiuhalisia hana ajualo zaidi ya kuleta humu mada za Kufikirika na za kishirikina tu,Kama wewe si mjinga , muongo na mvivu, kwa nini hutaki kusahihisha uongo, ujinga na uvivu uliouandika katika original post?
Do you want me to? Are you daring me?![]()
![]()
at least you can repeatedly say this...but you can't go beyond trust me
Leo kakutana na kigingi kinachokwenda kwa facts.Mkuu usipoteze time yako kwa huyo kiumbe,yeye alishajiaminisha tayari kua humu JF yeye ndio kila kitu! Wakati kiuhalisia hana ajualo zaidi ya kuleta humu mada za Kufikirika na za kishirikina tu,
Amesha zowea kuwapotosha watoto wa Shule humu!
Wewe ndiye uliyeishiwa hoja.Mara zote mtukanifu ni mtu aliyeishiwa hoja kwahiyo ukifanya hivyo sitashangaa
Haha..mkuu Huyo jamaa kumbe kakupania.Mara zote mtukanifu ni mtu aliyeishiwa hoja kwahiyo ukifanya hivyo sitashangaa
Hehe kwa hiyo mkuu hutaki watumie arguments ambazo wanaona ni valid? Kwani mtu kutumia argument aliyosoma somewhere kuna shida gani? Hata mwenye dini akiwa anatetea si anatumia yaleyale tu anayosikia kwa wengine au kusoma kwenye vitabu vya dini ambavyo hajui hata viliandikwa wapi.
Na unavyosema argumets za magharibi unanishangaza, em nipe mfano hata moja! So tatizo lako ni magharibi au? U r forgetting hao hao wa magharibi ndiyo walikuja kusambaza dini hizi huku Afrika, i think its logical kutumia arguments zao kwenye discussion maana hata mwenye dini anatumia vitabu vilivyotoka huko huko kwao, unless you can argue kua for some reason dini zili~exist naturally everywhere and not spread.
Ni kama mnavyoulizana swali la dunia ilianza lini, dini inakwambia about 4000~6000years ago, ila science inakwambia about 4.5billion years ago, science can provide proof, dini haiwezi, no offense ila siwezi mlaumu mwana sayansi kwa kitu kama hiki au nikamuita mjinga maana hapo mjinga ni mimi, yeye proof anayo na ni mathematically valid hata we unaweza pima leo hii. Ndo maana nasema it all start from the feeling kua hawa jamaa ni tofauti na wewe, unawaona kama rivals.
Ofcoz wapo atheists ambao they dont want to mind their own business na kua tolerant, same goes for watu wa dini, utofauti ni ule watu wa dini wanaweza kwenda kwenye extremes na kuua kabisa which I find plain stupid.
Mimi nimekuomba?Wewe ndiye uliyeishiwa hoja.
Ndiyo maana unaniomba nikutukane ili mimi nionekane sina hoja.
Umesema kila atheist anaamini kwamba Mungu hayupo kwa sababu Mungu haonekani.
Huo ni uongo, ujinga na uvivu ambao umekataa kuusahihisha hata baada ya kuelezwa hilo.
amazing!Hujui kama umeniomba.Mimi nimekuomba?![]()
![]()
![]()
amazing!