Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,309
- 51,972
Lakini mshana huoni kwamba kiranga yupo sahihi kwa maelezo yake?Bado uko pale pale kwenye mtazamo na personal attacks
Sikereki na wewe kwakuwa mimi sio muongo sio mvivu wala sio mjinga...kwa reply yako hii naona unazidi kuchanja mbuga kuelekea vichakani
The biggest joke ni kwamba eti mimi ni mbishi na sitaki kueleweshwa! Duu mimi mshana anieleweshe mtu anayejiita Kiranga![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi nimerudi kusoma tena uzi wako ili nijue wewe na kiranga nani mbishi.
Wewe umesema ukimuuliza atheist yeyote kwanini haamini uwepo wa Mungu atakwambia ni kwasababu hajawahi kumuona.
Kiranga anajitetea kwamba kutoamini kwake uwepo wa Mungu sio kwasababu hajawahi kumuona (ana sababu zingine tofauti na hiyo ya kutokuonekana kwake)
Kiranga yupo sahihi kwamba bandiko lako ni uongo, maana yeye ni atheist na sababu iliyomfanya kuwa hivo sio kutokuonekana kwa huyo mungu tu bali ana sababu zingine.
Mimi pia siamini uwepo wa mungu. Na kutokuamini kwangu uwepo wa huyu mungu sio kwasababu hauonekani.
Hivyo nikisema unatuwekea maneno mdomoni nitakuwa sijakosea.