Atheism: Imani nusu na robo

Atheism: Imani nusu na robo

Mshana naomba ututake radhi aisee... Sisi hatuamini kwamba Mungu yupo, si kwasababu haonekani... bali kuna sababu zaidi ya 100.
 
Mimi sio atheist na niite lost soul or whatever (which actually proves my point, you are intolerant even though u claim not to be). Nakushangaa unasema you never stated kua atheists should cease to use westeners arguments, rudi pitia post yako that's exactly what you wrote. Unaanza kubadilisha mambo baada ya kuona argument yako haikua valid.

Alafu don't talk about science when you know nothing about it. Unasema its still in an infant stage, hehehe are u kidding me? Just because we can't do teleportation doesn't mean science hasn't grown, infact it has grown exponentially, its very mature, we are still a type I civilization lakini what we have achieved is very great.

I'm surprised unai-ditch science when its the reason upo jamiiforumns leo unapost, its the same thing that makes it possible for you to talk to someone who is on another country, you could even talk to someone standing on the moon because of this science unayohisi its wrong, ndiyo some rules zinabadilika, lakini ipo classical ambayo it has been proven and it won't ever change, scientists wanaposema dunia ni 4.5Billion years old kwa kutumia radioactivity, who are you to think otherwise? leo hii ni kitu naweza kukiprove laboratory na ukakiona, na same law inatumika kwenye vitu kama generation ya nuclear energy, umeme wa nuclear upo, kwa nini tuseme its wrong when its clear that it works?

We uliza swali lolote unalotaka kuuliza ambalo unahisi ni scientific na sitokua na jibu, maana hata mimi nikikuuliza kuhusu mambo ya dini utabaki umehaha tu, huwezi hata kunipa proof kua mungu wako ndiye mungu wa kweli zaidi ya kuspeculate, em nipe jibu according to the bible Earth is like 6000 years old, what evidence is there to backup your claim? usiniambie amini tu kama ilivyoandikwa, hata bible inakwambia utumie akili.

I know nothing about science? I can smell your egregious pompousness pal.

I still hold firmly what i've said science is still in infancy for being used as a basis of dismissal of God's existance, maybe i owe you more explanations to demystify my assertion so that you could get what i intetionally meant. Science can not be totally relied upon to generate our rationale since it's limitations and some of its findings are not dogmatic. The fact of today is false of tomorrow eg.when you were at primary level of school you were keeping told that there are only nine planets in the solar systems but what do they tell you today!?

Does the science carry full evidences about everything we know today!?? hapa jibu ni absolute no na hata wewe mwenyewe huwezi kuwa na jibu jingine zaidi ya hili.....science does not create the laws it just postulates what it observes in laws of nature and i know your quantum physics can't give us the original creater of force of gravity, if you disagree elucidate to me now.

Mr.Newton alivyoweza kuigundua force of gravity na kuipachika jina analotaka yeye ambalo leo hii wote tunaaccept na hiyo haimanaanishi kwamba force hiyo haikuwepo bali ilikuwepo isipokuwepo hakuna anaefahamu ni nani kaileta.

Start with a nature....is nature a creation or eternal and has always existed?
Kama jibu ni creation, ni vitu vipi au ni nani anaeyeunda hiyo nature na kama jibu ni eternal ni kipi hasa kinafanya the nature to eternally exist!?

Can you prove in the laboratory how the ceasation of all bilogical reactions in human body takes place with your naked eyes?

Kwanini unaona hayo mafanikio ya kisayansi uliyoyataja yanatosha kabisa kwamba sasa sayansi inaweza kutumika kama ground ya kupinga uwepo wa Mungu? na hapa ndio dhumuni la post yangu limelalia huko kwingine kote nimejaribu kukuelewesha tu alafu unaonekana unasoma maelezo yangu kwa haraka haraka tu bila kuelewa hili uireply.

Hilo swali uliloniuliza wewe hapo kwenye last paragrah limekaa kibishani na hasa kiimani kwani hapa sijasema Mungu wa nani yuko sahihi na wanani sio sahihi so ni muendelezo wa kujionyesha wewe ni misconstruer.
 
Nani kasema unalazimika kunijibu?

Unajua kusoma wewe?
Ingekuwa silazimiki basi ungenijibu kwanza na sio kwamba hadi mie nikujibu ndiyo nawe unijibu,huoni kuwa hapo nalazimika kukujibu?

Au we unajua kusoma ila hauelewe maana ya hicho unachokisoma? maana kujua kusoma haina maana unaelewa usomacho.
 
Ingekuwa silazimiki basi ungenijibu kwanza na sio kwamba hadi mie nikujibu ndiyo nawe unijibu,huoni kuwa hapo nalazimika kukujibu?

Au we unajua kusoma ila hauelewe maana ya hicho unachokisoma? maana kujua kusoma haina maana unaelewa usomacho.
Unalazimikaje?

Sijakushikia bunduki, sijaku blackmail, sijasema usiponijibu nitakufungia akaunti yako.

Unalazimika kunijibu kwa minajili gani?

Unafahamu kulazimika maana yake ni nini?

Unalazimika vipi kunijibu?

Ukiamua usinijibu uamue uende kulala sasa hivi, nitakulazimishaje unijibu?
 
Unalazimikaje?

Sijakushikia bunduki, sijaku blackmail, sijasema usiponijibu nitakufungia akaunti yako.

Unalazimika kunijibu kwa minajili gani?

Unafahamu kulazimika maana yake ni nini?

Unalazimika vipi kunijibu?

Ukiamua usinijibu uamue uende kulala sasa hivi, nitakulazimishaje unijibu?
Kulazimisha hakuhusiana na hivyo vitu ulivyotaja,ila unaweza kutumia hivyo vitu kutishia kwa kulazimisha kitu.
 
Habari za kumuhusu Mungu ni za KUSADIKIKA, na hazina ukwel wowote ule.
1473358901511.jpg

Kwa mfano nikikwambia UTHIBITISHE hautaweza, zaidi ya kuleta Hekaya hapa.
 
Unakataa kuniambia wewe ni nani humu hadi uniulize maswali kwa aina hapo mwanzo kwa kutaka hadi nikujibu maswali yako.
Hujanionesha nilivyokulazimisha. Mimi nimekuuliza, unaweza kujibu, unaweza kupotezea.

Unaweza kunionesha nilivyokulazimisha?

Hujanionesha bado.
 
Una hakika atheists wote hawaamini Mungu kwa sababu hawajamuona?

Au kufikiri hivyo ni matokeo ya kukosa elimu kwako tu?
wote ni matokeo ya jamaa wachache walijifungia na kufafanua vitu ambayo hwavielewi na kujipatia wafuasi wasiohoji mizizi ya wanachokihubiri dunia nzima. Ndio maana karibu wote walikufa hawajapata majibu ya wanachodhani wanakijua na kuwaacha wafuasi wakitapataba with surface evidence.
 
Kuna kitu wengi tunashindwa kukikiri ili uwe atheist ni lazima uwe na msingi...na hapa ndio dhana ya imani inapotokea
Ni lazima usome Biblia na Misahafu mingine halafu usikubaliane na kile kilichoandikwa mle... .uwe na uwezo wa kuhoji
.kile kitendo cha kusoma Biblia na mafundisho mengine ya jinsi hiyo tayari unakuwa umejengeka kiimani, imani juu ya Mungu uwepo wake nk halafu ndio sasa uende kinyume na hayo yote
Mkuu, hili jambo linafanana sana na je, secret societies(like Illumiati) ni dini?
 
Macho yako yamejaa ujinga, uongo na uvivu, sishangai kama ukiwa huoni tatizo.
Mr Kiranga hili neno "mjinga unalitumia vibaya.

Mjinga ni mtu ambae akieleweshwa anaelewa.

Lakini kuna neno "M P U M B A V U" ambalo huitwa mtu ambae hata akieleweshwa haelewi japo unakuta unamuelewesha jambo rahisi tu.

Sasa hapa unapoteza muda kumwelewesha mtu jambo wakati amejitia upumbavu.
 
Back
Top Bottom