Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,170
Mkuu wewe ni atheist au atheist sympathiser?
Sijui hata kama ulinielewa nilichokusudia hasa katika maelezo yangu. Mimi nimeelezea hawa atheists hususani tulionao humu wanavyojiona wana uelewa wa hali ya juu kuhusu swala zima la imani na hata kuwaadaa wengine wenye mtazamo tofauti na wa kiimani na wa kwao kwamba ni wajinga, wakati kimsingi wao ndio wa kuwahurumia kwa sababu wako ignorantly brainwashed.
Na hakuna mahala mimi nimesema mwenye imani tofauti na wao ndio yuko correct na wala sijasema kwamba wasiendelee kuamini wanachokiamini vile vile pia sikusema nina proof 100% kwamba imani yangu iko sahihi... so that all of these were spurious annotations and prevarications of yours.
Ukitaka kuona hawa wako ignorantly brainwashed wanatumia logical fallacy ambayo ni argumentum ad velecundium wanapo deal na ant-atheist, wanatumia philosophical explanations za wapinga Mungu wa magharibi kama back up ya huo uatheist wao. Sasa mtu kama huyu anaanza vipi kujiona yeye ana akili sana kama na hata kudharau wasiofanana na yeye?
Kuhusu kuheshimu imani ya mtu mimi sina tatizo ila tatizo isipokuwa sina heshima kwa mjinga mjinga anaeiga vitu ambavyo hata yeye mwenyewe hana uelewa navyo na kuvitumia kama fimbo ya kuwachapia wengine.
Pamoja na hivyo sehemu kubwa nakubaliana na wewe hasa hizo paragrah mbili za mwisho.
Hehe kwa hiyo mkuu hutaki watumie arguments ambazo wanaona ni valid? Kwani mtu kutumia argument aliyosoma somewhere kuna shida gani? Hata mwenye dini akiwa anatetea si anatumia yaleyale tu anayosikia kwa wengine au kusoma kwenye vitabu vya dini ambavyo hajui hata viliandikwa wapi.
Na unavyosema argumets za magharibi unanishangaza, em nipe mfano hata moja! So tatizo lako ni magharibi au? U r forgetting hao hao wa magharibi ndiyo walikuja kusambaza dini hizi huku Afrika, i think its logical kutumia arguments zao kwenye discussion maana hata mwenye dini anatumia vitabu vilivyotoka huko huko kwao, unless you can argue kua for some reason dini zili~exist naturally everywhere and not spread.
Ni kama mnavyoulizana swali la dunia ilianza lini, dini inakwambia about 4000~6000years ago, ila science inakwambia about 4.5billion years ago, science can provide proof, dini haiwezi, no offense ila siwezi mlaumu mwana sayansi kwa kitu kama hiki au nikamuita mjinga maana hapo mjinga ni mimi, yeye proof anayo na ni mathematically valid hata we unaweza pima leo hii. Ndo maana nasema it all start from the feeling kua hawa jamaa ni tofauti na wewe, unawaona kama rivals.
Ofcoz wapo atheists ambao they dont want to mind their own business na kua tolerant, same goes for watu wa dini, utofauti ni ule watu wa dini wanaweza kwenda kwenye extremes na kuua kabisa which I find plain stupid.