Atheism: Imani nusu na robo

Atheism: Imani nusu na robo

Atheist wa kweli kabisa hajui hata MUNGU ni kitu gani wala hatambui kabisa uwepo wake si kwa kujifanya la hasa bali anamaanisha... Hawa tunaobishana nao humu ni atheists chotara ama atheists makinikia waliozaliwa wakapata kipaimara wakabatizwa nk kisha wakaja kukengeuka imani
 
FB_IMG_1657375079603.jpg
 
As an Athiest. This makes more sense than
20221130_205631.jpg
 
Wazungu wengi ni Atheists kwann pasaka na xmas wanasherekea sana na kujaa makanisani
 
Mkuu. Nimeona ni heri nikuulize huku kwenye mada husika.

Kwa mtazamo wako na Agnostic ni imani?
Agnosticism ni msimamo wa kifalsafa au imani kwamba kuwepo kwa Mungu, miuungu, au nguvu isiyo ya kawaida haijulikani au haijulikani kwa asili. Badala ya usadikisho wenye msingi wa imani, ni msimamo juu ya mipaka ya ujuzi wa mwanadamu, unaosisitiza kwamba hakuna ushahidi wa kutosha kuthibitisha au kukanusha kuwepo kwa mamlaka ya juu zaidi.
 
Back
Top Bottom