Huna sababu ya kuandika ninachotaka mimi bali unatakiwa kuchangia hoja.
unataka tuandike unachopenda wewe.
Kejeli, matusi, hufanywa na watu wasio na akili. Kutukana, hata kichaa anaweza, lakini kichaa hata siku moja hana uwezo wa kujenga hoja.
Anayetukana au kukejeli, ni uthibitisho usio na shaka kuwa kichwani kumepungua, na kwa vile JF, kimsingi ilianzishwa kama platform ya great minds, mtu wa namna hiyo ni misfit hapa.
Anaweza kusoma bila kuchangia kwa sababu hana uwezo wa kuchangia. Akitulia na kusoma kutoka kwa wenye uelewa, ataelelimika.