Ujumbe kwa waliotuma hii CD
"Tumefikia kutoa CD hii ili kuchangia katika utawala wa uwazi na ukweli. ATC inapojaribu kujirejesha kwenye mafanikio haina budi kufanya hivyo kwa uwazi na ikiweka maslahi ya Taifa mbele. Ndege yetu mpya tuliyokodi toka kampuni ya Wallis Trading ya Liberia inatarajiwa kuwasili nchini siku yeyote ndani ya wiki hii au siku chache zijazo endapo mambo ya logistics na permissions za kutua sehemu mbalimbali zitakamilika katika hiyo Ferry Flight.
Kwa hakika ni ndege ambayo inapendeza na itageuza shingo za watu pindi itakapopaa kwenye anga letu. Na kwa vile tayari tumepokea ndege mbili za Dash 8 siku chache zilizopita basi ni wakati muafaka kwa Watanzania kuiona mikataba inayohusiana na ndege hizo zote.
Tafadhali fungua kwanza File le PDF la "Introduction" ambalo litakupa utangulizi wa nyaraka nyingine. Baadhi ya Nyaraka zimefanyiwa marekebisho ya mwisho ambayo hayajaweza kupatikana na hivyo kuwapa wasomaji idea tu; pale ambapo marekebisho yamejulikana basi tumeyaambatanisha.
La msingi ni kutambua kuwa hadi hivi sasa tumeshaanza kuilipia ndege hiyo zaidi ya dola 400,000 kwa mwezi pamoja na faini ya kuchelewa kupata udhamini ya dola elfu sitini kwa kila mwezi ambapo udhamini huo haujapatikana. Tunatumaini Watanzania wataelewa zaidi kuhusu shirika lao hilo jipya.
Na mwisho tumeweka habari hii hadharani kama ishara ya kupinga ufukuzwaji kazi wa watumishi wenzetu watano siku chache zilizopita hasa baada ya wao kuonekana wanahoji hoji sana utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wakuu wa shirika hili."
Enigma
Ujumbe kwa waliotuma hii CD
"Tumefikia kutoa CD hii ili kuchangia katika utawala wa uwazi na ukweli. ATC inapojaribu kujirejesha kwenye mafanikio haina budi kufanya hivyo kwa uwazi na ikiweka maslahi ya Taifa mbele. Ndege yetu mpya tuliyokodi toka kampuni ya Wallis Trading ya Liberia inatarajiwa kuwasili nchini siku yeyote ndani ya wiki hii au siku chache zijazo endapo mambo ya logistics na permissions za kutua sehemu mbalimbali zitakamilika katika hiyo Ferry Flight.
Kwa hakika ni ndege ambayo inapendeza na itageuza shingo za watu pindi itakapopaa kwenye anga letu. Na kwa vile tayari tumepokea ndege mbili za Dash 8 siku chache zilizopita basi ni wakati muafaka kwa Watanzania kuiona mikataba inayohusiana na ndege hizo zote.
Tafadhali fungua kwanza File le PDF la "Introduction" ambalo litakupa utangulizi wa nyaraka nyingine. Baadhi ya Nyaraka zimefanyiwa marekebisho ya mwisho ambayo hayajaweza kupatikana na hivyo kuwapa wasomaji idea tu; pale ambapo marekebisho yamejulikana basi tumeyaambatanisha.
La msingi ni kutambua kuwa hadi hivi sasa tumeshaanza kuilipia ndege hiyo zaidi ya dola 400,000 kwa mwezi pamoja na faini ya kuchelewa kupata udhamini ya dola elfu sitini kwa kila mwezi ambapo udhamini huo haujapatikana. Tunatumaini Watanzania wataelewa zaidi kuhusu shirika lao hilo jipya.
Na mwisho tumeweka habari hii hadharani kama ishara ya kupinga ufukuzwaji kazi wa watumishi wenzetu watano siku chache zilizopita hasa baada ya wao kuonekana wanahoji hoji sana utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wakuu wa shirika hili."
Enigma
Ahsante mkuu,
Mziki uko bomba, wale ambao mziki unakokoro, jaribuni kuupdate player kwenda kwenye 8.0.
Ujumbe kwa waliotuma hii CD"Tafadhali fungua kwanza File le PDF la "Introduction" ambalo litakupa utangulizi wa nyaraka nyingine. Baadhi ya Nyaraka zimefanyiwa marekebisho ya mwisho ambayo hayajaweza kupatikana na hivyo kuwapa wasomaji idea tu; pale ambapo marekebisho yamejulikana basi tumeyaambatanisha.
." Enigma
"dola laki sitini " ndio ngapi?, mbona unaziweka kimafumbo, fafanua pls.
Jee unamaanisha dola millioni 6? au vipi? kama ni hivyo, unaweza kutupa ushahidi wa hilo? kama si hivyo tunaomba ufute hiyo na uweke sawa.
HIVI WE MZEMBE,LINI UTAANZISHA MADA YA MSINGI WATU WAICHANGIE BADALA YA KILA SIKU KUJIFANYA CRITIC?SIKILIZA HIYO CD KWANZA KABLA YA KUKOSOA TU.GET A LIFE,ATTENTION-SEEKER
Mimi nimeshindwa kufungua hayo mafaili....naomba mtusaidie kutuma tena jamani....
Mimi nimeshindwa kufungua hayo mafaili....naomba mtusaidie kutuma tena jamani....
Get adobe 8 iko free hii kitu balaaa
Bwana natoka jasho na ngoma za kwetu, Mdumange, jamani nchini ina nini mbona kila kitu kina kuwa na sura ya Richmondi? Mataka atatuambia nini hapa..fisadi, fisadi
Mimi nimeshindwa kufungua hayo mafaili....naomba mtusaidie kutuma tena jamani....
Muziki haufunguki vipi?