J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,208
Kwa sheria gani hapa u.s.a
Ngumbalo wewe,ngoja nikuripoti
Ngumbalo wewe,ngoja nikuripoti
Dalili ya mvua mawingu, ila kabla ya yote mchane live labda atabadilika, kama hato badilika achana nae hawo ndo wale wanaume ambao hawajui majukumu yao wamewaachia wake zaoHabari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.
Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.
Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.
Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Mkuu.....😀😀😀😀Kama wewe ndiyo huwa unamuita aje kula kaa kimya...sio kwamba hajui majukumu yake wala aio kwamba anasahau kuja hata na machungwa ya buku..huyo anakupima uvumilivu wako kumbe nawewe unampima kwa tamaa zako eeboohh
Yani wewe Unampikia ugali dagaa alafu unamsumbua kwenye simu aje kula ili akuletee zawadi ya simu,tv,subwoofer nyie wanawake msijifanye mna akili sana hata sisi tunazo..
Akifika hapo full kujisemesha saivi tungekua tunaskiliza country music,
Nguo zangu zinajikunja sana ningekua na kabati zisingejikunja
Kuna mdada hujamuona hapo nnje..ni mother house yani muda wa kodi ukifika anadai hadi kero haahaaaa...
Mwanamke anapika Ugali tembele mwanaume alipe kodi ya chumba laki kwa mwezi
Mkuu anatengeneza mazingira ya kuachiwa mtoto .Hivi wewe binti huyu jamaa alikuoa?
TWATAKA MREJESHO WOTEHongera mkuu ila hata nyie mkijaga magetoni hamtoi kitu.Hapo ni kwamba unampenda na ukimueleza ukweli unaogopa kumpoteza.
Huijui hata unachokisema walah, I was talking about food! Anunue sabufa wapi ye mwenyewe sabufa.Kama wewe ndiyo huwa unamuita aje kula kaa kimya...sio kwamba hajui majukumu yake wala aio kwamba anasahau kuja hata na machungwa ya buku..huyo anakupima uvumilivu wako kumbe nawewe unampima kwa tamaa zako eeboohh
Yani wewe Unampikia ugali dagaa alafu unamsumbua kwenye simu aje kula ili akuletee zawadi ya simu,tv,subwoofer nyie wanawake msijifanye mna akili sana hata sisi tunazo..
Akifika hapo full kujisemesha saivi tungekua tunaskiliza country music,
Nguo zangu zinajikunja sana ningekua na kabati zisingejikunja
Kuna mdada hujamuona hapo nnje..ni mother house yani muda wa kodi ukifika anadai hadi kero haahaaaa...
Mwanamke anapika Ugali tembele mwanaume alipe kodi ya chumba laki kwa mwezi
Walk away!Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.
Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.
Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.
Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Daah licha ya diko zote ulizo mpikiaHapana