Atayaweza majukumu huyu kweli?

Atayaweza majukumu huyu kweli?

Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Jaribu kumkumbusha ili umrekebishe kwa kupitia utani utani, huenda akaelewa, maana kama ameweza kuleta idea ya ndoa na kisha kukutangazia, Basi ni mtu anayekupenda. Kwa maisha ya sasa ni wanaume wachache sana utakuwa nao kwenye mahusiano wakaanza kukutangazia ndoa.
Hivyo ni bora ujaribu kumfanya ajue majukum yake na kuyakubali, ikishindikana basi uchukue maamuzi mengine.
 
Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.

Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.

Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.

Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Duuhh huyo mkavu sana aisee " lol !!
 
Daah huyu nae cheki anavyowapa watu kazi ya kuandika. Huu uzi wa zamani sana boss msamehe huyu mtoto aliyefukua kaburi lakini comment yako nadhani kuna mtu itamsaidia
Jaribu kumkumbusha ili umrekebishe kwa kupitia utani utani, huenda akaelewa, maana kama ameweza kuleta idea ya ndoa na kisha kukutangazia, Basi ni mtu anayekupenda. Kwa maisha ya sasa ni wanaume wachache sana utakuwa nao kwenye mahusiano wakaanza kukutangazia ndoa.
Hivyo ni bora ujaribu kumfanya ajue majukum yake na kuyakubali, ikishindikana basi uchukue maamuzi mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom