ulishamwabia aje navyo akagoma ata text bby ukija njoo na maji ya uhai akagoma? kuna watu wameumbwa wao kujiongeza ni mwiko mpk waambiwe ndo wanafnya,ushajaribu kumuambia?Mimi sisemi anihonge. Nataka walau achangie kile ambacho na yeye anakula. Inamaana mm ninapompa chakula mamhonga?
zigo hilo la kulelelwa!! temesha nje faster huyo siyo mwanaume. kawqaida ya mwanume akirudi home awe na mfuko!! huyo hawezi kitu! atakusumbua!! hajajitambua bado!! kama mpenzi sawa lakini kama una mipango ya baadaye endelevu- )%Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.
Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.
Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.
Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Angejiongeza bila hata ya kuulizwa, jaribu kuzungumza naye kwanza halafu ulete mrejesho.Habari zenu wanaMMU. Nina mpenzi wangu ambae nnategemea kuwa atakuwa baba watoto ila ana tatizo (mimi naliita tatizo). Ni kwamba yeye ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi,ni kawaida yake huwa anakuja kwangu mara nyingi nampikia chakula.
Anaweza akatoka kazini anapitia kwangu anakula then anaenda kwake.
Hakuna siku utamsikia anasema dia hela hii hapa kanunue mchele au hata yeye mwenyewe kwamba anapokuja abebe walau maji ya uhai, hana muda huo kabisa. Gharama zote nazijua mimi. Tena anaweza kudiriki hata kusema chakula nlichopika ye hakipendi.
Sasa nauliza eti huyu mtu majukumu anayajua? Hata tukiingia ndoani si atanitwisha majukumu yote huyu? Au labda nyie wenzangu mnaonaje tabia hii, ni ya kawaida?
Hakikisha hakuoi huyoAsante kwa ushauri. Nilishawahi kujaribu hii ila anafanya siku hiyohiyo uliyomwambia baada ya hapo km kawaida
Ni wajibu wenuWanawake mna mambo! Sisi mbona tunawapa kila kitu na hatulalamiki
"Ata mimi"ni kweli asee nimechagua kutoamini.
Hii Pointi imekaa sawasawa.Si watu wote ni wakujituma na kujitolea…wewe siku mpigie sim mwambie dia pitia dukani/sokoni uninunulie bidhaa hizi…Kama ni mtu wa kuelewa ataelewa kuwa chakula hakishushwi kutoka mbiguni na atakumbuka kama kuna kitu alikuwa anakosea….
Haswaaaaa.... Unamhonga chakula ettiiii..... TeheTeheMimi sisemi anihonge. Nataka walau achangie kile ambacho na yeye anakula. Inamaana mm ninapompa chakula namhonga?
Ukichoka kujibu kaa kimya, usituondolee burudaniDaah mods naomba mnisaidie kufunga huu uzi. Mambo yalishapita watu wanatiririka tu nakuuliza maswali, nimechoka kujibu
Moderator
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu mbona huwa wanaacha chupi vyumbani mwetu au chupi sio kitu?Hongera mkuu ila hata nyie mkijaga magetoni hamtoi kitu.Hapo ni kwamba unampenda na ukimueleza ukweli unaogopa kumpoteza.