ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,239
- 40,778
Ila D š¤£š¤£š¤£ bado unataka kudekaBasi nadhani wakati umeniacheš Bado naamini true love ipo Ila uwe smart upstairs na mfukoni kunenepeaneš
Ila D š¤£š¤£š¤£ bado unataka kudekaBasi nadhani wakati umeniacheš Bado naamini true love ipo Ila uwe smart upstairs na mfukoni kunenepeaneš
Ukiwa na hiki kipawa lazima uwe na maadui wengi.lakini kuhodhi moyo wa mtu ni kipaji
True love ni nadharia tu haipo, hata Mungu anatupenda ILA tusipomwabudu atatuchoma moto. Wewe kama unapenda kweli bila conditions hongera!!Hata mke wako huna true love nae we mzeešš kasheshe
Mbona nakupenda wewe na unajua babu yanguššTrue love ni nadharia tu haipo, hata Mungu anatupenda ILA tusipomwabudu atatuchoma moto. Wewe kama unapenda kweli bila conditions hongera!!
Hiyo ni nadharia, ukiangalia ukweli haupo hata kama unasemašMbona nakupenda wewe na unajua babu yangušš
Saiz wanatumia code hiiKupenda ni sanaa
Kupenda ni hisia
Kupenda ni pepo, lakini kuhodhi moyo wa mtu ni kipaji.
Usitafute tu nafasi kwenye macho yake,
tafuta mizizi kwenye fikra zake.
Mfanye akukumbuke sio kwa sababu upo karibu,
bali kwa sababu ladha ya uwepo wako haipatikani kwingine kote.
Mnusanishe harufu ya upendo wa dhati,
mtazame kwa macho yanayosoma siri za nafsi yake,
na mpe tabasamu litakalobaki kama picha isiyofutika akilini mwake.
Ukigusa hisia zake kwa usahihi, hatatamani tu kuwa na weweāatafanya kila uwezalo kuwa wako.
kashesheHiyo ni nadharia, ukiangalia ukweli haupo hata kama unasemaš
Shee nitumie ya kvantš¤£
š¤£š¤£š¤£š¤£ shindwaaaa!Huyo na dogo lake dugu mojaššæššæššæ
Mbona mimi nikiingia sitoki?Unajua nini mkuu, everything is affordable saivi, mahusiano yapo so cheap! Ni rahisi kuingia, ni rahisi kutoka, hakuna cha kupoteza, unaanzaje kumpa mtu moyo wako, unataka kuumizwa?
Uliingia wapi huko acha zako!!Mbona mimi nikiingia sitoki?
š¤£š¤£ si huko anakoingia!Uliingia wapi huko acha zako!!
Ndio maana waliimba... Ooh Rhabi usinipe mapenzi... Na wapendwao hakuna...šUkishasema mfukoni kunenepeaneš š neno triue love liondoe. Love doesn't ask why!
Sema wakati unetuacha, japo binafsi siamini sana kwenye true love, haipo..ni nadharia tu. Love is very conditional!
Yana balaa haya Mbaga Jr atajibia iliHaya mafuta ya nini sasa..!šView attachment 3653826
Ooooh!Wapooo! daughter wangu mmojawapo
..