mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,168
mwacheni afanye kazi aliyotuma na Magu kijana wa watu, mzee wa call me J
sawaWe jamaa sijui elimu yako ni level gani, naanza kukuchoka maana kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wewe kama GT ulipaswa kuvijui sasa nashangaa unauliza tu,
Nakusaidia mara ya mwisho, kiutaratibu katika ajira iwe private sector au iwe government muajiri ana haki ya kuomba CV na vyeti vya mfanyakazi wake wakati wowote endapo atahisi kwamba kuna ulazima wa kujiridhisha juu ya jambo flani katika nyaraka hizo.
Mimi sio mwanasheria lakini hizi ni sheria ndogo ambazo hata mtu asiyekua mwanasheria anapaswa kuzijua.
Hilo boss wa Makonda ndo anatakiwa kukujibu na kulifanyia Kazi.sawa
kwa nini huo utaratibu mzuri kabisa husiwe applied kwa Makonda ?
au kwake hiyo sheria haifanyi kazi ?
Sasa c aonyeshe vyeti tu yaishe ,huyu kilaza na mhalifu Wa taaluma ashughulikiwe tuHili la ukuu wa mkoa niliwahi kutabiri hapa nikatukanwa sana, sisi watanzania tunawahi kusahau sana enzi za Mzee Lowassa upepo ulivuma sana mpaka akang'oka alafu mwisho wa siku tunaanza kuaminishwa kwamba ule upepo ilikua bahati mbaya wala Lowassa sio fisadi[emoji23]
Mzee wa watu anakuwaga mkweli sana tena alisema "tatizo ni uwaziri mkuu"
Narudia tena kusema, enzi za Lowassa nilishiriki kumlaumu sana kumbe nilitenda makosa makubwa, nilitumika kisiasa tena nilicheza ngoma bila kujua midundo yake ina maana gani.
Nimejifunza sana kwa hili la Makonda nasubiri kusikia ushahidi umepatikana ndio ntasema Makonda amefoji vyeti, otherwise naamini ukuu wa mkoa ndo unatafutwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] To cut the long story short , kuhusu elimu naona unajiuliza sana, ok nimeishia darasa la Saba, sjui hata mtihani wa form one unafananaje. Moreover Asante mkuu kwa majibu murua.Hilo boss wa Makonda ndo anatakiwa kukujibu na kulifanyia Kazi.
Kumbuka Makonda ni mteule wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa nani ana uwezo wa kumhoji rais kwamba kwanini hajakagua vyeti vya Makonda?
Kwa upande mwingine hizi kelele zinamaanisha kwamba rais sio mtu makini na uteuzi wa Makonda haukua kama bahati mbaya ni lazima alifanyiwa vetting sasa ukisema ana vyeti feki unamaanisha mfumo uliotumika sio makini na rais sio mtu makini.
Mengine kamuulize rais Magufuli, Mimi sitaki kuitwa mchochezi.
Ila kwa maswali yako wewe unaonekana bado uko Shule kama sikosei form six
Kama wewe ni mtu smart basi huwezi kumuita Makonda ni muhalifu ilihali hauna ushahidi na wala haijathibitika mahakamani, haya mambo ya kutuhumu watu bila ushahidi ndio yameshusha credibility ya Makonda huyu tunayempigia kelele hapa, sasa kua makini usije kuonekana hauna uelewa.Sasa c aonyeshe vyeti tu yaishe ,huyu kilaza na mhalifu Wa taaluma ashughulikiwe tu
Hilo ndio wasilolijua na ndio maana hawakuwajali wale waliokuwa na uwezo mkubwa lakini hawakuwa na vyeti. Cha muhimu sasa ni kutumia kanuni ile ile uhakiki ufanyike na kwake. Sitaki kuamini kuwa nchi nzima "mwenye uwezo" amebaki yeye tu.Na wale wenye vyeti lakini uwezo wao ni mdogo katika utendaji wao wa Kazi mnasemaje?
Makonda ndio rais wa Dar mpaka 2025..mtapiga kelele mtanyamaza
Mbona wanasheria ndiyo mnao wasaidia hao wavunja sheria? Ktk muhimili usio jielewi ni wenu , mpo mpo tu. Ingekuwa nchi za wenzetu hili suala lingeshamalizwa na wanasheriaMamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.
Ni hayo tu!
Makonda ndio rais wa Dar mpaka 2025..mtapiga kelele mtanyamaza
Usiri gani huo kufoji au mbona kama matahila ya lipwele vile.....Vyeti huoneshwa kwenye usaili na kwenye michakato ya ajira au kuomba nafasi za masomo.
Zile ni confidential documents ndo maana hata wewe vyeti vyako unatunza in a secret place
Mamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.
Ni hayo tu!
Dsm ni nchi? Mijitu ya vijijini banaMakonda ndio rais wa Dar mpaka 2025..mtapiga kelele mtanyamaza