Atakayegundulika na vyeti feki...

Atakayegundulika na vyeti feki...

aisee, mtaungana lini?? ebu acha upuuzi, twende mahakamani

lakini mkuu watatuuliza evidence, unazo? au utaenda kugonga hodi kwa Gwajima??

kuwa serious
[emoji2] [emoji3]
 
Mamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.

Ni hayo tu!

Mtaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani?

Juzi tu hapa mimi nilihoji na kimsingi kupendekeza jambo kama hilo lakini nikaashia kuambiwa na baadhi ya watu kuwa eti namkingia kifua kisa naye ni Msukuma kama mimi.

Akili za nyumbu hizo!

Ila sasa, nyie 'wasomi' mkienda kufungua kesi mahakamani, ushahidi mnao?

Au mtafungua kesi ya aina gani na dhidi ya nani/ nini?
 
Mamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.

Ni hayo tu!
Vyeti feki sasa vimepitiswa kupitia Bashite mteule wa Rahisi.
Rahisi ameshindwa kumgusa kwa lolote na hata yeye amesema hata angepata ZERO angekuwa mkuu wa mkoa TU.

Maana yake ni kwamba Rahisi alimuhakikishia na mpaka sasa kamuhakikishia kwamba hata waongee vipi, hata uwe na zero wewe ni mkuu Wa mkoa.

Kwa maana hiyo basi kauli ya Bashite ni kauli ya Rahisi.
 
Mbona povu au ww ndie bashite mwenyewe?lete vyeti
Bashite anakuumiza kichwa mkuu[emoji23] [emoji23]
Lema anateseka watu wanaungana kumtetea wema sepetu[emoji23] [emoji23]

Lema yuko jela yapata miezi minne Leo mnaungana kumtetea Mbowe ambaye yuko uraiani anakula na kustarehe?

Leo mnakomaa na Bashite kila dakika wakati Ben Saanane hamjatumbia ameenda wapi?

Leo hamlali kwa sababu ya u-RC wa Makonda wakati hamja isadia jamii ya Tanzania dhidi ya njaa?
Mnahangaika na mtu mmoja wakati majimboni kwenu hata Ambulance za wagonjwa hakuna?

Chama cha kijani njano kinahangaika na kiki za kitoto ilihali kuna Shule bado watoto wanasomea chini ya miembe?

Chama kinatafuta kiki wakati vijana hawajui hatma yao na wamesomeshwa kwa mamilioni ya fedha za kodi zetu?

Chama kinataka kiki ilihali watu wanateseka na hali ngumu ya maisha kila kitu kimepanda bei
Wao wanaendesha VX na mashangingi ya maana, mwananchi akisema mnamuita mchochezi??

Sitakuja kua CCM wala Chadema wala sitamani kua mwanasiasa katika maisha yangu, kama nitakua na dhambi basi Mungu anitie motoni kwa dhambi za aina tofauti sio dhambi kupitia siasa
 
Ndugu zangu sie huku n kama tu visamaki kwenye maji kesho wakiamua tu wenyewe wanaingia kwenye system wanamtengenezea kiumbe identity zote halali wanaziingiza kwenye system kumbuka mashine za zamani zipo hazitupwi manake kuna wengine watauliza watachapisha na nn.....then ss kuna kale kakiumbe kengine kalikopewa meno juzi kakusimamia matusi mitandaoni nako kataanza kuokota mmoja mmoja humu kwenye bwawa letu.....then tutajua ni viwonder...................................ilaaaaaaaaaaaaa nakumbusha tu-:

Polisi- washafichwa.
Wanasheria- washafichwa.
Mahakama- washahukumiwa.
Bunge-kwapani siku nyingi.
Jeshi-mmmmmhhhhhhhh.
Radio & TV-nyingi zishafekwa.
Bodaboda-vilio tu.
Tanesko-hahaha mgao palepale.
Trafiki-sasa ndo TRA.

Sukari...holaaaaaaaa
Virobaa..holaaaaaaa
Elimu bora...holaaaaaa
Mikopo ya elim ya juu...holaaaaa


.....mmmmhhhhhhhhh....sema na wewe................



WACHA MANENO LETA MAVYETI
 
Ndugu zangu sie huku n kama tu visamaki kwenye maji kesho wakiamua tu wenyewe wanaingia kwenye system wanamtengenezea kiumbe identity zote halali wanaziingiza kwenye system kumbuka mashine za zamani zipo hazitupwi manake kuna wengine watauliza watachapisha na nn.....then ss kuna kale kakiumbe kengine kalikopewa meno juzi kakusimamia matusi mitandaoni nako kataanza kuokota mmoja mmoja humu kwenye bwawa letu.....then tutajua ni viwonder...................................ilaaaaaaaaaaaaa nakumbusha tu-:

Polisi- washafichwa.
Wanasheria- washafichwa.
Mahakama- washahukumiwa.
Bunge-kwapani siku nyingi.
Jeshi-mmmmmhhhhhhhh.
Radio & TV-nyingi zishafekwa.
Bodaboda-vilio tu.
Tanesko-hahaha mgao palepale.
Trafiki-sasa ndo TRA.

Sukari...holaaaaaaaa
Virobaa..holaaaaaaa
Elimu bora...holaaaaaa
Mikopo ya elim ya juu...holaaaaa


.....mmmmhhhhhhhhh....sema na wewe................



WACHA MANENO LETA MAVYETI
Ushahidi wa shule zote alizosoma ataufuta? Umma wote unaojua kila kitu nao utafichwa? Watu walishaingia maofisini kuzisaka kumbukumbu kabla hiyo system haijaanza kufanya kazi. Watu wamekaa wanamsubiria Ndalichako aseme ya mwisho tu. Yaani mtu ameharibu halafu atetewe kwa maslahi ya nani? Sheria iko waziri bhana.
 
Mtaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani?

Juzi tu hapa mimi nilihoji na kimsingi kupendekeza jambo kama hilo lakini nikaashia kuambiwa na baadhi ya watu kuwa eti namkingia kifua kisa naye ni Msukuma kama mimi.

Akili za nyumbu hizo!

Ila sasa, nyie 'wasomi' mkienda kufungua kesi mahakamani, ushahidi mnao?

Au mtafungua kesi ya aina gani na dhidi ya nani/ nini?
Mkuu, kwani matokeo ya form four 2020 ni mbali? Kwani Shule zote alipita mtu zimekufa? Hata Classmates nao wapo eti.Kikubwa ni yeye kujitokeza na nyaraka halali za kusoma kwa jina hilo ili kukata mzizi wa fitna.
 
Huyu jamaa pia ana kosa la kumiliki passport kwa jina la bandia la Paulo Makonda ambalo sio lake. Hayo ni makosa makubwa sana na jambo hili lingegundulika pengine wakati ule yuko nje kwa likizo yake iliyogharamiwa na GSM angeweza kutiwa kizuizini na kufungwa huko huko. Bahati yake Daudi !
GSM ndio nini, naliona kila mara hili neno, mie najua ni ile ya mtandao wa simu, nifafanulie mkuu, naomba
 
Mamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.

Ni hayo tu!
Labda wanasheria wengine sio wanasheria hawa wa Tanganyika Law Society!
 
Huyu jamaa pia ana kosa la kumiliki passport kwa jina la bandia la Paulo Makonda ambalo sio lake. Hayo ni makosa makubwa sana na jambo hili lingegundulika pengine wakati ule yuko nje kwa likizo yake iliyogharamiwa na GSM angeweza kutiwa kizuizini na kufungwa huko huko. Bahati yake Daudi !
GSM ndio nini, naliona kila mara hili neno, mie najua ni ile ya mtandao wa simu, nifafanulie mkuu, naomba
Kujua nani anataka kiti cha u-RC ni vigumu ila picha kubwa ni kwamba huyu jamaa apoteze kiti tu [emoji23]
Hizi ndo siasa za Tanzania.
Mzee Lowassa ana roho ngumu sana sijapata kuona, alimua kujiuzuru lakin akasema ukweli kwamba tatizo ni uwaziri mkuu
mwanzoni aliwahi kusema kelele zote hizo ni kwa sababu kawataja wauza udaga, sasa kaja na gia nyingine kuwa ni ukuubwa mjoa, na yeye ndio mojawapo aliyeweka press conference kumtusi ngoyai kuwa hapaswi kuwa hata mwenyekiti wa kitongoji, wakati el alikuwepi ccm tangu 1976
 
Hili la ukuu wa mkoa niliwahi kutabiri hapa nikatukanwa sana, sisi watanzania tunawahi kusahau sana enzi za Mzee Lowassa upepo ulivuma sana mpaka akang'oka alafu mwisho wa siku tunaanza kuaminishwa kwamba ule upepo ilikua bahati mbaya wala Lowassa sio fisadi[emoji23]

Mzee wa watu anakuwaga mkweli sana tena alisema "tatizo ni uwaziri mkuu"
Narudia tena kusema, enzi za Lowassa nilishiriki kumlaumu sana kumbe nilitenda makosa makubwa, nilitumika kisiasa tena nilicheza ngoma bila kujua midundo yake ina maana gani.

Nimejifunza sana kwa hili la Makonda nasubiri kusikia ushahidi umepatikana ndio ntasema Makonda amefoji vyeti, otherwise naamini ukuu wa mkoa ndo unatafutwa
hapana , kwa hili kama kweli amesema tatizo ni ukuuu wa mkoa basi ameiga maneno ya lowassa kwa sababu tatizo lake lipo wazi na ufumbuzi wake ni rais kabisa ambao ni kuonyesha kwamba Nina lake Paul ndilo alilotumia toka darasa la kwanza , na kama alibadili sio kwa sababu alipata bashite form IV.
 
Makonda ndio rais wa Dar mpaka 2025..mtapiga kelele mtanyamaza wehu nyie

Hakuna mtu mwenye issue na Urais wake wa Dar. Watu wanataka kujua kuhusu uhalali wa vyeti vyake. Ni shwali legitimate kabisa, don't confuse things..
 
Kama issue ni lazima mkuu wa mkoa wa DSM awe msukuma
Mbona wasukuma wapo kibao toa huyo makonda muweke hata shigongo erick.
 
Back
Top Bottom