Atakayegundulika na vyeti feki...

Atakayegundulika na vyeti feki...

Bashite Mzee wa kufoji
b88ded9de9f56032b47a962da7951c53.jpg
 
Tuko nyuma yako kuwashughulikia wahalifu
 
Hili la ukuu wa mkoa niliwahi kutabiri hapa nikatukanwa sana, sisi watanzania tunawahi kusahau sana enzi za Mzee Lowassa upepo ulivuma sana mpaka akang'oka alafu mwisho wa siku tunaanza kuaminishwa kwamba ule upepo ilikua bahati mbaya wala Lowassa sio fisadi[emoji23]

Mzee wa watu anakuwaga mkweli sana tena alisema "tatizo ni uwaziri mkuu"
Narudia tena kusema, enzi za Lowassa nilishiriki kumlaumu sana kumbe nilitenda makosa makubwa, nilitumika kisiasa tena nilicheza ngoma bila kujua midundo yake ina maana gani.

Nimejifunza sana kwa hili la Makonda nasubiri kusikia ushahidi umepatikana ndio ntasema Makonda amefoji vyeti, otherwise naamini ukuu wa mkoa ndo unatafutwa
Wakati wa Lowasa , inaonekana DR Harrson alikuwa anataka kiti,
je kwa manenepa, nan anataka kiti chake ??
 
aisee, mtaungana lini?? ebu acha upuuzi, twende mahakamani

lakini mkuu watatuuliza evidence, unazo? au utaenda kugonga hodi kwa Gwajima??

kuwa serious
Tunaenda baraza la mitihani. Kamata mwizii meeeen
 
Mimi nakuunga mkono lakini sheria inasemaje hapo?? siamini kama sheria iko silence kwa mtu aliyefodge vyeti..

Huyu haku forge vyeti ila alitumia cheti cha rafiki yake, kwa hiyo aliyempa cheti yaani mtoaji na mpokeaji (sijui hapa Mwl Nyerere aliweka maneno gani ya Kizanaki) wote ni wahalifu!!!!! Kwani mr Bashite alipateje cheti original cha Makonda Muyange na kuweza ku present wakati wa vetting na Kimrudushia the original owner for custody!!
 
Charge accounts:-
1. Theft (wizi),
2. Fraud (kughushi),
3. Conspiracy (Njama)

Account ya kwanza itaplay it's role kama mwenye cheti atamukana PM na ikagundulika ana loss report.

Account ya pili itafanya kazi iwapo PM alighushi baadhi ya nyaraka za taaluma

Account ya tatu itafunction iwapo mwenye vyeti atakubali kwamba alimpa pm vyeti kwa makubaliano fulani.
 
Wakati wa Lowasa , inaonekana DR Harrson alikuwa anataka kiti,
je kwa manenepa, nan anataka kiti chake ??
Kujua nani anataka kiti cha u-RC ni vigumu ila picha kubwa ni kwamba huyu jamaa apoteze kiti tu [emoji23]
Hizi ndo siasa za Tanzania.
Mzee Lowassa ana roho ngumu sana sijapata kuona, alimua kujiuzuru lakin akasema ukweli kwamba tatizo ni uwaziri mkuu
 
Mwehu ni ww,uliyejiunga chama feki chenye kilakitu feki,kuanzia utawalana wanachama wake,mnashindwa hata kuandaa mpango wa maendeleo wa muda mrefu na muda mfupi,kuthibitisha kua wanachama,wabuge,na mawaziri wenuni feki,ona hata mawaziri hawana job descriptions,alfu bila haya/soni unaita watz wehu ! Hivi kweli ww ni mzima?hata kauli yako km ya mkapa uwanja wa taifa ni feki. mlichofundishwa ni mabavu na matuc tu,hata yacpo hitajika.ndo maana SAA 8 alihoji ile PhD ya mabox.
Ss mnahakiki vyeti vya nn km cha makonda mnakikubali? Inamaana hata jesca mtampa kz na ukilaza wake huo wa udom?hakika cc mmeua nchi.Serikali yenu haiaminiki tena.
 
Kujua nani anataka kiti cha u-RC ni vigumu ila picha kubwa ni kwamba huyu jamaa apoteze kiti tu [emoji23]
Hizi ndo siasa za Tanzania.
Mzee Lowassa ana roho ngumu sana sijapata kuona, alimua kujiuzuru lakin akasema ukweli kwamba tatizo ni uwaziri mkuu
Ugumu unatoka wapi ?

Kwa hiyo 50% humu JF wanaitaka nafasi aliyonayo ?
 
Ugumu unatoka wapi ?

Kwa hiyo 50% humu JF wanaitaka nafasi aliyonayo ?
Wengi hawajui tuhuma hizi zimeibuliwa kwa manufaa ya nani.
Hata wewe unafata upepo tu ukiulizwa evidence huna kazi kupiga makofi kama wabunge wa ccm
 
Nasubiri muungane mkampeleke Makonda mahakamani[emoji23]
Wapuuzi wakubwa nyie mmeshindwa kuungana kuipinga HESLB ilipopandisha makato kinyume cha mkataba leo mtawezaje kuungana kumshitaki Makonda?

Mmeshindwa kuungana kutetea fao la kujitoa kwenye social security funds leo mtaweza kuungana kwa jambo dogo la Makonda ili iweje?

Mmeshindwa kuungana kumtetea Lema, kila siku mnaungana kutetea akina Wema Sepetu, na Jana Gen Ulimwengu kajiunga kumtetea Mbowe wakati Lema yuko selo takribani miezi minne, sasa kati ya Mbowe na Lema Nani anahitaji msaada wa haraka?[emoji23]

Akili za kupigania mpate pipi ilihali maslahi ya watanzania hamuwezi kutetea?

Nyie mmerogwa sio bure
 
Mnapiga kelele tu kwa bashite lkn hawa wanajivunia vitu vifuatavyo-:
1. Serikali yao
2. Mahakama Yao
3. Bunge lao
4. Polisi wao
5.katiba yao
6. Sheria za midomoni ambazo sio za kwenye maandishi wao
7. Malizia ww
 
Nasubiri muungane mkampeleke Makonda mahakamani[emoji23]
Wapuuzi wakubwa nyie mmeshindwa kuungana kuipinga HESLB ilipopandisha makato kinyume cha mkataba leo mtawezaje kuungana kumshitaki Makonda?

Mmeshindwa kuungana kutetea fao la kujitoa kwenye social security funds leo mtaweza kuungana kwa jambo dogo la Makonda ili iweje?

Mmeshindwa kuungana kumtetea Lema, kila siku mnaungana kutetea akina Wema Sepetu, na Jana Gen Ulimwengu kajiunga kumtetea Mbowe wakati Lema yuko selo takribani miezi minne, sasa kati ya Mbowe na Lema Nani anahitaji msaada wa haraka?[emoji23]

Akili za kupigania mpate pipi ilihali maslahi ya watanzania hamuwezi kutetea?

Nyie mmerogwa sio bure
Hiyo ndio Priority yangu, wewe unasemaje mbona huandiki hayo yote tuchangie?
Uliyasema mmeyasabisha ninyi na hayskuwepo zamani unamlalamikia nani kama si matatizo ta akili hayo.
 
Mimi nakuunga mkono lakini sheria inasemaje hapo?? siamini kama sheria iko silence kwa mtu aliyefodge vyeti..
Siku hizi hakuna sheria. Sheria anatunga Mr. President. Akitamka ndiyo sheria
 
Hili la ukuu wa mkoa niliwahi kutabiri hapa nikatukanwa sana, sisi watanzania tunawahi kusahau sana enzi za Mzee Lowassa upepo ulivuma sana mpaka akang'oka alafu mwisho wa siku tunaanza kuaminishwa kwamba ule upepo ilikua bahati mbaya wala Lowassa sio fisadi[emoji23]

Mzee wa watu anakuwaga mkweli sana tena alisema "tatizo ni uwaziri mkuu"
Narudia tena kusema, enzi za Lowassa nilishiriki kumlaumu sana kumbe nilitenda makosa makubwa, nilitumika kisiasa tena nilicheza ngoma bila kujua midundo yake ina maana gani.

Nimejifunza sana kwa hili la Makonda nasubiri kusikia ushahidi umepatikana ndio ntasema Makonda amefoji vyeti, otherwise naamini ukuu wa mkoa ndo unatafutwa
Ukuu wa mkoa? Labda kwa makada wenzake
 
Hata useme
"Makonda ndio rais waTanzania mpaka 2025..na JPM ndio RC wa Dar mtapiga kelele mtanyamaza wehu nyie"
Bado watu wanasema Bashite leta vyeti
Ni kweli lakini hatuijui kesho si mimi si wewe kama tutakuwepo kwa hiyo yeye ana uhakika kuwepo au huyo Godfather wana mkataba na Mungu
 
Back
Top Bottom