Atakayegundulika na vyeti feki...

Atakayegundulika na vyeti feki...

Maskini bashite , mbona mnamkondesha baba wa watu , afu siku hizi simsikii kabisa kawa mpole ka piritoni
 
Mtaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani?

Juzi tu hapa mimi nilihoji na kimsingi kupendekeza jambo kama hilo lakini nikaashia kuambiwa na baadhi ya watu kuwa eti namkingia kifua kisa naye ni Msukuma kama mimi.

Akili za nyumbu hizo!

Ila sasa, nyie 'wasomi' mkienda kufungua kesi mahakamani, ushahidi mnao?

Au mtafungua kesi ya aina gani na dhidi ya nani/ nini?
Kwa upande wangu naungana na wewe kupata uthibitisho kwa tuhuma zinazotolewa si kwa sababu nina maslahi navyo binafsi bali kwa taifa.
Vita hii ya vyeti ilianzishwa na mheshimiwa rais na ni kwa nia njema tu kwa taifa letu. Uhakiki wa vyeti kwa sisi wengine umefanyika kwa mara ya tatu wiki iliyopita hiyo ni kuonesha jambo hilo linavyopewa umuhimu.
Kama jambo limekuwa muhimu hivyo na shutuma zimetolewa, ni vizuri mamlaka husika zikalifanyia kazi na ikithibitika kuwa ni kweli basi hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake na kama si kweli, hatua za kisheria zichukuliwe kwa aliyetoa shutuma hizo.
Ninavyofahamu utendaji wa jeshi la polisi ni kuzifanyia kazi (uchunguzi) kwa kushirikiana na mtu/ watu au taasisi husika taarifa zote wanazopewa au kuzisikia (zinazohusiana na shughuli zao likiwemo la kuidanganya serikali) na kuzitolea taarifa au hatua kadiri ya majibu watakayoyapata. Kinachonishangaza ni ukimya wa mamlaka husika hadi sasa na hili linasababisha hii vita na aliyeianzisha kuwa na taswira tofauti kwa wananchi.
 
Kwa upande wangu naungana na wewe kupata uthibitisho kwa tuhuma zinazotolewa si kwa sababu nina maslahi navyo binafsi bali kwa taifa.
Vita hii ya vyeti ilianzishwa na mheshimiwa rais na ni kwa nia njema tu kwa taifa letu. Uhakiki wa vyeti kwa sisi wengine umefanyika kwa mara ya tatu wiki iliyopita hiyo ni kuonesha jambo hilo linavyopewa umuhimu.
Kama jambo limekuwa muhimu hivyo na shutuma zimetolewa, ni vizuri mamlaka husika zikalifanyia kazi na ikithibitika kuwa ni kweli basi hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake na kama si kweli, hatua za kisheria zichukuliwe kwa aliyetoa shutuma hizo.
Ninavyofahamu utendaji wa jeshi la polisi ni kuzifanyia kazi (uchunguzi) kwa kushirikiana na mtu/ watu au taasisi husika taarifa zote wanazopewa au kuzisikia (zinazohusiana na shughuli zao likiwemo la kuidanganya serikali) na kuzitolea taarifa au hatua kadiri ya majibu watakayoyapata. Kinachonishangaza ni ukimya wa mamlaka husika hadi sasa na hili linasababisha hii vita na aliyeianzisha kuwa na taswira tofauti kwa wananchi.
Hakna mamlaka iliyo huru datz how wapo kimya wanasubr baba wa familia aseme kitu au atumbue ndo itakua jb tofauti na hapo itabaki kimya hvhv, nyani wote porin ni ndg,

Mh kamteua mama salma kupunguza mjadala ili muone kaz za kuteuliwa hazna education qualifications Bali ni mapenz ya mteuz tu! Tanzagiza mpaka tufke tutaskia mengi sana!
 
Hakna mamlaka iliyo huru datz how wapo kimya wanasubr baba wa familia aseme kitu au atumbue ndo itakua jb tofauti na hapo itabaki kimya hvhv, nyani wote porin ni ndg,

Mh kamteua mama salma kupunguza mjadala ili muone kaz za kuteuliwa hazna education qualifications Bali ni mapenz ya mteuz tu! Tanzagiza mpaka tufke tutaskia mengi sana!
Sawa kama ndio hivyo, ni vizuri waachane na hiyo vita ili wasiendelee kujishushia heshima kwa wapiga kura.
Kifupi viongozi wetu wajue si lazima kuongea kila wakati ila kusikiliza na kufanyia kazi ni muhimu zaidi kwao.
 
Wengi nyumbu hawajui tuhuma hizi zimeibuliwa kwa manufaa ya nani.
Hata wewe unafata upepo tu ukiulizwa evidence huna kazi kupiga makofi kama wabunge wa ccm
wewe una evidence kama Gwajima ana deal na madawa kama alivyotuhumiwa na mkuu wako wa mkoa, au ndiye unatetea kitu ambacho hukielewi?
 
Kosa la kufoji halivumiliki, heri angekuwa kilaza shuleni lakini akaendelea kutumia vyeti vyake kama alivyofanya ole sendeka na mbowe. Lakini hili la kufoji ni kosa la jinai na wala sielewi mamlaka husika zinangoja nini kumchukulia hatua.Ila wakishindwakuchukua hatua nguvu ya umma iliyoitwa vilaza itachukua nafasi yake kumwajibisha
 
Msemo wa povu umeshapoteza mvuto

Onyesha VYETI MKUU.
Vyeti huoneshwa kwenye usaili na kwenye michakato ya ajira au kuomba nafasi za masomo.
Zile ni confidential documents ndo maana hata wewe vyeti vyako unatunza in a secret place
 
Vyeti huoneshwa kwenye usaili na kwenye michakato ya ajira au kuomba nafasi za masomo.
Zile ni confidential documents ndo maana hata wewe vyeti vyako unatunza in a secret place
Kwa hiyo unakubali kwamba Rais wako alipotoa agizo watumishi watoe vyeti vyao alikosea ?
 
Kwa hiyo unakubali kwamba Rais wako alipotoa agizo watumishi watoe vyeti vyao alikosea ?
Yeye ndio muajiri mkuu wa serikali, hivyo ana mandate ya kuomba vyeti avihakiki (hiyo ni ndani ya mchakato wa ajira, rejea hiyo post niliyokwambia vyeti huoneshwa wapi)
 
Yeye ndio muajiri mkuu wa serikali, hivyo ana mandate ya kuomba vyeti avihakiki (hiyo ni ndani ya mchakato wa ajira, rejea hiyo post niliyokwambia vyeti huoneshwa wapi)
Unaweza kuniambia katika huo uhakiki ni wakina nani walikuwa wanaomba ajira kwa hiyo muajiri akahitaj kukagua vyeti vyao kabla ya kuwaajiri ?
 
Mamlaka husika zisipomchukulia hatua,tutaungana wanasheria kufungua kesi mahakamani kushtaki kwa kutochukuliwa hatua! Watanzania hatutakubali wachache wawajibishwe wengine waachwe chini ya katiba moja.

Ni hayo tu!
Na wale wenye vyeti lakini uwezo wao ni mdogo katika utendaji wao wa Kazi mnasemaje?
 
Bwana yule hawezi kuguswa naona

Ova
 
Unaweza kuniambia katika huo uhakiki ni wakina nani walikuwa wanaomba ajira kwa hiyo muajiri akahitaj kukagua vyeti vyao kabla ya kuwaajiri ?
We jamaa sijui elimu yako ni level gani, naanza kukuchoka maana kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wewe kama GT ulipaswa kuvijui sasa nashangaa unauliza tu,
Nakusaidia mara ya mwisho, kiutaratibu katika ajira iwe private sector au iwe government muajiri ana haki ya kuomba CV na vyeti vya mfanyakazi wake wakati wowote endapo atahisi kwamba kuna ulazima wa kujiridhisha juu ya jambo flani katika nyaraka hizo.

Mimi sio mwanasheria lakini hizi ni sheria ndogo ambazo hata mtu asiyekua mwanasheria anapaswa kuzijua.
 
Back
Top Bottom