Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Ni kweli kabisa,aliniacha nikiwa nimemaliza tu highschool,namkumbuka sana,na bado siamini kama naota vile!
Pole sana. Nakuelewa kabisa!
Ni kweli kabisa,aliniacha nikiwa nimemaliza tu highschool,namkumbuka sana,na bado siamini kama naota vile!
jamani pole Mugaga umeniliza mwenzio.
Ni kweli kabisa,ni uchungu usio na kifani. Mama yangu ni mwaka mmoja na miezi kadhaa ulipotuacha kwa ghafla uchungu ninaousikia hauna maelezo yoyote! Mpaka leo kuna vitu huwa nawaza nitamwambia mama yangu ndio atakaenielewa , baadae nakumbuka kuwa hatunae tena,ila kwa uhakika kiroho bado niko nae!
Ni kweli kabisa,aliniacha nikiwa nimemaliza tu highschool,namkumbuka sana,na bado siamini kama naota vile!
...Mimi..naona bora atangulie dingi.........Kwanzaa,..
Ahsante, miaka 17 imepita lakini nahisi ni kama jana.
kabisa,she is my everything mungu ampe maisha marefu sana
Pole sana mwana,mungu ampe maisha marefu mom wangu
Hapa duniani hakuna mtu anayeishi maisha magumu kama yule aliyefiwa na mama yake mzazi.
Ni bora ya mtu asiye na pesa, atahangaika atatafuta na ipo siku atazipata hata kama ni uzeeni atapata tu lakini ukimpoteza mama ndio imetoka hiyo. Mama hautaweza kumtafuta, mama hana mbadala, mama ni mmoja tu, ukimkosa huyo uliyenae hutampata mama mwingine.
Mtu asiye na mama anakuwa kwenye wakati mgumu sana hasa nyakati za:
1. GRADUATION 2. HARUSI 3. MAFANIKIO 4. WAKATI WA SHIDA (Karibia nyakati zote tu kiukweli)
Katika hayo matukio ndio ambapo kila mtu anamkumbuka sana mama yake, utakapokuwa kwenye harusi unatamani mama yako angekuwepo, utakapokuwa kwenye graduation unawish mama yako angekuona unapomaliza chuo.
Mtu anapomzungumzia mama yake basi nawewe unatamani mama yako angekuwepo, mtu akipigiwa simu na mama yake unatamani mama yako angekuwepo labda angekupigia simu.
Mtu asiye na mama kila akikumbuka mama yake alipokuwa akimuita, akimfulia nguo, akimnyooshea nguo, akimuwekea chakula na kumfundisha mambo mengi ya kimaisha ataishia kulia tu.
Uchungu wa kumkosa mama hauna kifani wanajamiiforums, ukimkosa mama unaweza ukajiuliza unaishi ili iweje sasa?
POLENI WOTE MLIOFIWA NA MAMA ZENU PIA NISAMEHENI KWA KUWAKUMBUSHA MACHUNGU NA KUWATOA MACHOZI.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
sijaelewa title tafadhari , " at your own risk" how?
we acha tu siku zote nasema siku nikiolewa mme hata asiponipenda kiviile ila ampende amthamin mama yangu na mm mama yake
its just yesterday an alwas bepole..15yrs is quite a long time...!
...Mimi..naona bora atangulie dingi.........Kwanzaa,..
Baba yangu ndio kila kitu kwangu, huwa nashindwa kuelewa janaume zima lisipojuwa umuhimu wa Baba nadhani wengi wao ni mimba za kubambikwa hawana uhakika kama wanaowaita Baba kama ni Baba zao kweli.
Baba akifa mara nyingi familia nyingi zinasambaratika mababa wengi wako jela kwa makosa waliyofanya kutafuta pesa kuprotect family huku nje mimama inatoombwa tu.