Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
jamani pole Mugaga umeniliza mwenzio.
Mkuu nimeguswa haswa na uzi wako, mama yangu alifariki nikiwa shule ya msingi miaka 17 iliyopita. Haijawahi kupita siku sijammis. Graduations, harusi, kupata watoto, nikiwa kwenye misukosuko, neema,vipindi vyote hivyo nilitamani awepo tufurahi wote, anifariji, aone wajukuu. Nimeishi zaidi ya nusu ya umri wangu wa sasa bila yeye, upendo wangu kwake haujawahi kupungua na nahisi kumhitaji kila siku ila ndio hivyo alipangalo mola. Pumzika kwa amani mama,Amein!
Last edited by a moderator: