At your own risk

At your own risk

Hizo zote ni mbwe mbwe tu, kufa ni njia kuu ya kuelekea peponi. Hamtaki mama aende peponi? Au mnaona ni sawa baba afe halafu mama abaki? Kila mtu akifa ni uchungu kwa wanaobaki siyo mama tu. Wapumzike kwa amani wote waliyotutangulia, nasi siku moja tutawafuata kila mmoja na wakati wake aliyopangiwa na Mola. Wapumzike wanapostahili.
 
Katika maisha wazazi wote wana umuhimu kila mmoja kwa nafasi yake, kumpenda baba au mama zaidi inategemeana na jinsi alivyoku- influence katika maisha yako, niliwapenda wazazi wangu wote, ila nilisikitika baba yangu alivyofariki mapema na namna alivyokufa ghafla sikutegemea na niliumia kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye afya. Katika maisha yangu ni mara mbili tu nilipomuona akiumwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom