Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,168
- 4,334
At least.. na kuwe kumetulia sasa usijeshindwa kurudi huku ukazikwa mwili ilihali roho yako ipo inatangatanga hukoSifanyi hapa kwangu nilienda hotelini
At least.. na kuwe kumetulia sasa usijeshindwa kurudi huku ukazikwa mwili ilihali roho yako ipo inatangatanga hukoSifanyi hapa kwangu nilienda hotelini
KabisaTuambie kwanza uzoefu wako,umetumia muda gani mpaka ukaweza,changamoto gani ulikutana nazo,ulipotoka nje ya mwili ulienda wapi?nani alikusaidia.
Faida zake ni nini?Je imani yako inasemaje juu ya jambo hilo
Ahsante.
sema huna maokoto kupenda mteremko tu kihonga aahmh! lione kupenda hela tu kutoa kizazi aaah..😂
🤪sema huna maokoto kupenda mteremko tu kihonga aah
naijua hiyo
Ulikuwa Umeweza ila ulikuwa na kitu kimoja tu kilichokukwamisha 😅😅🤣 bado ulikuwa na Mawazo ya Uoga uliyosimuliwa, Ukiwa unafanya meditation unatakiwa Ucreate reality ambayo haifanani na Maisha uliyosimuliwa..sawa nawewe nakuweka kwenye kundi la matapeli...🤣
sio kwamba siijui naijua na nilishawahi ifanya nikawa nahisi kufakufa nikaona isiwe tabu nisijichoshe kizazi!
niacheni kwanza sasahivi ndo siwezi jaribu kabisa maana kusi imekuwa kas mambo mpangalanyiko!Ulikuwa Umeweza ila ulikuwa na kitu kimoja tu kilichokukwamisha 😅😅🤣 bado ulikuwa na Mawazo ya Uoga uliyosimuliwa, Ukiwa unafanya meditation unatakiwa Ucreate reality ambayo haifanani na Maisha uliyosimuliwa..
So Moyo wako ndo ulikuwa Unaogopa Ila ungeupita Huo uoga na Kuona Vyovyote iwe Tungekuwa Tunasimuliana Kitu hapa
Shida Umejaza Theory Kibao kuhusu Kifo ambazo zote ni Illusion 🤣🤣niacheni kwanza sasahivi ndo siwezi jaribu kabisa maana kusi imekuwa kas mambo mpangalanyiko!
we hukiheshimu kifo..?Shida Umejaza Theory Kibao kuhusu Kifo ambazo zote ni Illusion 🤣🤣
Kwanini uogope Kifo?we hukiheshimu kifo..?
ni lazima tuogope kifo, itachukua muda kunielewa kwanini tuogope kifo!Kwanini uogope Kifo?
Kifo kinaanza Siku unapozaliwa tu!
The day you were Born....Ndo siku uliyoanza Safari ya Kifo..
So mawazo yako kuhusu Kifo Ni illusion kwa sababu No matter what lazima Utakufa Miaka 60 mbele au Miaka 100 Mbele hiki kizazi chote hakitakuwepo Kitakuwep kingine so Ishi na Usiogope Kifo..
Kama ambavyo haukuchagua Kuzaliwa Vivyo hivyo huwezi kuchagua Jinsi, Sababu ,na hata Siku ya Kufa
Kaka naomba mawasiliano yako kama hutojaliNilichokiona cha kwanza cha ajabu ni mwili wangu ukiwa umelala pale kitandani
Njoo pmKaka naomba mawasiliano yako kama hutojali
Waalaykum Salam warahmatullah wabarakatuh, uko poa, kitqmbo sanaNakusalimu mama.
Kwanini Unaogopa Kifo nianze na Swali hilo kwanzani lazima tuogope kifo, itachukua muda kunielewa kwanini tuogope kifo!
huyo ni muongo achana nae😄Kaka naomba mawasiliano yako kama hutojali
Wewe umesema ila wakongwe wote wanaelewa Mada za 2010 zilikua zipiKwa hiyo hizi ni Zama za kf?
Ni FacebookKwamba hii sio jf tena?