kuna majukwaa tofauti tofauti kuna mawazo tofauti tofauti Alafu ukizungumzia wakongwe unamaanisha nini?au unaangalia Id za kujoin jf wengi tupo humu kitambo kuliko unavyodhani mi nimekuwa mwanachama sababu tu wamelazimisha watu wawe wanachama msijifanye mnaijua sana jf kuliko Max melo.Wewe umesema ila wakongwe wote wanaelewa Mada za 2010 zilikua zipi