Astra Projection

Astra Projection

Kwanini Unaogopa Kifo nianze na Swali hilo kwanza
kifo kinatakiwa kiogopwe ili dhana ya uhai ipate nafasi, ingekuwa si kitu chakuogopesha watu kibao wangekuwa wameshajimaliza!.
kiumbe hai lzm kiogope kifo ni sehemu ya kulinda uhai
 
Kwanini uogope Kifo?
Kifo kinaanza Siku unapozaliwa tu!
The day you were Born....Ndo siku uliyoanza Safari ya Kifo..

So mawazo yako kuhusu Kifo Ni illusion kwa sababu No matter what lazima Utakufa Miaka 60 mbele au Miaka 100 Mbele hiki kizazi chote hakitakuwepo Kitakuwep kingine so Ishi na Usiogope Kifo..

Kama ambavyo haukuchagua Kuzaliwa Vivyo hivyo huwezi kuchagua Jinsi, Sababu ,na hata Siku ya Kufa
Nzuri sana na cha kuongezea

Kuogopa kufa tafsiri rahisi nikwamba unaogopa kuishi.
Maana kifo ni sehemu ya maisha.
Na kuogopa kufa hakukufanyi usife.
Nausipo kipenda kifo kwa moyo wako wote una kosa ladha ya kuishi.
 
Mtanisamehe sio mtu wa maneno mengi
Ila zile procuders zote za Rakims alizozilezea.
Pia kuna vyakula mtu anabidi uache kuvila na kunywa kwa siku chache kabla hujajaribu kama pombe ,sukari na ngono.
Izi zinapunguza uwezo wa concentrate alafu haipo kama wale jamaa wanavyooeleza kwenye ulimwengu wa kiroho hakuna katikati bali ni either upande wa giza ama nuru.

Naukienda kizembe zembe hurudi maana huko ni kuzimu.
Alie kwambia huko ninkuzimu kakulisha matango pori
 
Kuna rafiki yangu alifanya hii, na bado hua anafanya , kuna siku alisema atoke nje ya mwili na aende ikulu ya marekani, ndani mule, alichokutana nacho ilibid arud haraka kwemye mwili na akazinduka huku akihema kwa nguvu na jasho jingi hajawez kusema hadi leo alikutana na nini kila nikimhimiza aseme anabaki bubu,
Ila ndio michezo yake hii anapenda sana mambo ya spiritual spiritual
 
kifo kinatakiwa kiogopwe ili dhana ya uhai ipate nafasi, ingekuwa si kitu chakuogopesha watu kibao wangekuwa wameshajimaliza!.
kiumbe hai lzm kiogope kifo ni sehemu ya kulinda uhai
Kwanini Uulinde Uhai?
Dhana ya Maisha Baada ya Kufa Huiamini?
Kwanini Ukumbatie Dhana ya Material World na Huamini Spiritual Realm?

Yoyote mwenye Kuamini Kuwa Mwili huu wa Nyama na Damu Hautaurithi Ufalme wa Mbingu amewaza Vyema!

Na hivyo hakuna Haja ya Kuogopa Mwili utakaokuingiza Peponi!

Kuogopa Kifo ni Uoga wa Kuishi! Na Ubinafsi wa Kukumbatia Dunia hii kwa kuamini Unaacha mali zako ambazo hata hukuwa nazo Miaka 100 iliyopita..

Kama ambavyo hujui Ulikuwa Wapi kabla ya Kufika hapa Vivyo hivyo Usiogope Unaenda wapi baada ya Kutka Hapa..

Kifo ni funzo kuwa Hii ni njia ya Mwili na sio Njia ya Rohoo...

Na ndo maana Watu husema Dunia Sisi tu wapitaji...
 
Kwanini Uulinde Uhai?
Dhana ya Maisha Baada ya Kufa Huiamini?
Kwanini Ukumbatie Dhana ya Material World na Huamini Spiritual Realm?

Yoyote mwenye Kuamini Kuwa Mwili huu wa Nyama na Damu Hautaurithi Ufalme wa Mbingu amewaza Vyema!

Na hivyo hakuna Haja ya Kuogopa Mwili utakaokuingiza Peponi!

Kuogopa Kifo ni Uoga wa Kuishi! Na Ubinafsi wa Kukumbatia Dunia hii kwa kuamini Unaacha mali zako ambazo hata hukuwa nazo Miaka 100 iliyopita..

Kama ambavyo hujui Ulikuwa Wapi kabla ya Kufika hapa Vivyo hivyo Usiogope Unaenda wapi baada ya Kutka Hapa..

Kifo ni funzo kuwa Hii ni njia ya Mwili na sio Njia ya Rohoo...

Na ndo maana Watu husema Dunia Sisi tu wapitaji...
Nzuri sana
 
Kwanini Uulinde Uhai?
Dhana ya Maisha Baada ya Kufa Huiamini?
Kwanini Ukumbatie Dhana ya Material World na Huamini Spiritual Realm?

Yoyote mwenye Kuamini Kuwa Mwili huu wa Nyama na Damu Hautaurithi Ufalme wa Mbingu amewaza Vyema!

Na hivyo hakuna Haja ya Kuogopa Mwili utakaokuingiza Peponi!

Kuogopa Kifo ni Uoga wa Kuishi! Na Ubinafsi wa Kukumbatia Dunia hii kwa kuamini Unaacha mali zako ambazo hata hukuwa nazo Miaka 100 iliyopita..

Kama ambavyo hujui Ulikuwa Wapi kabla ya Kufika hapa Vivyo hivyo Usiogope Unaenda wapi baada ya Kutka Hapa..

Kifo ni funzo kuwa Hii ni njia ya Mwili na sio Njia ya Rohoo...

Na ndo maana Watu husema Dunia Sisi tu wapitaji...
umeenda huko tena! hatutamaliza acha mi niishie hapahapa!.
 
Back
Top Bottom