Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,843
- Thread starter
- #21
Mzee kushindwa kwako sio wote watashindwautatapeliiwa epuka matapeli
Tuna tofautiana kwenye tofauti zetu
Mzee kushindwa kwako sio wote watashindwautatapeliiwa epuka matapeli
wewe walia!wewe wasema
hahaha changamsha gengeSasa hayo si mindoto tu ya kawaida hayo jamani!
Sawa uote umeolewa na Bartasar.
njoo tulie wote kama unaona nafaidi 🤭🤭wewe walia!
hehehehe nishaisoma sana had nikatafuta kutabu cha al koran na sijakimaliza badoMiongozo ipo hapa jf tafuta uzi za kina Rakim
Sifanyi hapa kwangu nilienda hoteliniIkitokea mtu ameingia ndani ghafla akakushitua basi ndio safari… phheewww
Sawa umeweza ndio tusimulie sasaKaka maswali mengi ?
Kikumbwa nimeweza na ni kweli?
Uliweza?hehehehe nishaisoma sana had nikatafuta kutabu cha al koran na sijakimaliza bado
mbona kama unapanic haraka braza!! si utueleze ilivyokua had ukafanikiwa ni ngumu kiasi gani? rekodi hata audio basiMzee kushindwa kwako sio wote watashindwa
Tuna tofautiana kwenye tofauti zetu
nilicofanikiwa ni kutumia mind yangu and yes inafanya kaz ila nataman kujua zaidiUliweza?
acha kudanganya watu..Sifanyi hapa kwangu nilienda hotelini
Hapana mkuuSasa hayo si mindoto tu ya kawaida hayo jamani!
Sawa uote umeolewa na Bartasar.
Hata huko mhudumu akigonga mlango akaona kimya analeta ufunguo wa ziada akiingia tu akakutikisa unaondokea usingizini😀Sifanyi hapa kwangu nilienda hotelini
wewe ni tapeli tu.. ukibisha nifate na hiyo Astral yako, mnakaa mnadanganyana tu!.😂Mzee kushindwa kwako sio wote watashindwa
Tuna tofautiana kwenye tofauti zetu
labda nikulilie wewe...njoo tulie wote kama unaona nafaidi 🤭🤭
hajakuuliza wewe lakinjHapana mkuu
Ndoto nazujua vizuri hakuna ndoto unaota unafahamu zako kwanzia jina lako mpaka miaka yako
Wewe mimi sipo hapa kudanganya ili inisaidie nini?acha kudanganya watu..
unililie mimi na hujawahi kuniona? huu sio uzimalabda nikulilie wewe...
Pouwahajakuuliza wewe lakinj
Aarr kuna binti mmoja kasema kuwa yeye huota yupo kwenye mandhari ya miji fulani poa sana.Hapana mkuu
Ndoto nazujua vizuri hakuna ndoto unaota unafahamu zako kwanzia jina lako mpaka miaka yako