Astra Projection

Astra Projection

ungetakiwa umwambie unampenda yeye na bwana ake😃 ungekuwa umemaliza mchezo.
tulia ujifunze madini wewe mimi ndo mkali wa kutongoza humu ndani sijawahi na sitawahi kupigwa kibuti!.. endelea wewe kuwapenda hao mamume ya wake zao...🤣
 
Mtanisamehe sio mtu wa maneno mengi
Ila zile procuders zote za Rakims alizozilezea.
Pia kuna vyakula mtu anabidi uache kuvila na kunywa kwa siku chache kabla hujajaribu kama pombe ,sukari na ngono.
Izi zinapunguza uwezo wa concentrate alafu haipo kama wale jamaa wanavyooeleza kwenye ulimwengu wa kiroho hakuna katikati bali ni either upande wa giza ama nuru.

Naukienda kizembe zembe hurudi maana huko ni kuzimu.
 
Mtanisamehe sio mtu wa maneno mengi
Ila zile procuders zote za Rakims alizozilezea.
Pia kuna vyakula mtu anabidi uache kuvila na kunywa kwa siku chache kabla hujajaribu kama pombe ,sukari na ngono.
Izi zinapunguza uwezo wa concentrate alafu haipo kama wale jamaa wanavyooeleza kwenye ulimwengu wa kiroho hakuna katikati bali ni either upande wa giza ama nuru.

Naukienda kizembe zembe hurudi maana huko ni kuzimu.
unatutania wewe yani tusile ngano tule nini..? tusinywe pombe tunywe nini..?
mimi niamke asubuhi ninywe maji ya kunywa na vodka ipo..?
wewe masharti kama mganga hatutaki tunataka astral ya kula na kunywa chochote tupasue anga tumuone gibril...😅
 
Kitu cha kawaida sana kwa upande wangu huwa nashangaa sana mtu akikielezea kwa namna ya kuogopesha 🤔
 
Mtanisamehe sio mtu wa maneno mengi
Ila zile procuders zote za Rakims alizozilezea.
Pia kuna vyakula mtu anabidi uache kuvila na kunywa kwa siku chache kabla hujajaribu kama pombe ,sukari na ngono.
Izi zinapunguza uwezo wa concentrate alafu haipo kama wale jamaa wanavyooeleza kwenye ulimwengu wa kiroho hakuna katikati bali ni either upande wa giza ama nuru.

Naukienda kizembe zembe hurudi maana huko ni kuzimu.
Hii sio astral projection wala lucid dreams.. hizi ni ndoto za shibe
 
Mkuu ni kweli sijui kuandika lakini sio mchoyo wa kuitoa hii elimu
Nitakuwa naitoa kwa majibu ya maswali kadri ya uwezo wangu
Utanisamehe
Sawa. Ila ujue si wote tunapenda ku fall through comment moja moja ndio maana ingekua busara kuweka maelezo yoote pamoja ili mtu aelewe na akiwa interested zaid aanze kufuatilia michango mmoja mmoja
 
Back
Top Bottom