Astra Projection

Astra Projection

Uwekekano wa kutokurudi ni mkumbwa sana tena sana.
Hawa watu ambao walisema unarudi tu unajieka kwenye mwili wengi wanaota .
Hiyo michezo ya dream mind huwa naifanya sana mkuu huwa nashangaa sana hizo, Stories za kutokurudi zinakuaje 🤔
 
kwamba astral body inaweza kushindwa kurudi kwenye mwili wake!!!! Haya maelezo umeyatoa wapi??
Ache muvi jamani kuna watu wengi tu nawajua wameshindwa kurudi.
Sio kirahisi kama stori za hawa watoto wanavyosema
Kama huna roho wa kukurudisha you are gone

" welcome but no return"
 
Ukifanya meditation hasa zile deep meditation akili yako inakua katika hali ya utulivu mkubwa , sio rahisi kuendeshwa na hisia haribifu .

Sasa ukiwa katika state hiyo kwa mda mrefu kuna wakati unapokua umelala unaweza kusafiri kwa akili aisiyo tambulika ( unconscious mind) katika dreams mind yako .

Note. Hichi kitendo hakuna anaweza kukuthibitishia mpaka upate experience yako mwenyewe , tofauti na hapo ni kama adakadraba za kwenye vitabu vya dini tu.
sawa nawewe nakuweka kwenye kundi la matapeli...🤣
sio kwamba siijui naijua na nilishawahi ifanya nikawa nahisi kufakufa nikaona isiwe tabu nisijichoshe kizazi!
 
Nimeona wasanii wengi wanaelezea walivyokuwa wanatoka kwenda gizani kuchukua lyrics na kila kitu Cha nyimbo zao..... Baada ya siku kadhaa wanarudi mzigoni.

Sasa kazi kwetu kuinjoi mziki tusioujua verses zimetokea wapi.
Yaani natamani hata jf ingekuwa na voice message niwaelezee vizuri .
Hakuna kitu kama kurudi

" welcome but no return"
 
sawa nawewe nakuweka kwenye kundi la matapeli...🤣
sio kwamba siijui naijua na nilishawahi ifanya nikawa nahisi kufakufa nikaona isiwe tabu nisijichoshe kizazi!
Hahahaha sio tapeli mkuu kwa sababu sijawahi shawishi mtu afanye ila ni jambo ambalo lipo wala halina uhusiano na kifo, sema wewe porojo za kifo zilikutengenezea illusion za kifo tu😂😂😂
 
Ache muvi jamani kuna watu wengi tu nawajua wameshindwa kurudi.
Sio kirahisi kama stori za hawa watoto wanavyosema
Kama huna roho wa kukurudisha you are gone

" welcome but no return"
we jamaa haujawahi kufanya astral projection na haujui astral projection ni kitu gani
 
Hahahaha sio tapeli mkuu kwa sababu sijawahi shawishi mtu afanye ila ni jambo ambalo lipo wala halina uhusiano na kifo, sema wewe porojo za kifo zilikutengenezea illusion za kifo tu😂😂😂
sawa
 
Tuambie kwanza uzoefu wako,umetumia muda gani mpaka ukaweza,changamoto gani ulikutana nazo,ulipotoka nje ya mwili ulienda wapi?nani alikusaidia.
Faida zake ni nini?Je imani yako inasemaje juu ya jambo hilo
Ahsante.
1.Uzoefu ni wa mwezi 1
2.Nilitumia mda zaidi na walimu wengi zaidi ikiwemo marehemu Babu
3. Changamoto ni kwamba unaweza usirudi kabisa kabisa
 
1.Uzoefu ni wa mwezi 1
2.Nilitumia mda zaidi na walimu wengi zaidi ikiwemo marehemu Babu
3. Changamoto ni kwamba unaweza usirudi kabisa kabisa

1.Uzoefu ni wa mwezi 1
2.Nilitumia mda zaidi na walimu wengi zaidi ikiwemo marehemu Babu
3. Changamoto ni kwamba unaweza usirudi kabisa kabisa
Hapo ni kucheza na kifo live
 
Back
Top Bottom