KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,752
- 86,392
nakupenda ila naona aibu kukuambia kwasababu wewe ni likorofi sana!unililie mimi na hujawahi kuniona? huu sio uzima
nakupenda ila naona aibu kukuambia kwasababu wewe ni likorofi sana!unililie mimi na hujawahi kuniona? huu sio uzima
Hapo ndio unaposhindiwa unazani haya ni mashindanowewe ni tapeli tu.. ukibisha nifate na hiyo Astral yako, mnakaa mnadanganyana tu!.😂
jaribu kushare uzoefu.... hapa kuna wazoefu wa hizo mamboWewe mimi sipo hapa kudanganya ili inisaidie nini?
yani unapenda mwandiko? picha ya kuokoteza? unachopenda ww ni kitu gani na wakati hunijui? ukute mimi ni jininakupenda ila naona aibu kukuambia kwasababu wewe ni likorofi sana!
wewe ni tapeli tu!😂Hapo ndio unaposhindiwa unazani haya ni mashindano
share bas tuone watu mnajua mnatubania ujuzijaribu kushare uzoefu.... hapa kuna wazoefu wa hizo mambo
Pouwa ila usiwanyime wengine kujifunzawewe ni tapeli tu!😂
upendo huwa hautaki maswali sana ngumu kuelezea! jua nakupenda nahitaji uwe wangu nikuoe tuzae tulee watoto, tule rahayani unapenda mwandiko? picha ya kuokoteza? unachopenda ww ni kitu gani na wakati hunijui? ukute mimi ni jini
sijamshika mtu masikio hapa mimi nadili na tapeli..😂Pouwa ila usiwanyime wengine kujifunza
Pouwasijamshika mtu masikio hapa mimi nadili na tapeli..😂
labda tuoane jf lakini nyuma ya keyboard mbona kuna mwanaume amekuwahiupendo huwa hautaki maswali sana ngumu kuelezea! jua nakupenda nahitaji uwe wangu nikuoe tuzae tulee watoto, tule raha
utajua wewe..😅Pouwa
mi sitaki kujua kuhusu yeye mi nakupenda wewe.. haya mrembo leta manenolabda tuoane jf lakini nyuma ya keyboard mbona kuna mwanaume amekuwahi
acha bwana, ngojs nikutumie namba ya kutuma hela usisahau na ya kutoleami sitaki kujua kuhusu yeye mi nakupenda wewe.. haya mrembo leta maneno
ungetakiwa umwambie unampenda yeye na bwana ake😃 ungekuwa umemaliza mchezo.mi sitaki kujua kuhusu yeye mi nakupenda wewe.. haya mrembo leta maneno
nitumie address yako ya bitcoin nikutumie huko sina cash mchumba!acha bwana, ngojs nikutumie namba ya kutuma hela usisahau na ya kutolea
we jamaa ni mswahili umeshindwa hata kuelezea mazingira jinsi yalivyokua japo kwa uchache ili watu wajue uliamkia kwenye dimension ipi... hakuna maana ya wewe kuanzisha Uzi.Nimeweza kwa kufuata vile jamaa alivyoandika