Written by
Nassor20 // 12/05/2011 //
Habari //
No comments
Upinzani kushinda Bara nitabu kama hawato anzisha vuguvugu la kurudisha Tanganyika.
Muungano ukivunjika Wabara watajitambulisha kwa jina gani? Watanzania au
watanganyika?
Wazanzibar tusidanganyane kuwa Tanganyika kuna vyama vingi vya upinzani na
dini tafauti, mimi naungana na wale wenyekusema kuwa Watanganyika wote ni ccm na
lengo lao wote ni moja.
Wewe angalia mfano mdogo tu? Wazanzibar wanapo zungumzia kero za Muungano
watanganyika wote huwa kitu kimmoja na husahau tafauti za dini zao na itikadi za
vyama vyao.
Na jambo hili huwakasirisha sana utazani Zanzibar ilikuwa ni nchi yao
Watanganyika? na kusema Zanzibar ina nchi kamili na Raisi wake? sisi hatuna hata
nchi? ok nyiyi hamuna hata nchi? kwa nini munashindwa kuidai nchi yenu ya
Tanganyika ambayo Nyerere kaiuza kwenye utashi wa itikadi za chama cha ccm na
ilani ya ccm ndio imekuwa Tanganyika.
Nyiyi Watanganyika kwa vile hamuna nchi kama munavyo sema? ilikuwa muwe
wamwanzo kudai nchi yenu Tanganyika kwa vile ina historia ya Bibi zenu na Babu
zenu? mimi hushangazwa na watu hawa? hivi karibuni walikubali jinchi lao liwe na
Guverner lakini tu Zanzibar wasiikose, jee hamuoni haya kupenda wasio wapenda?
au ndio ukaona vijanajike vya Bara hupenda kuolewa na Wazanzibar kuna siri kani
mpaka mukaparadia sana Wazanzibar wawaowe?.
Watanganyika kama kweli munataka kuiuwa ccm na upinzani ushinde huko mupate
Tanganyika yenu basi piganieni kurudishwa kwa Tanganyika ambayo Nyerere na ccm
yake wameiuwa kuliko kupotezwa muelekeo wa kuiparatikia Zanzibar lazima iwemo
kwenye Muungano wakati Wazanzibar hawataki tena.
Mutakuja kuazirika vibaya kama hamukuchangamka kudai Tanganyika yenu, hivi
sasa ccm hushinda ushaguzi kwa sababu wameshawastukizia kuwa hamuna lenu jambo
ni nguvu ya kuzungumza tu mbele ya action muko 0, ndio ukaona ktk ushaguzi nguvu
zote za kijeshi hupelekwa Zanzibar na nyiyi huonekana watu poa tu mukisha
kuambiwa Wazanzibar wanataka kuvunja Muungano nyiyi huwa kimya?.