Karibu JF ila hapa tunatumia Kiswahili na Kiingereza na wala sio kiarabu wala kiyunani. Hapa tunashindana kwa hoja na wala si vioja.naomba niwasalimu wote kwa pamoja kwa maamkizi mema na yaamani tena yenye baraka tele mbele ya muumba wetu"Assalam Alaykum warahmatullah wabaraqaat"
asanteh umekaa kikaz zaid sio mbwembwe....Karibu JF ila hapa tunatumia Kiswahili na Kiingereza na wala sio kiarabu wala kiyunani. Hapa tunashindana kwa hoja na wala si vioja.
naomba niwasalimu wote kwa pamoja kwa maamkizi mema na yaamani tena yenye baraka tele mbele ya muumba wetu"Assalam Alaykum warahmatullah wabaraqaat"