Nimeacha kula vyakula kwa kufuata promo za mitandaoni, Restautants zote nilizoenda kwa kufuata trends za mitandaoni ni hovyo, Shishi food dodoma vyakula bei juu msosi wa kawaida sana, shawarma pale mwenge kawaida tu, Ney Cassava nilikula upuuzi. Magomeni kulikuwa na mgahawa unaitwa Basmati Mungu awabariki wale kwa chakula kitamu. Mwanza Mishikaki mizuri iko pale Salma Cone, Kitimoto Mwanza nenda Victoria prince. Ukitaka T bone steak safi na chipsi kale Bonasera.