Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
- Thread starter
- #21
Ndio hapo tunapoona kakosea kutumia madhahabuni kutoa hoja ya kuizima Tanganyika maana wengi tunaamini mtoa hoja huwa ama anamwakilisha Mungu au msimamo wa kanisa/msikiti. Mengi yanayohusu jamii kazungumza vizuri ila hili la katiba ndipo alipovurunda labda katumwa!Kama ndio msimamo wa Maaskofu na Wachungaji kuwa Tanganyika izimwe basi serikali ya Tanganyika haitafufuka.
Plan B:
Ni kuwa provocate Wa-Pwani wadai kuwe na Tanzania Pwani, pia yaani tuwe na Tanzania Bara na Tanzania Pwani.
Kwa namna hii tutawaweka kwenye kona ya aidha wawashikilie Maaskofu na Taifa liendelee kugawanyika au wairudishe Tanganyika.