Mkuu, katika mifano yake ya kutetea Tanganyika isahaulike alitoa mifano finyu kama nchi za Malawi, Msumbiji, Zambia, Ghana na alituacha hoi kwa Ivory Coast. Inauma kwa msomi kama yeye kupotosha HISTORIA kwa kutumia cheo alichokuwa nacho. Mkuu ungesikiliza/angalia TBC ungetuelewa.
Hamjaeleza kile ambacho mnakiona kibaya mmebaki kulaumu huku wenyewe hamwezi kujieleza, leta hoja yake nawe weka yako tuzipime si unaleta hisia badala ya hoja mkuu