The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Wakili msomi mwenye kipaji cha aina yake kwenye tasnia ya sheria nchini Peter Kibatala ni adui namba moja wa haki.
Sijawahi kupendezwa na huyu mwamba ispokua tu alipokuwa anamwakilisha mwamba Mbowe na wenzake kwenye kesi ya ugaidi.
Yani anatetea wauaji mabakaji na majambazi hadi yanashinda kesi.
Na inavyoelekea atamsaidia mjane wa Msuya Miriam Mrita kushinda kesi ya mauaji dhidi ya wifi yake Aneth Msuya.
Hii siyo sawa kabisa kwasababu mjane wa Msuya alishakiri alihusika kwenye haya mauaji.
Lakini bado Kibatala anakomaa tu. Na siyo Kibatala tu kuna hawa kina Magafu, shangazi na wengine wote ni adui wa haki haijalishi ni fani ama nini.
Watumie vipaji vyao vya uwanasheria kuwakilisha mambo yenye mantiki na manufaa hata machoni pa Mungu kama wazee wastaafu kudhulumiwa mafao, madogo yatima kupata mirathi, unyanyasaji wa polisi na kubambikiwa kesi.
Lakini hili lakutetea Majambazi, wauaji na wabakaji hapana.
Sijawahi kupendezwa na huyu mwamba ispokua tu alipokuwa anamwakilisha mwamba Mbowe na wenzake kwenye kesi ya ugaidi.
Yani anatetea wauaji mabakaji na majambazi hadi yanashinda kesi.
Na inavyoelekea atamsaidia mjane wa Msuya Miriam Mrita kushinda kesi ya mauaji dhidi ya wifi yake Aneth Msuya.
Hii siyo sawa kabisa kwasababu mjane wa Msuya alishakiri alihusika kwenye haya mauaji.
Lakini bado Kibatala anakomaa tu. Na siyo Kibatala tu kuna hawa kina Magafu, shangazi na wengine wote ni adui wa haki haijalishi ni fani ama nini.
Watumie vipaji vyao vya uwanasheria kuwakilisha mambo yenye mantiki na manufaa hata machoni pa Mungu kama wazee wastaafu kudhulumiwa mafao, madogo yatima kupata mirathi, unyanyasaji wa polisi na kubambikiwa kesi.
Lakini hili lakutetea Majambazi, wauaji na wabakaji hapana.