Askofu Kassala atoa ‘Dikrii’ ya kufungwa kwa Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,829
21,460
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023.

Uamuzi huu unafuatia tukio la KUFURU NA UNAJISI lililofanyika ndani ya Kanisa hili, ikiwa imafanyika pia Kufuru kubwa kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu, na unajisi kwa utakatifu wa jengo hili la Kanisa na vifaa mbalimbali vya Ibada Takatifu.

Kwa Dikrii hii, Mimi Flavian Matindi Kassala, ambaye kwa Neema ya Mungu na Mamlaka ya Kiti cha Kitume ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, na ambaye Sahihi yangu nimeiweka hapo chini, na kwa mamlaka ninayopewa na Sheria Kanuni ya Kanisa (Rejea Na 1211-1213), na kwa maelekezo ya Mamlaka ya Kiaskofu, (Rejea Ceremonial of Bishop namba 1070-1072) napenda kutamka kwamba:

  1. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 NI KUFURU KUBWA kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu na umeivunjia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Heshima yake kwa kiasi kikubwa sana na hivyo umeathiri.
  2. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 UMELINAJISI Kanisa hili katika utakatifu wake uliowekwa wakati wa Kutabarukiwa kwake.
  3. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 ni UHARIFU MKUBWA SANA ambao umeiathiri kwa kiasi kikubwa sana hadhi na Muumini Mkatoliki na Jamii yetu kwa ujumla.
Kutokana na matukio hayo, Kanisa hili limepoteza kwa kiasi kikubwa Baraka yake na jamii ya Waamini imeumizwa sana kutokana na Kashfa, Kufuru, na Unajisi uliofanyika kwa Imani yetu. Na hivyo ninaagiza kwamba:

  1. Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita halistahili kwa maadhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi, wala ya Sakramenti yoyote, wala kwa ibada yoyote.
  2. Kufuatia hali hii, Kanisa Kuu la Kiaskofu la Geita litabaki limefungwa kwa huduma zote za Ki-Ibada kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023, ili kusubiri Utakaso wake.
  3. Kwa kipindi hicho cha kufungwa kwa Kanisa, Familia nzima ya Mungu Jimboni Geita inaingia katika kipindi cha siku 20 za kuelekea adhimisho la TOBA YA MALIPIZI (Penitential Reparation) kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023.
  4. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi Mapadre waandae na kuwaandaa Waamini katika Jimbo zika kwa Ibada za Upatanisho, mahubiri ya Toba, na Mafundisho juu ya Utakatifu wa Kanisa na kuyatoa daima kwa waamini wao ndani ya maadhimisho mbali mbali.
  5. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi waamini wote Wakatoliki wanaalikwa kusali, kufunga, kutubu, kupokea Sakramenti ya Upatanisho na kuomba huruma ya Mungu. Katika Matendo yote haya tuombe Mungu atujalie wongofu wa ndani.
  6. Kanisa Kuu la Jimbo litafunguliwa tarehe 18 Machi 2023 kwa adhimisho ibada ya MISA TAKATIFU itakayoanza saa Nne asubuhi, na itakayohusisha pia maadhimisho ya: TOBA YA MALIPIZI; BARAKA KUTAKATIFUZA KANISA KUU; NA KURUDISHA EKARISTI TAKATIFU NDANI YA KANISA KUU.
  7. Adhimisho la tarehe 18 Machi 2023, litakuwa ni la Kijimbo, na hivyo Mapadre, Watawa, na Waamini wanawajibu wa kuhudhuria. Watu wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa pia kushiriki katika maadhimisho yote haya.
Hali tukiyaweka haya yote mikononi kwa Huruma ya Mungu,
SERVUS MISERICORDIAE VULTUS

FLAVIAN MATINDI KASSALA
ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI GEITA



Kuvamiwa kwa Kanisa, Soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023
 

Attachments

  • KUFUNGWA KWA KANISA KUU LA JIMBO.pdf
    638.3 KB · Views: 6
Livunjwe tuchange tutengeneze jipya, ila huyo mpuuzi na wote waloshirikia kwenye uharibifu huo wanyongwe hadharani, watolewe sadaka ya kuteketeza
RPC wa geita kama yuko huku nimwambie tu kuwa nafasi hiyo haiwezi anepewa kwa sababu za kijinsia na kazi hawezi.

Mauaji na wizi Mkoa wa Geita ni 100% na matukio haya hayaripotiwi popote
 
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023.

Uamuzi huu unafuatia tukio la KUFURU NA UNAJISI lililofanyika ndani ya Kanisa hili, ikiwa imafanyika pia Kufuru kubwa kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu, na unajisi kwa utakatifu wa jengo hili la Kanisa na vifaa mbalimbali vya Ibada Takatifu.

Kwa Dikrii hii, Mimi Flavian Matindi Kassala, ambaye kwa Neema ya Mungu na Mamlaka ya Kiti cha Kitume ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, na ambaye Sahihi yangu nimeiweka hapo chini, na kwa mamlaka ninayopewa na Sheria Kanuni ya Kanisa (Rejea Na 1211-1213), na kwa maelekezo ya Mamlaka ya Kiaskofu, (Rejea Ceremonial of Bishop namba 1070-1072) napenda kutamka kwamba:

  1. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 NI KUFURU KUBWA kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu na umeivunjia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Heshima yake kwa kiasi kikubwa sana na hivyo umeathiri.
  2. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 UMELINAJISI Kanisa hili katika utakatifu wake uliowekwa wakati wa Kutabarukiwa kwake.
  3. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 ni UHARIFU MKUBWA SANA ambao umeiathiri kwa kiasi kikubwa sana hadhi na Muumini Mkatoliki na Jamii yetu kwa ujumla.
Kutokana na matukio hayo, Kanisa hili limepoteza kwa kiasi kikubwa Baraka yake na jamii ya Waamini imeumizwa sana kutokana na Kashfa, Kufuru, na Unajisi uliofanyika kwa Imani yetu. Na hivyo ninaagiza kwamba:

  1. Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita halistahili kwa maadhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi, wala ya Sakramenti yoyote, wala kwa ibada yoyote.
  2. Kufuatia hali hii, Kanisa Kuu la Kiaskofu la Geita litabaki limefungwa kwa huduma zote za Ki-Ibada kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023, ili kusubiri Utakaso wake.
  3. Kwa kipindi hicho cha kufungwa kwa Kanisa, Familia nzima ya Mungu Jimboni Geita inaingia katika kipindi cha siku 20 za kuelekea adhimisho la TOBA YA MALIPIZI (Penitential Reparation) kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023.
  4. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi Mapadre waandae na kuwaandaa Waamini katika Jimbo zika kwa Ibada za Upatanisho, mahubiri ya Toba, na Mafundisho juu ya Utakatifu wa Kanisa na kuyatoa daima kwa waamini wao ndani ya maadhimisho mbali mbali.
  5. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi waamini wote Wakatoliki wanaalikwa kusali, kufunga, kutubu, kupokea Sakramenti ya Upatanisho na kuomba huruma ya Mungu. Katika Matendo yote haya tuombe Mungu atujalie wongofu wa ndani.
  6. Kanisa Kuu la Jimbo litafunguliwa tarehe 18 Machi 2023 kwa adhimisho ibada ya MISA TAKATIFU itakayoanza saa Nne asubuhi, na itakayohusisha pia maadhimisho ya: TOBA YA MALIPIZI; BARAKA KUTAKATIFUZA KANISA KUU; NA KURUDISHA EKARISTI TAKATIFU NDANI YA KANISA KUU.
  7. Adhimisho la tarehe 18 Machi 2023, litakuwa ni la Kijimbo, na hivyo Mapadre, Watawa, na Waamini wanawajibu wa kuhudhuria. Watu wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa pia kushiriki katika maadhimisho yote haya.
Hali tukiyaweka haya yote mikononi kwa Huruma ya Mungu,
SERVUS MISERICORDIAE VULTUS

FLAVIAN MATINDI KASSALA
ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI GEITA



Kuvamiwa kwa Kanisa, Soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023
ndo mjue madhara ya pombe mnazotuambia tunywe kidogo
 
Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?

Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
shangaa sasa. jengo lipo watu wapo ,viongozi wapo ni kitu gani hicho kilichoharibiwa hadi ibada zisitishwe
kuna vi miungu huko vimejeruhiwa
ila jamaa ni mkatili, eti mlevi, mlevi akazima hadi cctv cameras
 
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023.

Uamuzi huu unafuatia tukio la KUFURU NA UNAJISI lililofanyika ndani ya Kanisa hili, ikiwa imafanyika pia Kufuru kubwa kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu, na unajisi kwa utakatifu wa jengo hili la Kanisa na vifaa mbalimbali vya Ibada Takatifu.

Kwa Dikrii hii, Mimi Flavian Matindi Kassala, ambaye kwa Neema ya Mungu na Mamlaka ya Kiti cha Kitume ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, na ambaye Sahihi yangu nimeiweka hapo chini, na kwa mamlaka ninayopewa na Sheria Kanuni ya Kanisa (Rejea Na 1211-1213), na kwa maelekezo ya Mamlaka ya Kiaskofu, (Rejea Ceremonial of Bishop namba 1070-1072) napenda kutamka kwamba:

  1. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 NI KUFURU KUBWA kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu na umeivunjia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Heshima yake kwa kiasi kikubwa sana na hivyo umeathiri.
  2. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 UMELINAJISI Kanisa hili katika utakatifu wake uliowekwa wakati wa Kutabarukiwa kwake.
  3. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 ni UHARIFU MKUBWA SANA ambao umeiathiri kwa kiasi kikubwa sana hadhi na Muumini Mkatoliki na Jamii yetu kwa ujumla.
Kutokana na matukio hayo, Kanisa hili limepoteza kwa kiasi kikubwa Baraka yake na jamii ya Waamini imeumizwa sana kutokana na Kashfa, Kufuru, na Unajisi uliofanyika kwa Imani yetu. Na hivyo ninaagiza kwamba:

  1. Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita halistahili kwa maadhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi, wala ya Sakramenti yoyote, wala kwa ibada yoyote.
  2. Kufuatia hali hii, Kanisa Kuu la Kiaskofu la Geita litabaki limefungwa kwa huduma zote za Ki-Ibada kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023, ili kusubiri Utakaso wake.
  3. Kwa kipindi hicho cha kufungwa kwa Kanisa, Familia nzima ya Mungu Jimboni Geita inaingia katika kipindi cha siku 20 za kuelekea adhimisho la TOBA YA MALIPIZI (Penitential Reparation) kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023.
  4. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi Mapadre waandae na kuwaandaa Waamini katika Jimbo zika kwa Ibada za Upatanisho, mahubiri ya Toba, na Mafundisho juu ya Utakatifu wa Kanisa na kuyatoa daima kwa waamini wao ndani ya maadhimisho mbali mbali.
  5. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi waamini wote Wakatoliki wanaalikwa kusali, kufunga, kutubu, kupokea Sakramenti ya Upatanisho na kuomba huruma ya Mungu. Katika Matendo yote haya tuombe Mungu atujalie wongofu wa ndani.
  6. Kanisa Kuu la Jimbo litafunguliwa tarehe 18 Machi 2023 kwa adhimisho ibada ya MISA TAKATIFU itakayoanza saa Nne asubuhi, na itakayohusisha pia maadhimisho ya: TOBA YA MALIPIZI; BARAKA KUTAKATIFUZA KANISA KUU; NA KURUDISHA EKARISTI TAKATIFU NDANI YA KANISA KUU.
  7. Adhimisho la tarehe 18 Machi 2023, litakuwa ni la Kijimbo, na hivyo Mapadre, Watawa, na Waamini wanawajibu wa kuhudhuria. Watu wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa pia kushiriki katika maadhimisho yote haya.
Hali tukiyaweka haya yote mikononi kwa Huruma ya Mungu,
SERVUS MISERICORDIAE VULTUS

FLAVIAN MATINDI KASSALA
ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI GEITA



Kuvamiwa kwa Kanisa, Soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023
Hii ni sawa na itkafu tu malipizi sio mchezo dogo yule lazima afe au awe ndondocha na kupotea kusiko julikana

USSR
 
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023.

Uamuzi huu unafuatia tukio la KUFURU NA UNAJISI lililofanyika ndani ya Kanisa hili, ikiwa imafanyika pia Kufuru kubwa kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu, na unajisi kwa utakatifu wa jengo hili la Kanisa na vifaa mbalimbali vya Ibada Takatifu.

Kwa Dikrii hii, Mimi Flavian Matindi Kassala, ambaye kwa Neema ya Mungu na Mamlaka ya Kiti cha Kitume ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, na ambaye Sahihi yangu nimeiweka hapo chini, na kwa mamlaka ninayopewa na Sheria Kanuni ya Kanisa (Rejea Na 1211-1213), na kwa maelekezo ya Mamlaka ya Kiaskofu, (Rejea Ceremonial of Bishop namba 1070-1072) napenda kutamka kwamba:

  1. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 NI KUFURU KUBWA kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu na umeivunjia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Heshima yake kwa kiasi kikubwa sana na hivyo umeathiri.
  2. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 UMELINAJISI Kanisa hili katika utakatifu wake uliowekwa wakati wa Kutabarukiwa kwake.
  3. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 ni UHARIFU MKUBWA SANA ambao umeiathiri kwa kiasi kikubwa sana hadhi na Muumini Mkatoliki na Jamii yetu kwa ujumla.
Kutokana na matukio hayo, Kanisa hili limepoteza kwa kiasi kikubwa Baraka yake na jamii ya Waamini imeumizwa sana kutokana na Kashfa, Kufuru, na Unajisi uliofanyika kwa Imani yetu. Na hivyo ninaagiza kwamba:

  1. Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita halistahili kwa maadhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi, wala ya Sakramenti yoyote, wala kwa ibada yoyote.
  2. Kufuatia hali hii, Kanisa Kuu la Kiaskofu la Geita litabaki limefungwa kwa huduma zote za Ki-Ibada kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023, ili kusubiri Utakaso wake.
  3. Kwa kipindi hicho cha kufungwa kwa Kanisa, Familia nzima ya Mungu Jimboni Geita inaingia katika kipindi cha siku 20 za kuelekea adhimisho la TOBA YA MALIPIZI (Penitential Reparation) kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023.
  4. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi Mapadre waandae na kuwaandaa Waamini katika Jimbo zika kwa Ibada za Upatanisho, mahubiri ya Toba, na Mafundisho juu ya Utakatifu wa Kanisa na kuyatoa daima kwa waamini wao ndani ya maadhimisho mbali mbali.
  5. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi waamini wote Wakatoliki wanaalikwa kusali, kufunga, kutubu, kupokea Sakramenti ya Upatanisho na kuomba huruma ya Mungu. Katika Matendo yote haya tuombe Mungu atujalie wongofu wa ndani.
  6. Kanisa Kuu la Jimbo litafunguliwa tarehe 18 Machi 2023 kwa adhimisho ibada ya MISA TAKATIFU itakayoanza saa Nne asubuhi, na itakayohusisha pia maadhimisho ya: TOBA YA MALIPIZI; BARAKA KUTAKATIFUZA KANISA KUU; NA KURUDISHA EKARISTI TAKATIFU NDANI YA KANISA KUU.
  7. Adhimisho la tarehe 18 Machi 2023, litakuwa ni la Kijimbo, na hivyo Mapadre, Watawa, na Waamini wanawajibu wa kuhudhuria. Watu wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa pia kushiriki katika maadhimisho yote haya.
Hali tukiyaweka haya yote mikononi kwa Huruma ya Mungu,
SERVUS MISERICORDIAE VULTUS

FLAVIAN MATINDI KASSALA
ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI GEITA



Kuvamiwa kwa Kanisa, Soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023
Dikrii’ ya kufungwa kwa Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita, Pentecoste wawahi kwenda kuwapa huduma waumini hao
 
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023.

Uamuzi huu unafuatia tukio la KUFURU NA UNAJISI lililofanyika ndani ya Kanisa hili, ikiwa imafanyika pia Kufuru kubwa kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu, na unajisi kwa utakatifu wa jengo hili la Kanisa na vifaa mbalimbali vya Ibada Takatifu.

Kwa Dikrii hii, Mimi Flavian Matindi Kassala, ambaye kwa Neema ya Mungu na Mamlaka ya Kiti cha Kitume ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, na ambaye Sahihi yangu nimeiweka hapo chini, na kwa mamlaka ninayopewa na Sheria Kanuni ya Kanisa (Rejea Na 1211-1213), na kwa maelekezo ya Mamlaka ya Kiaskofu, (Rejea Ceremonial of Bishop namba 1070-1072) napenda kutamka kwamba:

  1. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 NI KUFURU KUBWA kwa Sakramenti ya Ekaristi Takatifu na umeivunjia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Heshima yake kwa kiasi kikubwa sana na hivyo umeathiri.
  2. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 UMELINAJISI Kanisa hili katika utakatifu wake uliowekwa wakati wa Kutabarukiwa kwake.
  3. Uharifu uliotokea katika Kanisa Kuu la Jimbo la Geita usiku wa kuamkia tarehe 26 Februari 2023 ni UHARIFU MKUBWA SANA ambao umeiathiri kwa kiasi kikubwa sana hadhi na Muumini Mkatoliki na Jamii yetu kwa ujumla.
Kutokana na matukio hayo, Kanisa hili limepoteza kwa kiasi kikubwa Baraka yake na jamii ya Waamini imeumizwa sana kutokana na Kashfa, Kufuru, na Unajisi uliofanyika kwa Imani yetu. Na hivyo ninaagiza kwamba:

  1. Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita halistahili kwa maadhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi, wala ya Sakramenti yoyote, wala kwa ibada yoyote.
  2. Kufuatia hali hii, Kanisa Kuu la Kiaskofu la Geita litabaki limefungwa kwa huduma zote za Ki-Ibada kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023, ili kusubiri Utakaso wake.
  3. Kwa kipindi hicho cha kufungwa kwa Kanisa, Familia nzima ya Mungu Jimboni Geita inaingia katika kipindi cha siku 20 za kuelekea adhimisho la TOBA YA MALIPIZI (Penitential Reparation) kuanzia tarehe 27 Februari 2023 hadi tarehe 18 Machi 2023.
  4. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi Mapadre waandae na kuwaandaa Waamini katika Jimbo zika kwa Ibada za Upatanisho, mahubiri ya Toba, na Mafundisho juu ya Utakatifu wa Kanisa na kuyatoa daima kwa waamini wao ndani ya maadhimisho mbali mbali.
  5. Kwa kipindi chote cha kuelekea Toba ya Malipizi waamini wote Wakatoliki wanaalikwa kusali, kufunga, kutubu, kupokea Sakramenti ya Upatanisho na kuomba huruma ya Mungu. Katika Matendo yote haya tuombe Mungu atujalie wongofu wa ndani.
  6. Kanisa Kuu la Jimbo litafunguliwa tarehe 18 Machi 2023 kwa adhimisho ibada ya MISA TAKATIFU itakayoanza saa Nne asubuhi, na itakayohusisha pia maadhimisho ya: TOBA YA MALIPIZI; BARAKA KUTAKATIFUZA KANISA KUU; NA KURUDISHA EKARISTI TAKATIFU NDANI YA KANISA KUU.
  7. Adhimisho la tarehe 18 Machi 2023, litakuwa ni la Kijimbo, na hivyo Mapadre, Watawa, na Waamini wanawajibu wa kuhudhuria. Watu wote wenye mapenzi mema wanakaribishwa pia kushiriki katika maadhimisho yote haya.
Hali tukiyaweka haya yote mikononi kwa Huruma ya Mungu,
SERVUS MISERICORDIAE VULTUS

FLAVIAN MATINDI KASSALA
ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI GEITA



Kuvamiwa kwa Kanisa, Soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Ujinga sana huu, yule Padri aliyebaka mtoto aliyekuja kuungama mbona halikufungwa? Ile kufuru ni kubwa zaidi sana ya hii
 
Hatari hiii huyo mwizi tukutane hapa baada ya miezi 6 au mwaka kama taarifa zake zitakuwepo
Hawezi pata jambo lolote baya labda wamfanyie ukatili wenyewe. Hao jamaa wanaojiita padri, sista, askofu wanafanya ushenzi mkubwa sana. Wana najisi watoto wa kiume, wana gonga wake za watu, yaani ni wahuni hakuna mfano.

Hizi dini ni bora zifungwe, waafrika tuendelee na imani zetu za zamani maana zina maadili mazuri kuliko hawa wafanya biashara na wanyonyaji.

Wananchi wanachanga michango mingi kujenga:
1. shule ila watoto wao lazima walipe ada kubwa kusoma katika hiyo shule, mtoto wa masikini kama ana ada hawezi soma katika hiyo shule
2. waumini wanajenga hospitali ila muumini hawezi kwenda pale kwenye hospital kutibiwa bure na gharama za matibabu ni kubwa hatari.

Hawa jamaa wanafanya biashara ya kuuza matumaini kwa watu wakijinadi kwamba wanafanya kazi ya mungu. Imani zao hazina tofauti na imani zetu za kale ambazo watu waliomba mvua wakapata na kuomba neema wakabalikiwa.
 
Back
Top Bottom