Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
Hivi huyu mtu Musiba ni kwa vipi vyombo vya sheria vimuogope na vishindwe kumchukulia hatua, wakati anatoa maneno ya kutisha kiasi hicho na ya kuhatarisha amani ya nchi kwa kudiriki kusema kuwa atahakikisha anamwua, yeyote anayepingana na Rais Magufuli!Mwanzo alionekana km mjnga flan, lakin kadri sku znaenda jamaa anazid kupata power ya ajabu
Anyway kila kitu kna mwsho..Lets see mwisho wa jamaa utakuwajeView attachment 1165043
Hivi tangu lini mtu kumpinga Rais Magufuli iwe kosa la jinai, ambalo mtu anastahili kuuawa, tena si kwa kutumia chombo cha mahakama, ambacho ndiyo pekee kilichopewa mamlaka ya kutoa haki nchini
Hakika hivi sasa waliomiminia risasi Tundu Lissu weshaanza kujitokeza hadharani!