Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Binafsi nawaheshimu sana viongozi wa dini wanaofundisha mambo ya dini kwa kutumia elimu yao ya dini kwa watu wote. Awe Mukristu au Muislamu, au dini yoyote! Mimi husema Amina. Lakini, hawa wanaopata umaarufu na kuungwa mkono halafu wanachombeza mambo nje ya taaluma yao, NO! Wawe tayari kutoheshimika kwa misimamo yetu ya kisiasa.Umenena sawa , kazi ya kiroho ni njema , haitaji kubwabwaja , hiyo kubwabwaja ni kazi ya wanasiasa.
Huyu Munga awe tayari kutoheshimika kwa hayo yote.Hawezi kuwa mwalimu wanguwa siasa hata siku moja!