Askofu Stephen Munga: Je, Musiba amekuwa Mfalme wa Wafalme, Bwana wa Mabwana?

Jamani akina gwajima, malasusa, mwingira, mzee wa upako, kakobe, pengo na wengine mko wapi nchi inaingia kwenye giza totoro nyie mpo kimya mmepatwa na nn only time will tell
Hao na wale Mashekhe wa kiisalamu wa Bakwata wanafiki na wachumia matumbo yao, hawawezi kufungua kinywa.

Wengi wao wanalipwa pesa ama wanamapungufu mengi wanaogopa
 
Chamoto mwanzoni umeanza vizur ila umemaliza vibaya. Nikwambie tu vijana kuharibika haichangiw na viongozi.. bali mfumo mzima wa jamii ya kitanzania. Naxungumzia kwanzia ngaz ya familia.

Madawa ya kulevya yataendelea kupenya.. ujangali upo pia. Kwenye jamii zetu huwez sema kiongozi fulan ndio anahusika.. ni jamii yenyewe inaruhusu haya.
Serikal inaweza kuwa wakal lakin mpaka leo..mateja dsm wapo.. na wanakula poda kama kawa.

Sishabikii nchi kuharibika. Ila nikwambie kuwa huwez ondoa haya mambo kirahis.. na huwa hayaishi. Bali yanapungua.
Hapana baba Askofu, mende walikuwa wengi sana ndani ya nyumba, hukuna njia rahisi ya kuwaondoa zaidi ya kupuliza dawa kali kila sehemu.

Nchi ilikuwa imeshikiliwa na kikundi cha watu wachache waliotaka kupokezana madaraka wenyewe kwa wenyewe.

Vijana waliharibika na madawa ya kulevya, tembo waliuawa, masikini walionewa bila ya mtetezi.
 
Asante Baba Askofu.Kutunza amani ya nchi ni pamoja na kuheshimu viongozi wastaafu .Kwa mwendo huu wa kutukana viongozi wastaafu na viongozi wa serikali na chama waliopo kukaa kimya bila kukemea . 2020 kitaeleweka.Tanzania Ina watu wakimya Lakini Sio wapole.Mkinywa na mpole Ni watu wawili tofauti.Mkimywa ni mtu hatari kuliko mpole.
Ahahahaaaa . Nawe leo kiatu kimekubana team kusifu na kuabudu. Mnasahau maneno ya Lissu .
 
Chamoto mwanzoni umeanza vizur ila umemaliza vibaya. Nikwambie tu vijana kuharibika haichangiw na viongozi.. bali mfumo mzima wa jamii ya kitanzania. Naxungumzia kwanzia ngaz ya familia.

Madawa ya kulevya yataendelea kupenya.. ujangali upo pia. Kwenye jamii zetu huwez sema kiongozi fulan ndio anahusika.. ni jamii yenyewe inaruhusu haya.
Serikal inaweza kuwa wakal lakin mpaka leo..mateja dsm wapo.. na wanakula poda kama kawa.

Sishabikii nchi kuharibika. Ila nikwambie kuwa huwez ondoa haya mambo kirahis.. na huwa hayaishi. Bali yanapungua.
Kuondoa kabisa matumizi ya madaya ya kulevya haiwezekani ila asilimia kubwa inaweza pungunzwa.

Sababu ya kuchomekea madaya ya kulevywa ni kwasababu baadhi ya viongozi wa chama walishiriki kwa namna moja ama nyingine na biashara hiyo. Waliifanya Tanzania kitovu cha biashara hiyo haramu, mzigo ulikuwa unakuja na meli toka huko halafu unatawanywa na kupelekwa sehemu mbali mbali duniani. Bado kidogo tungekuwa na cartel wenye nguvu kama Mexico.

Baadhi ya wafanyabiashara hao walikuwa wafadhili wa chama, hivyo nilikuwa nasababu muhimu kulaumu viongozi kwa kuharibu vijana.
 
Asante Baba Askofu.Kutunza amani ya nchi ni pamoja na kuheshimu viongozi wastaafu .Kwa mwendo huu wa kutukana viongozi wastaafu na viongozi wa serikali na chama waliopo kukaa kimya bila kukemea . 2020 kitaeleweka.Tanzania Ina watu wakimya Lakini Sio wapole.Mkinywa na mpole Ni watu wawili tofauti.Mkimywa ni mtu hatari kuliko mpole.
Siwezi kukaa kimya ukitoa comment iliyoshiba busara kama hii. Kama siku zote ungekuwa tayari kukemea uovu bila kujali umetendwa na upande upi tusingekushambulia. Daima simama katika kweli na Kweli itakuweka huru.
Ulichokieleza kiko sahihi, ni dhahiri kuna shida mahali si bure. Haiwezekani viongozi wastaafu watukanwe, waandike barua ya malalamiko (hata kama eti siyo utaratibu wa Chama), badala ya kuchukuliwa hatua mhusika wanachukuliwa hatua walalamikaji?!? Ndiyo maana Mtukanaji anajinasibu kuwa na kinga ya Rais na hakuna anayekemea. Nchi hii kwa sasa jambo lolote hata la kijinga likitolewa ilimradi linaonekana kujipendekeza kwa Rais halikemmewi. Mf. Waganga/Wachawi wa Gamboshi kutoa tamko la KIPUMBAVU kuwa atakayejitokeza kushindana na Magufuli 2020 watampoteza limekaliwa kimya na kufanya nchi ionekane ni Chimbo la Washirikina..!
 
Back
Top Bottom